skills za kitaa

Friday, February 28, 2014

Benki ya Dunia yaisimamishia Uganda msaada


S_77135.png
Benki ya dunia imesitisha mkopo wa dola milioni 90 kwa Uganda wa kuimarisha sekta ya afya kufuatia kupitishwa kwa sheria inayoharamisha ushoga na kutoa adhabu kali kwa watakaopatikana na hatia
Hatua hiyo ya benki ya dunia haikutarajiwa na wengi kwani taasisi hiyo mara nyingi hujiepusha kuingilia masuala ya ndani ya kisiasa ya nchi wanachama au kuhusiana na masuala kama haki za mashoga, kuepuka kuzishurutisha nchi wanachame wake 188.
Hata hivyo msemaji wa benki hiyo David Theis amesema katika barua pepe kuwa wamesitisha mradi huo wa kuboresha sekta ya afya ya Uganda hadi watakapoufanyia tathmini na kuhakikisha malengo yake ya maendeleo hayataathiriwa na sheria hiyo mpya ya kuharamisha ushoga.
Rais wa benki hiyo Jim Yong Kim amewatumia wafanyakazi wake barua akisema benki ya dunia inapinga ubaguzi na itawalinda wafanyakazi wake wote na kuongeza kupitishwa kwa sheria hiyo ya Uganda sio nchi ya kwanza kufanya hivyo kwani ushoga umeharamishwa katika nchi 83 na zaidi ya nyingine 100 zinawabagua wanawake.
Mkopo ulikuwa uimarishe sekta ya afya
Licha ya kusimamishwa kwa mkopo huo wa dola milioni 90,benki ya dunia bado ina miradi mingine nchini Uganda ya kiasi cha dola bilioni 1.56. Mkopo huo ulitarajiwa kuidhinishwa hapo jana na ulipaswa kuangazia miradi ya kuboresha afya ya uzazi,afya ya watoto wachanga na uzazi wa mpango
Kutiwa saini kwa sheria hiyo ya kuharamisha ushoga Uganda na Rais Yoweri Museveni mapema wiki hii kumeibua shutuma kali kutoka kwa nchi za magharibi na mashirika ya kutetea haki za binadamu.
Norway,Denmark na Uholanzi zimetangaza kuwa zitasitisha misaada kwa serikali ya Uganda kutokana na sheria hiyo na nchi nyingine wafadhili ikiwemo Marekani pia zimetishia kusitisha misaada na kutafakari upya uhusiano kati yao na Uganda.
Ghadhabu hiyo ya nchi za magharibi kuhusu kuharamishwa kwa ushoga ambayo adhabu yake ni kifungo cha maisha gerezani kwa watakaokutikana na hatia imeporomosha thamani ya shilingi ya Uganda na kusababisha Benki nchini humo kuingilia kati kwa siku mbili mfululizo
Kutiwa saini kwa sheria hiyo ya kuharamisha ushoga Uganda na Rais Yoweri Museveni mapema wiki hii kumeibua shutuma kali kutoka kwa nchi za magharibi na mashirika ya kutetea haki za binadamu.
Norway,Denmark na Uholanzi zimetangaza kuwa zitasitisha misaada kwa serikali ya Uganda kutokana na sheria hiyo na nchi nyingine wafadhili ikiwemo Marekani pia zimetishia kusitisha misaada na kutafakari upya uhusiano kati yao na Uganda.
Ghadhabu hiyo ya nchi za magharibi kuhusu kuharamishwa kwa ushoga ambayo adhabu yake ni kifungo cha maisha gerezani kwa watakaokutikana na hatia imeporomosha thamani ya shilingi ya Uganda na kusababisha Benki nchini humo kuingilia kati kwa siku mbili mfululizo
Serikali ya Uganda haina wasiwasi
Hata hivyo msemaji wa serikali ya Uganda Ofwono Opondo amesema Uganda inaweza kujiendeleza bila ya misaada kutoka nchi za magharibi na kuongeza Uganda haina wasiwasi na hatua hizo kwani ni wakati kwa Afrika kupinga ukoloni, utumwa na ubabe kutoka magharibi.
Mwanaharakati ambaye amekuwa katika mstari wa mbele kuwatetea mashoga nchini Uganda Frank Mugisha alikutana na maafisa wa ngazi ya juu wa wizara ya mambo ya nje ya Marekani mjini Washington hapo jana kuomba usaidizi utakaowalinda mashoga.
Ofisi ya kutetea haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa umelaani kuchapishwa kwa majina ya watu wanaodaiwa kuwa mashoga nchini Uganda katika gazeti moja la udaku nchini humo na kuonya hatua hiyo inakiuka haki ya kuwa na faragha na kuonyesha wazi kuwa maisha ya mashoga yamo hatarini.
Kiongozi wa upinzani Uganda Kizza Besigye ameishutumu serikali kwa kutumia suala hilo kuwahadaa raia wa nchi hiyo ili wasiangalie masuala muhimu kama ufisadi au kuwepo kwa jeshi la Uganda Sudan Kusini.

Meek Mill Takes Over Hollywood At Supperclub


Meek Mill at #SupperclubTuesdays
The Supreme Team LA had Los Angeles on fire last night with them “Philly Buls” as Meek Mill hosted #SupperclubTuesdays! Meek surely didn’t disappoint and put on a show for all of Hollywood to see. He partied with a few pretty ladies and could be seen snapping selfies while sippin Ciroc and getting “turnt up” with his crew.
Meek offered fans an impromptu 15 min set and thanked the crowd for coming out. He kicked off his medley with “Dreams and NIghtmares” and as the beat dropped, the crowd went bananas. The energy was crazy, so Meek ran through a few hits including, “House Party,” “I’m a Boss,” and “Levels.”
Not only did fans pack the house but a ton of celebs came along to see the show, including: Lashontae Heckard, Teyana Taylor, Christina Milian with fiance Jas Prince, Philadelphia Eagles’ Desean Jackson, Young Berg, Kevin McCall, Daniel “Boobie” Gibson and more. Check out the photos below courtesy of Vlex Photos for Six 27 Branding.

Sourece allhip hop.com
Meek Mill, Jas Prince, and Fiance, Christina Milian
Teyana Taylor with Meek Mill at #Supperclubtuesdays

Sunday, February 16, 2014

TAIFA STARS KUWEKA KAMBI UHOLANZI



SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeanza rasmi mikakati ya kuiwezesha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kufuzu kwa Fainali za mataifa ya Afrika (AFCON) mwakani baada ya kupanga mpango wa timu hiyo kuweka kambi nchini Uholanzi.

Kambi hiyo itakuwa ni maalumu kwa timu hiyo kuweza kujiandaa na hatua ya kufuzu kwa fainali hizo zitakazofanyika mwakani nchini Morocco na kushirikisha jumla ya mataifa 16 yatakayofuzu.

Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mjini Dar es Salaam, Rais wa TFF, Jamal Malinzi amesema endapo Stars itafanikiwa kupita katika hatua ya awali ya mchujo ikiwa itapangwa kwenye hatua hiyo, wamepanga kuweka kambi nchini Uholanzi ya timu hiyo, ili kujiandaa na hatua ya pili ya makundi.

Malinzi alisema wameamua kufanya hivyo ili kurudia historia ya mwaka 1980 ya Stars kufuzu kwa mara ya mwisho michuano ya AFCON, iliyofanyika nchini Nigeria, ambapo Stars iliweka kambi Uholanzi mwaka 1979 na kufanikiwa kufuzu kwa fainali hizo.

“Tumepokea barua ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) inayotueleza kuwa mechi zetu za mchujo zitaanza kati ya mwezi Mei hadi Agosti kutokana na kiwango chetu kuwa chini ya nchi 21 bora za bara hili, hivyo muda si mrefu tunafikiria kurekebisha benchi lote la ufundi kwa pamoja na kuanza mikakati ya timu hiyo.

“Huenda timu yetu ikaanzia hatua ya mchujo kama CAF walivyotuandikia, ikifanikiwa kufuzu katika hatua ya makundi ttumepanga kuweka kambi nje ya nchi katika nchi ya Uholanzi, na huko timu itapata mafunzo ya kisasa ili kufanya vizuri kwenye hatua ya makundi,” alisema Malinzi.

Katika hatua nyingine alisema kwa sasa wameshazungumza na Balozi wa Uholanzi hapa nchini kwa ajili ya mipango yao hiyo, pia wamewataarifu wadhamini wakuu wa Stars, Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia kinywaji chao cha Kilimanjaro Premier Lager ili kuandaa bajeti ya ziara hiyo.

Ile Inshu Kajala kutoka na Clement ... Wema awashukia wanaosambaza habari huko Instagram cheki alichokiandika

King Crazy GK aonekana kutakata na Diva wa Clouds huko kwenye Instagram



http://distilleryimage1.ak.instagram.com/1a4a2f0294aa11e3a2071281ee17c4f5_8.jpg

Wednesday, February 12, 2014

LIGI KUU ENGLAND LEO

city_94df7.jpg

ROSE NDAUKA ASUSIWA AROBAINI YA MWANAE


UNAFIKI, kubaguana na upendo wa maigizo vimeendelea kuonekana miongoni mwa mastaa wa Bongo baada ya hivi karibuni kususa hafla ya kumtoa nje mtoto wa mwigizaji machachari, Rose Ndauka aitwaye Naveen.

Tukio hilo   lilitokea wikiendi iliyopita, nyumbani kwa msanii huyo, Tandale – Tanesco, Dar, ambapo kichanga chake kilikuwa kimetimiza siku 40 tangu kuzaliwa kwake.

Tofauti na matarajio ya wengi, hafla hiyo ilihudhuriwa na mastaa wachache ambao hata hivyo baadhi yao hawakuonesha ushirikiano wa kutosha – ni kama walikwenda kutembea tu!
Wengi kati ya wachache waliohudhuria walijifungia ndani, wakikwepa macho ya watu badala ya kusaidiana majukumu ya hapa na pale kama ilivyotegemewa.
 

Wasanii walionekana kuwa bize kumuunga mkono mwenzao ni pamoja na Yvonne Cherry ‘Monalisa’, Suzan Lewis ‘Natasha’, Chuchu Hans na Skaina Ally.
Risasi Mchanganyiko lilimwuliza Rose kuhusu kususwa huko ambapo alijibu: “Siwezi kusema wamenisusia, unajua wakati mwingine huenda wametingwa na majukumu. Nilichokifanya ni kutimiza wajibu wangu wa kuwaalika wenzangu na nilitegemea wangenisapoti. 

“Hata hivyo wapo baadhi walitoa udhuru mbalimbali. Nimefurahi kwa waliofika na nimefarijika sana kuja kusherehekea pamoja nami. Nawapenda wote maana ni ndugu zangu."Akaongeza: “Pia siwezi kuacha kumshukuru mama yangu mzazi pamoja na mama mzaa chema (mkwewe) kwa kunipa sapoti katika kipindi chote nilichokuwa mjamzito mpaka nilipojifungua salama...  jamani mimba siyo kitu kidogo.”

Sunday, February 9, 2014

Wife logs on to Facebook to discover her bigamist husband had married a Gambian teenager (at the SAME wedding venue)


  • Nicolette Smith disappointed Stephen Smith not jailed for taking new bride
  • Three-times-married Smith caught after picture of wedding appeared online
  • But he said he was a victim after Awa Jobarteh, 19, left him after 2 days
  • Nicolette also married the bigamist in the Gambia, after his divorce
Bigamist: Stephen Smith, 52, was caught after this picture of him with his new bride Awa Jobarteh, 19, appeared on Facebook and was seen by his current wife
Bigamist: Stephen Smith, 52, was caught after this picture of him with his new bride Awa Jobarteh, 19, appeared on Facebook and was seen by his current wife

TUPIA MACHO TOLEO JIPYA LA SAMSUNG S5






KUFURU LA PREZZO CHEKI GARI ALILO NUNUA....