skills za kitaa

Saturday, August 10, 2013

Cheki Lulu akifunguka kuhusu mastaa nchini kwenda shule!


Shule ni kitu muhimu sana kwa mtu yeyote hasa yule ambaye ni kioo cha jamii au kiongozi. Sasa actress maarufu Swahili movies Elizabeth Michael(Lulu) amechukua hatua zake kwenye hii ishu ya elimu pamoja na kusema "Getting more knowledge…..!!!we have to learn….especially sisi celebrities wa bongo….wengi wetu tunaongeaga pumba sana in public…yaani hatujui nini tuongee wapi!!!!just an advice lakni…..!!!!Am good to go......"
Inaonekana Lulu anasoma hiki kitabu ili kimsaidie pale anapoongea mbele ya jamii hasa kwenye interview


                                                                     


Lulu

No comments: