skills za kitaa

Tuesday, April 29, 2014

Jackline Wolper Ampiku Agness Masogange Kwa Pedeshee Wa Kihindi, Ni Yule Aliyetoa Milioni 40 Kwa Ajili Ya Kumchumbia Masogange

Msanii Wolper akiwa na Prence Kass maarufu kama Muhindi wa Masogange
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Xdeejayz imenasa picha za msanii nyota wa filamu za Kibongo Jackline Wolper akiwa na mfanyabishara mmoja wa kihindi mwenye pesa ndefu aliyefahamika kwa jina la Prence Kass maarufu kama Muhindi wa Masogange.
Agness  Masogange ambae aliwahi kutolewa barua ya uchumba na Muhindi huyo mapema mwaka huu, hata hivyo haikufahamika mambo hayo yaliishia wapi.
Picha hizo zinazowaonesha wawili hao wakiwa kwenye moja ya viunga vya Club ya usiku iliyopo Oysterbay/ Masaki ambapo hata hivyo uhalisia wa picha hizo unamuonesha Wolper akiwa bwii kiasi cha kuubetua mdomo wake ambapo sio kawaida kwa mtu mwenye ufahamu na staa kama yeye kupiga picha zenye pozi baya kama hizi.
Msanii Wolper akiwa na Prence Kass maarufu kama Muhindi wa Masogange hapa nyota huyo akionekana akiwa amelewa uso unamajibu kwani hilo sio pozi la kawaida la mdomo kuubetua kiasi hicho.Inatoka kwa mdau.

Thursday, April 24, 2014

MKE WA PETER WA P SQUA AFUNGUKA

Wakati mashabiki wa kundi la muziki linaloiwakilisha vizuri Afrika kidunia P-Square kutoka Nigeria wanaendelea kuwaombea ndugu hao wamalize tofauti zao, mke wa Peter Okoye aitwaye Lola Omotayo, amevunja ukimya kwa kuzungumza baada ya ripoti kumtaja kuwa sehemu ya chanzo cha matatizo ya familia hiyo yaliyojitokeza.
Kupitia ukurasa wake wa facebook Lola ambaye ni mama wa watoto wawili wa Peter ameandika:
“I’m a Lady of Substance though I have my Shortcomings, I might not be Loved by Everyone but the People that matters to me hold me in High Esteem and thats enough for Me.”
Peter Okoye na mkewake LolaKwa mujibu wa Naija Gists, chanzo kimoja kimesema ndugu hao wanafanya jitihada za kumaliza tofauti zao.

VIDEO HII IKIRUKA KWENYE TV STATION ZA BONGO, TV HIYO LAZIMA IFUNGIWE FASTA KWANI NI CHAFU SANA

Mwanzoni ikiwa inaanza unaweza kusema kwamba ni ya kawaida, sasa cha kufanya jump hadi dakika 2 na sekunde 34 ambapo kwanza utakutana na warning ya Close your eyes then kinachofuata ni balaa.Msanii huyu anaitwa Maheeda maarufu kama bad girl wa Nigeria na video hii ina kick sana youtube hivi sasa lakini kwa uhakika haitachezwa kwenye vituo vya nchi nyingi sana.

Monday, April 21, 2014

Diamond aingizwa katika kuwania tuzo za MTV MAMA 2014


MTV Base  wametangaza watakao wania tuzo MTV Africa Music Awards 2014. 

Mwanamziki kutoka Tanzania Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo hizo kupitia vipengele viwili moja wapo ikiwa ni Best male ambapo anachuana na Anselmo Ralph (Angola), Davido (Nigeria), Donald (South Africa) na Wizkid (Nigeria).

kipengele cha pili ambapo Diamond amechaguliwa ni kipengele cha Best Collable ambapo wimbo wa "My Number 1" aliomshirikisha Davido unachuwana na  Mafikizolo feat May D – ‘Happiness’ (South Africa/Nigeria) R2bees feat Wizkid – ‘Slow Down’ (Ghana/Nigeria) Uhuru feat DJ Buckz, Oskido, Professor, Yuri Da Cunha – ‘Y-tjukutja’ (South Africa/Angola)
kupitia akaunti yake yainstagram Diamond ameandika 
 "I strongly believe that its without a doubt The Undying support from the media, my beloved fans plus my fellow artists that has made me get nominated in these categories.... I really appreciate it alot... So lets put more energy and support Now so dat I actually get the awards Cause if I win this will bring more Pride and Respect to our Nation.....
( Naamini kutokana na support kubwa toka kwa media, mashabiki, Wasanii na wadau mbalimbali ndio zimesababisha mimi kuteuliwa na kuwa mmoja wa wakilishi katika tunzo hizi... kiukweli nawashkuru sana, tena sana... Tafadhari naomba mzidi kuniwekea nguvu na support zaidi ya mwanzo ili tuweze kutwaa tunzo hizi...na kuleta sifa na Heshima nyumbani....)"


 MUSIC CATEGORIES

Best Male:
Anselmo Ralph (Angola)
Davido (Nigeria)
Diamond (Tanzania)
Donald (South Africa)
Wizkid (Nigeria)

Best Female:
Arielle T (Gabon)
Chidinma (Nigeria)
DJ C’ndo (South Africa)
Efya (Ghana)
Tiwa Savage (Nigeria)

Best Group:
Big Nuz (South Africa)
Mafikizolo (South Africa)
Mi Casa (South Africa)
P Square (Nigeria)
Sauti Sol (Kenya)

Best New Act:
Burna Boy (Nigeria)
Heavy K (South Africa)
Phyno (Nigeria)
Stanley Enow (Cameroon)
Uhuru (South Africa)

Best Live Act:
2face (Nigeria)
Fally Ipupa (DRC)
Flavour (Nigeria)
Dr Malinga (South Africa)
Zakes Bantwini (South Africa)

Best Collaboration:
Amani ft Radio and Weasel – ‘Kiboko Changu’ (Kenya/Uganda)
Diamond feat Davido – ‘Number One’ (Remix) (Tanzania/Nigeria)
Mafikizolo feat May D – ‘Happiness’ (South Africa/Nigeria)
R2bees feat Wizkid – ‘Slow Down’ (Ghana/Nigeria)
Uhuru feat DJ Buckz, Oskido, Professor, Yuri Da Cunha – ‘Y-tjukutja’ (South Africa/Angola)

Artist of the Year:
Davido (Nigeria)
Mafikizolo (South Africa)
Mi Casa (South Africa)
P Square (Nigeria)
Uhuru (South Africa)

Song of the Year:
Davido- ‘Skelewu’ (Nigeria)
DJ Clock feat Beatenberg – ‘Pluto’ (Remember Me) (South Africa)
DJ Ganyani feat FB – ‘Xigubu’ (South Africa)
DJ Kent feat The Arrows –‘Spin My World Around’ (South Africa)
Dr Sid feat Don Jazzy – ‘Surulere’ (Nigeria)
KCee - ‘Limpopo’ (Nigeria)
Mafikizolo feat Uhuru ‘Khona’ (South Africa)
Mi Casa- ‘Jika’ (South Africa)
P Square – ‘Personally’ (Nigeria)
Yuri Da Cunha -‘Atchu Tchu Tcha’ (Angola)

Best Hip Hop:
AKA (South Africa)
Ice Prince (Nigeria)
Khuli Chana (South Africa)
Olamide (Nigeria)
Sarkodie (Ghana)

Best Pop:
Danny K (South Africa)
Fuse ODG (Ghana)
Goldfish (South Africa)
LCNVL (South Africa)
Mathew Mole (South Africa)

Best Alternative:
Gangs of Ballet (South Africa)
Michael Loman (South Africa)
Nakhane Toure (South Africa)
Parlotones (South Africa)
Shortstraw (South Africa)

Best Francophone:
Arielle T (Gabon)
Espoir 2000 (Ivory Coast)
Ferre Gola (DRC)
Toofan (Togo)
Youssoupha (Congo)

Best Lusophone:
Anselmo Ralph (Angola)
JD (Angola)
Lizha James (Mozambique)
Nelson Freitas (Cape Verde)
Yuri Da Cunha (Angola)

NON MUSIC CATEGORIES

Personality of the Year:
Chimamanda Adiche (Nigeria)
Omotola Jalade Ekeinde (Nigeria)
Trevor Noah (South Africa)
Lupita Nyong’o (Kenya)
Yaya Toure (Cote d’Ivoire)

Transform Today by Absolut
Anisa Mpungwe (Tanzania)
Clarence Peters (Nigeria)
I See a Different You (South Africa)
Leti Arts (Ghana)
Rasty (South Africa)

Voting for the MTV Africa Music Awards is open HERE from 16 April 2014 until midnight on 4 June 2014.

For more information on the MTV Africa Music Awards KwaZulu-Natal supported by Absolut & The City of Durban, please go mama.mtv.com like us on Facebook, follow us on Twitter @MTVBaseAfrica. To join the conversation about the awards please use the hashtag #MTVMAMA.

Gagasi FM is the official radio media partner of the 2014 MTV Africa Music Awards KwaZulu-Natal supported by Absolut & The City of Durban.

WEMA SEPETU NA KIM KARDASHIAN NI KAMA MAPACHA LAO NI MOJA TU..!! SOMA HAPA

 

Kama ulikuwa unamfahamu mpenzi mpya wa Rapper Kanye West, ndiye huyu aitwaye Kim Kardashian, ni mmoja kati ya watu maarufu sana ambao vibemagazineTz research imefanywa na kuona kuwa wote kumbe wanafanana maisha yao katika mambo mengi sana, ingawa tofauti ni location waishizo, kwenye hili, utashangaa ni jinsi gani wanavyofanya yao kama vile wanaambizana na utagundua na kuona kuwa ni haki kabisa kuamini kuwa watu hawa wawili lao ni moja.
Wote wanamahusiano na wanamuziki maarufu.
collanvge
Wema Sepetu akiwa yeye mwenyewe ni mtu maarufu teyari, haitoshi bado nayeye kufikia hatua ya kuzama katika penzi la mwana muziki maarufu East Africa na Africa kwa ujumla maarufu kama Diamond Platnum aka Dangote,huku nae Kim Kardashian yeye akiwa ndiye amefunga kazi na kutua moyo wake kwa rapper maarufu duniani, Kanye West.
Kila mmoja anamiliki Reality Tvshow.
collajjcge
Chakushangaza zaidi ukitaka kuamini kuwa, wawili hawa kweli lao moja ni hapa kwenye Reality Tvshow, Wema Sepetu anamiliki show inayokwenda hewani kwenye television ya hapa Tzee, kwenye show yake maarufu anayoiendesha mwenyewe iitwayo, In My Shoes, ikielezea maisha yake halisi ya kila siku, na matukio mbali mbali yamtokeayo. Kwa upande wa Kim Kardashian naye ana Tvshow yake ila kwa huyu show hiyo inaendeshwa na mama yake mzazi, inayoelezea maisha ya familia yao na matukio mbali mabli yanayohusu familia nzima ya Kardashian, haswa yanayomhusu Kim.
Wote wanamsukumo mkubwa kwa jamii.
colln,nage
Ukiongelea kuhusu Wema Sepetu hapa Tzee au East Africa hakuna mtu ambaye ni geni kwake jina hili, na inasemekana ni mmoja kati ya watu maarufu wenye msukumo mkubwa kwa jamii, kwa vile kila shabiki wa msanii huyu atataka kuiga kile Wema Sepetu afanyalo au kuvaa, huku Kim Kardashian ndo amezidi kuwa kama role model wa kila msichana anayekua kwa asilimia kubwa sana ya jamii nyingi duniani, kufuatilia ni nini amevaa, nk
wawili hawa ni waigizaji maarufu.
collage
Kama Dangote aka Diamond Platnumz waliweza kukaa chini na kanye West, basi unaweza kuamini kuwa hapa kwa hili walipanga, cause Wema Sepetu na Kim Kardashian wote ni waigizaji maarufu, ila kwa upande wa Wema Sepetu ameweza kucheza movie nyingi zaidi yake Kim.
Wote ni talk of the town  na wanajiweza kifwedha.
collagkskde
Ukiongelea Wema Sepetu na Kim Kardashian, tukiongelea kwenye upande mzima wa urembo na jinsi walivyoumbika , unaweza kusema wamependelewa na kwa mwanaume wa kawaida, umwonapo mmoja wao bila hata yakugeuga mara tano hivi, hata kama upo na mamaa pembeni, basi ukapimwe hautakuwa mzima kabisa.
Ukiachana na umaarufu wao wa hawa warembo wawili,ukiachana na utajiri mkubwa waliopata kutokana na kazi zao za kila siku, mbali na uigizaji na bishara nyingine nyingi wazifanyazo, honestly speaking, these ladies are loaded, kifamilia zaidi upande wote kwa Sepetu na Kardashian, na ni watu wenye majina makubwa sana, ukiongelea kati ya watu maarufu wanaojiweza kifwedha basi hawa nao wamo.

Source: Vibe Magazine

SOMA TAARIFA MPYA YA P-SQUARE



Wiki hii mitandao ya Nigeria iliripoti kuwa kulikuwa na ugomvi mkubwa kati ya mapacha wanaounda kundi la PSquare, Peter na Paul Okoye na kwamba walitaka kupigana wakati wakiwa mazoezini.
Habari hizo zilichochewa na tweet ya kaka yao mkubwa ambaye ni meneja wao, Jude Okoye iliyootafsiriwa na mitandao hiyo kuwa huenda ameachana na kundi hilo baada ya kuwepo ugomvi kati yake na ndugu hao kutokana na msimamo wake wa kutohudhuria ndoa ya kisasa ya mdogo wake itakayofanyika Dubai.
Mitandao hiyo iliandika kuwa Jude Okoye hapatani kabisa na mke wa Peter Okoye, Lola Omotayo.
“After over 10 years of hard work, it’s over. Am done.” Alitweet Jude Okoye.
Hata hivyo, msemaji wa kundi hilo anaejulikana kama Bayo Adetu amekanusha habari hizo wakati akiongea na Premium Times na kudai kuwa hafahamu habari hizo zimetoka wapi.  
“I am too busy to give some wanna be blogger traffic, I don’t know where that report is coming from. Maybe they just want to get traffic to their site. It’s baseless and untrue.” Amesema Bayo Adetu.

Joto lazidi kuwa tishio

Mafuriko kutokana na mabadiliko ya tabia nchi
Mabadiliko ya tabia nchi duniani huenda yakaleta madhara makubwa zaidi na ambayo hayawezi kurekebishika, ripoti ya Umoja wa Mataifa imeonya. Wanasayansi na maafisa wanaokutana nchiniJapan wamesema ripoti hiyo imefanya uchunguzi wa kina kwa sasa kuhusu athari za mabadiliko ya tabia nchi duniani.
Wajumbe wa jopo la Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya hali ya hewa, wamesema ripoti hiyo inatoa ushahidi wa kutosha wa kiwango cha madhara hayo.
Mifumo asilia kwa sasa haufanyi kazi sawasawa, lakini ongezeko la madhara kwa binadamu ndilo jambolinalohofiwa zaidi.
Afya zetu, makaazi, chakula na usalama vyote viko katika hatari kutokana na kuongezeka kwa viwango vya joto, ripoti hiyo inasema.
Ripoti hiyo ilipitishwa baada ya majadiliano ya kina yaliyodumu kwa wiki moja mjini Yokohama.
Kwa hisani ya BBC Swahili

Tupia macho England's official World Cup shirt now available for pre-order - and it costs a whopping £90!


HARUSI YA PRODUYZA P FUNK


Mashallah Mr & Mrs Majani 
Mrs Majani aka Hidaya akiwa na kichuna chao
 Maharusi mara baada ya kufunga ndoa yao
Mabrouk to P Funk & Hidya tunawatakia kila la kheri

WATU WALIOPOTEZA JAMAA ZAO KWA AJALI YA FERRY WAPAMBANA NA POLISI



Jamaa wa baadhi ya waathiriwa 250 wa ajali ya Ferry nchini Korea Kusini ambao bado hawajapatikana, wamekabiliana na polisi.
Jamaa hao wanalalamikia kile wanachosema ni kujikokota kwa waokozi wanaowatafuta waathiriwa hao.
Usiku kucha , wapiga mbili walipata miili 17 zaidi baada ya kufanikiwa kuingia ndani ya Ferry hiyo iliyozama kwa mara ya kwanza.
Walinzi wa bahari katika pwani ya nchi hiyo, walishindwa kueleza ni sehemu gani hasa ambapo miili hiyo ilipatikana ndani ya ferry hiyo baada ya kushindwa kuona vyema wakiwa chini ya bahari.
Meli hiyo ilizama siku ya Jumatatu ikiwa imewabeba watu zaidi ya mienne wengi wakiwa wanafunzi wa shuke.
Mawimbi makali na hali mbaya ya hewa inaathiiri shughuli ya kuwatafuta waathiriwa.
Waendesha mashitaka wanasema kuwa wakati wa ajali hiyo kulikuwa na nahodha mwengine asiye na uzoefu aliyekuwa ameshikilia usukani wa meli hiyo.
Nahodha huyo alikamatwa pamoja na nahodha wa ferry hiyo na wafanyikazi wengine.Chanzo Bbc

SOMA ALICHO ANDIKA MPENZI WA OZIL


Back in form: Ozil displayed several fine touches on his return from a hamstring injury against Hull for Arsenal
Baada ya kukosa mechi saba, Kiungo Mesut Ozil aliesainiwa kutoka Real Madrid ya Hispania kwa ada ya £42.5 million, ameweza kurejea leo wakati Arsenal walipoingia dimbani kuminyana na Hull city ambao alipewa majukumu ya mshambuliaji , 
Loved up: Ozil and Capristo on holiday in New York
Ozil akiwa mapumziko na Mchumba yake jijini New York
Furaha ikiwa kubwa kwa mashabiki wa Arsenal na kocha wa Arsne Wenger ila huko majumbani furaha ilikua kubwa sana kwa mpenzi wake Ozil ambae alidhirisha furaha hio kwa kuweka picha katika mtandao wa instagram na facebook akijaribu kuonesha furaha yake huku akiandika maneno haya 
"Good luck... we are so proud of you" na kuweka picha pia ambayo ipo chini.

Good luck... we are so proud of you: Mandy Capristo's message for boyfriend Mesut Ozil
picha ilioweka mpenzi wa Ozil

Saturday, April 19, 2014

Soma Habari mbaya kuhusu kundi la PSquare's


Now there are fears that there's real big trouble in PSquare's camp. Their elder brother, manager and director Jude Okoye just tweeted this "After 10 years of Hard Work, Now its Over , Am Done..." No full details or statement yet from them.But according to Linda, Peter and Paul Okoye of P-Square have been reportedly having issues for a while now. That the twin brothers practically disagree on everything now...songs, videos, ideas etc. That things even got out of hand last Wednesday April 16th, the brothers physically fought each other during rehearsals. They had to be separated by their dancers. Then that there are stories that one of the wives is the one causing some of the problems between the brothers. Real scary! Add all that to this tweet Jude just shared an hour ago. I hope all is well o?

Flaviana Matata hawa VERIFIED FACEBOOK


Kupitia akaunti ya Facebook, Instagram na Twitter ya Flaviana Matata’ Model anayeiwakilisha vye
ma Tanzania kimataifa alipost kwenye mitandao hiyo ya kijamii na kusema kuwa….
“Am back on FACEBOOK and VERIFIED, glad we manage to shut down all fake accounts and get my real account back”.
Huku akiwashukuru Rossana Wang, Michael Carter Mlingwa na Lauren kwa msaada wao mkubwa kufanikisha zoezi hilo ambapo muonekano wa page hiyo ya Flaviana Matata ambayo inaonyesha “Tick ya Blue” kuonyesha kuwa imekua Verified kuwa mtumiaji wa account hiyo ni mwenyewe, na hii ni kutokana na watu wengi kufungua account za mitandao ya kijamii na kutumia majina ya mastar hao. alama ya tick ya blue mbele ya jina la mtumiaji ili kumtambulisha kwa marafiki, ndugu, jamaa, mashabiki wako wanaokufatilia kwenye page husika kuwa mhusika ni mtumiaji halisi wa account hiyo.
Mitandao ya kijamii kama Facebook na Twitter wamekuwa wakifanya hivyo kwa watu maarufu duniani katika nyanja mbalimbali kama muziki, serikali, siasa, uigizaji, dini, mitindo, uandishi wa habari, biashara n.k.
Hapo awali kulikua na akaunti nyingi zinazotumia jina la Flaviana Matata na baada ya akunti ya Flaviana Matata kua verified akaunti nyingine zote zilizokua zikitumia jina lake zilifutwa na Facebook. Flaviana Matata anakua mtanzania wa kwanza kuwa verified katika Facebook, Akaunti nyingine iliyoverified Facebook ni za kampuni ya Tigo Tanzania na Airtel Tanzania.

HUYU NDIYE MBONGO ALIYEFANYA VIDEO NA RICK ROSS








CYNTHIA MASASI (TANZANIA)

  Vixen kutoka Mwanza Tanzania Ambaye anafanyia kazi zake Marekani.Ameshakua Featured Kwenye videos zaidi ya 30 nchini Marekani.Ameshafanya videos na wasanii kama T.I, Juvenile, Jazze Pha, Rick Ross na
wengine kibao. Baadhi ni Ride Remix-Trey Songz Ft Rick Ross,Juelz Santana , Dont touch me – Busta Rymes na I know you see it ya Young Joc