skills za kitaa

Monday, March 11, 2013

Hip-Hop Rumors: Rihanna / Ciara Beef Takes A Strange Turn

by illseed

Ciara
So, I have not said a lot about it, but Ciara and Rihanna have spiraled back into beef. I didn’t really know they had beef before. I think it started with an interview Ciara did and she slighted Rihanna before she was a powerhouse. Anyway, that’s cool and all that, but recently they have engaged in a cat fight.
Now, the other day Ciara posted a video of herself performing her new song and RiRi’s best friend clowned it and posted the following pic of them laughing at it.

Melissa Rihanna 500x504 Twitter Beef: Rihannas BFF, Melissa, Disses Ciara
Then CiCi tried to take the high road, mostly I suspect because she cannot win in the low road regions.Source all hip hop.com

Mwana FA Afunguka kuwa Siasa yeye No


  Imeandika Bongo5:
Rapper Hamis Mwinjuma aka Mwana FA amekanusha tetesi kuwa ana mpango wa kugombea ubunge katika moja ya majimbo ya mkoani Tanga anakotokea na kudai kuwa lengo lake ni kuisaidia jamii lakini si kwa kupitia siasa.

Akiongea na 255 ya Clouds FM, Mwana FA amesema kwa nafasi aliyonayo kama msanii anaweza kuisaidia jamii bila ya kuwa mwakilishi wa kisiasa.

Msome hapa Diamond

Nasibu Abdul a.k.a ‘Diamond’ hivi karibuni aliwachefua waumini wenzake wa dini ya Kiislam baada ya kutinga kwenye Maulidi akiwa amevaa hereni na cheni.

Tukio hilo lilijiri maeneo ya Tandale, Dar ambapo mama yake aliyemtambulisha kwa jina la Aunt Shani aliandaa maulidi kwa ajili ya kumshukuru Mwenyezi Mungu.

Ben Pol na Rama Dee washangazwa na mtandao huu wa simu unaouza nyimbo zao bila ridhaa yao


Imeandika gongamx :
Wasanii wa kizazi kipya (Bongo Flava) bado wamekuwa wakilalamika kuibiwa mapato kama sio kazi zao bila ruhusa zao. 

Mapato hayo ambayo yako katika mfumo wa miito ya simu, yaani caller tunes wameonekana kutokushiriki kwenye mauzo haya na wengine wameonekana kulalamika moja kwa moja kupitia mitandao ya jamii.

Kumbe Uhuru Kenyatta wa Kenya ndiye Rais tajiri zaidi Africa!


bongo5 wrote:
Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta ndio rais tajiri zaidi barani Afrika. Kenyatta alikamata nafasi ya 26 mwaka 2011 kwenye orodha ya watu matajiri zaidi barani Afrika kwa kuwa na utajiri unaofikia dola milioni 500.

Mtoto huyo wa rais wa kwanza wa Kenya Jomo Kenyatta ni mrithi wa mali kibao zilizopo Kenya. Anamiliki ardhi yenye ukubwa wa acre 500,000 katika maeneo mbalimbali nchini humo.