skills za kitaa

Saturday, August 3, 2013

Ommy Dimpoz ft J Martins katika singo 'Tupogo'


Baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu sasa, mshindi wa tuzo tatu za KTMA 2013, Ommy Dimpoz ameachia rasmi single yake mpya ambayo amemshirikisha J Martins kutoka Nigeria. Wimbo huo ambao una maadhi ya kiafrika na bongoflava unaitwa Tupogo, umetengenezwa na Producer Marco Chali.
Artwork ya wimbo wa Tupogo

Hii itakua ngoma ya nne kwa Ommy Dimpoz ukiacha zile ngoma zake zingine ambazo zilifanya vizuri, hapa nazizungumzia Nai nai, Baadae pamoja na ile ya Me & You. Tupogo nautabiria utakuwa wimbo utakaoshika chati za juu kutokana na uzuri wake.

No comments: