skills za kitaa

Friday, August 23, 2013

Kuachiwa Mubarak kwaleta hisia tofauti Misri.;



mbaraka_4bd3d.jpg
Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak ambaye alikuwa kizuizini tangu Aprili 2011 Alhamisi ametolewa jela na kuhamishiwa kwenye hospitali moja ya kijeshi huko Cairo ataendelea kutumikia kifungo cha nje.

No comments: