skills za kitaa

Tuesday, November 3, 2015

Tupia macho Video ya Justin Bieber


Tilal ya Jay -Z kuja na vichekesho


Lil Wayne kutinga na ngoma mpya


Bella:Uwezo wangu unazidikuwa mkubwa



Msanii na mmiliki wa Bendi ya Malaika Band, Christian Bella amefunguka na kusema anamshukuru Mungu uwezo wake kimuziki unazidi kuwa juu kila siku.
Msanii Christian Bella akifanya yake stejini
Christian Bella ni kati ya wasanii ambao walifanya vizuri na kuweza kukonga nyonyo za mashabiki wengi walitokea katika shoo ya Wizkid pale Leaders Club siku ya Jumamosi ya wiki iliyopita.
Akipiga stori katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Bella amesema shoo ile ilikuwa ngumu lakini aliipenda kwa sababu walipata nafasi ya kutosha kuimba kwa nafasi jambo ambalo lilifanya mashabiki waweze kusikia nyimbo nyingi zikiwa zimekamilika tofauti na shoo nyingine ambazo huwa wanaimba nyimbo nusu nusu ili kupisha wasanii wengine nao waweze kuimba.
"Shoo za wazi kama hizi huwa zinakuwa ngumu sana lakini nashukuru Mungu niliweza kufanya shoo na watu walinielewa ila niliipenda shoo kwa sababu tulikuwa tunanafasi ya kuimba nyimbo nyingi nzima bila kukata kata,” alisema Bela na kuongeza “Unajua kwenye shoo nyingi za wazi huwa tunaimba viitikio tu na sehemu maalumu za wimbo ili kupisha wasanii wengine nao waweze kuimba lakini hii imekuwa tofauti, ingawa ilikuwa ngumu kwa msanii maana ilikuwa lazima ujipange vyema kuwa na orodha ya nyimbo nzuri ili uweze kuwapa raha mashabiki na nilifanikiwa katika hilo" .
Christian Bella, Fid Q pamoja na Diamond walimsindikiza vyema Wizkid katika shoo hiyo ambapo wasanii hao waliweza kufanya shoo Live kwa kutumia bendi.

Sikiliza Madam Rita anavyozungumzia inshu za shindano lake

 Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen aka Madam Rita

Belle 9 akiongelea ujio wake mpya



Tupia macho hapa chini

Mwimbaji na rapa aliyetesa na bendi za Chuchu Sound na Pamo Sound - Mao Santiago
 (pichani juu), amedhihirisha kuwa bado wamo baada ya kuachia wimbo wake mpya kabisa.
Wimbo huo unakwenda kwa jina la “Mwandani” ukiwa umerekodiwa kwenye studio za Chacho
Fleva ya producer Babu Bomba. Ndani ya wimbo, bass na kinanda vimepigwa na Babu Bomba
wakati solo limekungutwa na Yaniki. Pata uhondo wa wimbo “Mwandani”
Mwimbaji na rapa aliyetesa na bendi za Chuchu Sound na Pamo Sound - Mao Santiago (pichani juu), amedhihirisha kuwa bado wamo baada ya kuachia wimbo wake mpya kabisa. Wimbo huo unakwenda kwa jina la “Mwandani” ukiwa umerekodiwa kwenye studio za Chacho Fleva ya producer Babu Bomba. Ndani ya wimbo, bass na kinanda vimepigwa na Babu Bomba wakati solo limekungutwa na Yaniki. Pata uhondo wa wimbo “Mwandani”

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/11/new-audio-mao-santiago-bado-wamo.html#more
Copyright © saluti5Mwimbaji na rapa aliyetesa na bendi za Chuchu Sound na Pamo Sound - Mao Santiago
 (pichani juu), amedhihirisha kuwa bado wamo baada ya kuachia wimbo wake mpya kabisa.
Wimbo huo unakwenda kwa jina la “Mwandani” ukiwa umerekodiwa kwenye studio za Chacho
Fleva ya producer Babu Bomba. Ndani ya wimbo, bass na kinanda vimepigwa na Babu Bomba
wakati solo limekungutwa na Yaniki. Pata uhondo wa wimbo “Mwandani” kutoka kwake Mao
Santiago ambaye anapatikana kupitia simu namba 0714268624.

SAMATTA AINGIA TOP 10 KUWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA AFRICA




Mbwana Samata
Mbwana Samatta
Mbwana Samatta ameingia kwenye orodha ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika. Samatta anawania tuzo ya mchezaji bora Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (African Player of the Year (Based in Africa) 2015.
Mshindi wa tuzo hiyo ataamuliwa kwa kura zitakazopigwa na makocha pamoja na wakurugenzi wa ufundi wa nchi wanachama wa shikicho la mpira wa miguu Afrika (CAF).
Pia shirikisho hilo limetoa orodha nyingine ya wachezaji wanaowania tuzo ya Afrika ambayo inahusisha wachezaji wanaocheza ligi za ndani au nje ya Afrika.
Tuzo hiyo itakabihiwa kwa mshindi Alhamisi, 7 January 2016 Abuja, Nigeria.
African Player of the – Year Based in Africa
Abdeladim Khadrouf (Morocco & Moghreb Tetouan)
Baghdad Bounedjah (Algeria & Etoile du Sahel)
Felipe Ovono (Equatorial Guinea & Orlando Pirates)
Kermit Erasmus (South Africa & Orlando Pirates)
Mbwana Aly Samatta (Tanzania & TP Mazembe)
Mohamed Meftah (Algeria & USM Alger)
Mudather Eltaib Ibrahim ‘Karika’ (Sudan & El Hilal)
Robert Kidiaba Muteba (DR Congo & TP Mazembe)
Roger Assalé (Cote d’Ivoire & TP Mazembe)
Zineddine Ferhat (Algeria & USM Alger)
 African Player of the
André Ayew (Ghana & Swansea)
Aymen Abdennour (Tunisia & Valencia)
Mudather Eltaib Ibrahim ‘Karika’ (Sudan & El Hilal)
Mohamed Salah (Egypt & Roma)
Pierre-Emerick Aubameyang (Gabon & Borussia Dortmund)
Sadio Mané (Senegal & Southampton)
Serge Aurier (Cote d’Ivoire & Paris Saint Germain)
Sofiane Feghouli (Algeria & Valencia)
Yacine Brahimi (Algeria & Porto)
Yaya Touré (Cote d’Ivoire & Manchester City)chanzo http://shaffihdauda.co.tz
Mwimbaji na rapa aliyetesa na bendi za Chuchu Sound na Pamo Sound - Mao Santiago (pichani juu), amedhihirisha kuwa bado wamo baada ya kuachia wimbo wake mpya kabisa. Wimbo huo unakwenda kwa jina la “Mwandani” ukiwa umerekodiwa kwenye studio za Chacho Fleva ya producer Babu Bomba. Ndani ya wimbo, bass na kinanda vimepigwa na Babu Bomba wakati solo limekungutwa na Yaniki. Pata uhondo wa wimbo “Mwandani”

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/11/new-audio-mao-santiago-bado-wamo.html#more
Copyright © saluti5
Mwimbaji na rapa aliyetesa na bendi za Chuchu Sound na Pamo Sound - Mao Santiago (pichani juu), amedhihirisha kuwa bado wamo baada ya kuachia wimbo wake mpya kabisa. Wimbo huo unakwenda kwa jina la “Mwandani” ukiwa umerekodiwa kwenye studio za Chacho Fleva ya producer Babu Bomba. Ndani ya wimbo, bass na kinanda vimepigwa na Babu Bomba wakati solo limekungutwa na Yaniki. Pata uhondo wa wimbo “Mwandani”

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/11/new-audio-mao-santiago-bado-wamo.html#more
Copyright © saluti5
Mwimbaji na rapa aliyetesa na bendi za Chuchu Sound na Pamo Sound - Mao Santiago (pichani juu), amedhihirisha kuwa bado wamo baada ya kuachia wimbo wake mpya kabisa. Wimbo huo unakwenda kwa jina la “Mwandani” ukiwa umerekodiwa kwenye studio za Chacho Fleva ya producer Babu Bomba. Ndani ya wimbo, bass na kinanda vimepigwa na Babu Bomba wakati solo limekungutwa na Yaniki. Pata uhondo wa wimbo “Mwandani”

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/11/new-audio-mao-santiago-bado-wamo.html#more
Copyright © saluti5

R. Kelly - Backyard Party


VIDEO: Interview ya Ruby


wavu kushiriki Kombe la Taifa Desemba Nne



Timu nne za mpira wa kikapu mkoa wa Dar es salaam zinatarajia kushiriki mashindano ya kombe la taifa yatakayoanza kutimua vumbi Desemba nne mwaka huu.
Katibu mkuu wa chama cha mpira wa wavu mkoa wa Dar es salaam DAREVA Yusuph Mkalambati amesema, timu hizo zitapatikana Desemba 29 mwaka huu baada ya kumalizika kwa mashindano ya wavu ufukweni.
Mkalambati amesema, timu nne ambazo zitafanya vizuri katika mashindano hayo zitauwakilisha mkoa wa Dar es salaam katika masshindano ya kombe la Taifa.
Mkalambati amesema, mashindano ya ufukweni yanaendelea yanashirikisha timu za klabu za mkoa wa Dar es salaam yakiwa na lengo la kuweza kupata wachezaji azuri watakaoendeleza kutangza mchezo huo ndani na nje ya nchi.

Imebainika kumbe Wizkid alikuwa akingojea watu makini


Baada ya mwisho wa wiki kufanya shoo kali ya aina yake katika viwanja vya Leaders Club, nyota wa kimataifa Wizkid ambaye ni mara yake ya kwanza kutumbuiza Tanzania, ameeleza kuwa alikawiza ujio wake ili kufanya kazi na watu sahihi.
nyota wa muziki wa Nigeria Wizkid
Wizkid ambaye alikiri kuwa na mapenzi pekee na kuwakubali mashabiki kutoka hapa Tanzania, ameeleza kuwa amekuwa akiwasiliana na kupata maoni mbalimbali kwa njia ya mtandao, kumtaka kwa ajili ya kutumbuiza hapa nchini.
Kati ya mambo mengi aliyoongea pia, staa huyo akagusia chanzo cha wimbo wake mkali wa Ojuelegba alioufanya kubainisha msoto aliopitia kutoka maisha ya chini kabisa, ikiwa ni rekodi aliyoitengeneza kwa mitindo ya miondoko huru na kuirekodi mara moja pekee.
Wizkid pia akaeleza juu ya lebo yake kubwa ya Starboy ambayo inajihusisha na burudani kwa upana wake, akiwa amechukua wasanii wawili wapya atakaowatambulisha hivi karibuni.
Vilevile akamalizia kwa kueleza alichokuwa anakiwaza baada ya hatua yake ya kujaribu kumvuta msanii Dej Loaf kutoka Marekani katika himaya yake ya kimapenzi.
na hapa anaeleza mwenyewe juu ya ujio wake na kwanini wakati huu.

Thursday, September 10, 2015

Jaribu kuona


Williams aendeleza ubabe wake katika mchezo wa tenesi dhidi ya dada yake


Serena Williams aendeleza ubabe wake katika mchezo wa tenesi dhidi ya dada yake
Serena Williams aendeleza ubabe wake katika mchezo wa tenesi dhidi ya dada yake
Serena williams ameendelea kuwa bora zaidi duniani baada ya kumshinda dada yake Venus william katika mashindano ya US Open na kuzidi kusonga mbele.
Venus (kulia) akimpongeza Serena (kushoto) kwa ushindi wake
Venus (kulia) akimpongeza Serena (kushoto) kwa ushindi wake
Serena ambaye anashika nafasi ya kwanza kwa rekodi bora duniani amemshinda dada yake kwa seti tatu ya 6-2 1-6 6-3 zilizompa nafasi ya kuweza kuingia kwenye mashindano ya nusu fainali huko New York,Marekani.
Katika hatua ya nusu fainali, Serena atachuana na mwanadada wa nchini Italia Roberta Vinci kesho.

Chris Brown


New Video: Yunar – Nitulie


Saturday, August 15, 2015

Kylie Jenner's 18th Birthday Celebration


Usiogope


Glory Johnson to Brittney Griner You Don't Deserve an Annulment ... We're in This Together



0607-glory-johnson-brittney-griner-GETTY-01Glory Johnson's reaction to Brittney Griner's annulment filing getting shot down is ... the judge did what's right and fair -- and she says Brittney can't run from their marriage.
The pregnant Tulsa Shock player tells TMZ Sports ... "I am thankful the annulment was rejected because an act of marriage did occur." As we reported ... an Arizona judge just rejected Griner's request to annul their marriage.
Glory adds, "Together we made life changing decisions which impacted our lives collectively, and we both should be held responsible for those decisions."
Translation: I'm having twins, we're still married, and YOU are the breadwinner for this family.
We've reached out to Brittney's camp ... no word back yet.

Soma nyota hawa


Msanii Q Chillah pamoja na msanii T.I.D hatimae wamemaliza tofauti zao jana katika kipindi cha XXL ya clouds fm na kusema kwamba wameungana na kusameheana.
chi
Wawili hawa walithibitisha hayo wakati wa album review ya kazi za nje ya wawili hawa.Chillah na TID walisema wamemaliza tofauti zao na hawana ugomvi tena na wameamua kuungana.

Maisara – Usiwape Nafasi


Things To Know About MC Ren



K Camp Ft T. I- Till I Die


Saturday, August 8, 2015

MWASHIUYA KESHO KUCHEZA NYUMBANI KWAO



Kesho Jumapili, Yanga itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Kimondo FC ya Mbeya, timu hiyo imepania kuonyesha soka safi kuthibitisha ubora mbele ya winga wao wa zamani, Geoffrey Mwashiuya aliyejiunga na Wanajangwani.

Yanga inatarajiwa kuondoka jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi tayari kwa mchezo huo utakaochezwa kwenye Uwanja wa CCM Vwawa, Mbozi jijini Mbeya ikiwa ni sehemu ya maandalizi yake kwa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.
Mchezo huo ni sehemu ya makubaliano ya kimkataba ya uhamisho wa Mwashiuya aliyejiunga Yanga na kugeuka lulu kutokana na uwezo wake kuwavutia wengi.
Ofisa Habari wa Kimondo, Chriss Kashililika amesema timu yao ina jeuri ya kuifunga Yanga kwa kuwa ina kikosi imara kwani ina wachezaji wanaofanana kiuchezaji na Mwashiuya zaidi ya nane.
“Maandalizi ya mchezo yapo vizuri kwa sababu timu ipo kambini, Yanga ni timu kubwa na tunaiheshimu lakini kwa jinsi tulivyojipanga kwa mchezo huo uhakika na ushindi ni mkubwa.
“Kama Yanga walidhani wametukomoa kwa Mwashiuya basi wanajidanganya, tuna kina Mwashiuya kama nane, kwa hiyo pengo lake limezibika na tutafanya vizuri,” alijigamba Kashililika. 

na Saleh Ally

Ijue timu atakayochezea Kaseja



Baada ya kupata baraka za Shirikisho la Soka nchini (TFF) za kumruhusu kujiunga popote, kipa Juma Kaseja anajiandaa kutua Mbeya City.

Klabu hiyo ya Ligi Kuu imetangaza kuanza mazungumzo na mchezaji huyo ili aidakie timu yao kwa msimu ujao.
Katibu wa Mbeya City, Emmanuel Kimbe alisema tayari mazungumzo ya awali yamekamilika na kilichobakiwa ni kumalizana na mchezaji huyo ili awe mali yao, wakiamini ataisaidia kwa uzoefu alionao.
Awali ilikuwa ikidaiwa kuwa, kipa huyo anajiandaa kutua Mwadui Shinyanga na pia ikielezwa anasakwa na kocha Patrick Liewig wa Stand United baada ya kukatisha mkataba wake na Yanga.
Hata hivyo Mbeya City imesisitiza kuwa kipa huyo ataidakia timu yao kama mambo yataenda sawa ikizingatiwa kuwa ilishamtema aliyekuwa kipa wao namba moja David Burhan aliyetua Majimaji ya Songea iliyorejea Ligi Kuu.
“Lolote linawezekana, tayari kikosi kina wachezaji 25 lakini kunahitaji la mchezaji mmoja ambapo kocha amependekeza nafasi hiyo kujazwa na kipa na tunaona Kaseja atatufaa sana.
“Hatuna shaka na kiwango chake ni kipa mzoefu,” Kimbe alisisitiza.
Mwanaspoti ilipomsaka Kaseja, kipa huyo alikiri kufanya mazungumzo na Mbeya City na kueleza huenda akaichezea wakimalizana.
“Ni kweli nimeshafanya mazungumzo na Mbeya City ili kusajiliwa huko. Mbeya City ni timu sahihi kwangu na ni timu nzuri ambayo inaleta ushindani. Pia tunafahamiana na kocha Mwambusi toka siku nyingi na niliwahi kuwa naye Moro United,” alisema Kaseja.

Cute Babies



Dooo cheki hii

Dressed in their traditional green and yellow bikinis and high heels, the models were spotted stomping the curb in Brazil’s financial centre.

Friday, August 7, 2015

Ben Paul - Maneno Maneno { Official HD Video }


Rich Mavoko - Marry me (Official Video)


Pamoja Films Production kuingiza Ujio wa Filamu nne sokoni

 Pamoja Films ProduPamoja  Films Production ambayo ni kampuni ya Lufingo , tayari mwezi huu inaingiza ujio wa filam nne ambapo moja ya majina ya filamu hizo ni ujio uitwao'Tanga Raha',iliyochezwa na King Majuto na yeye
mwenyewe huku wasanii wengine pia wakihusika.
Msanii huyu pia amezitaja filamu zingine kuwa ni 'Wazawa' ambapo katika ujio huo
mhusika mkuu ni Happy Nyirenda inayozungumzia maisha ya vijana huku ujio mwingine uiki iitwa 'Kanya Boya' ambapo washiriki humo ni  Mzee Majanga,Kid Rasta Tinn White na inaelezea viajna ambao awana kazi na kujihusisha na mambo ya mapenzi.

Lufingo ameitaja fialmu nyingine kuwa ni 'Kijiwe' ambapo nyota walionesha ubunifu mkubwa
ni pamoja na Kid Rasta pamoja na Mzee Majanga.

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPHAn1kU7YGCdk7pwcBy3ng4OdRi3fdRhZ6n-ae5oGv8Hp497OKlUoUWmhy29pr9XBPMO2HkoLiF8tgFn4kHD_2VKnHHjuSnNz7II6pA2Ne9kdz3fX11HgLsxq8krS0cW5HeEfO7RxDr0a/s640/tangad-2.jpg

Shetani anatumia njia ofauti kuteka roho ya msanii huyu



sark-x-banky_011
Rapa Sarkodie amefunguka kuhusu jambo zima la imani na maisha yake kupitia mitandao yake ya kijamii.
Sarkodie aliandika  ” Sisomi bible ila najua mwisho wa dunia patakuwa na wengi wenye dhambi nyingi, shetani anajaribu kupotosha watoto wa Mungu, ila kama tutaweza mpinga shetani na kumtegemea Mungu kwa kila jambo basi atatuokoa
Sarkodie anaendelea kuandika ” Hatuongea na watu wa ukweli, hatujui tutakufa lini, shetani anatumia njia ofauti kuteka roho yangu ” .
I don’t normally read the Bible but I know that at the end time the world will be full of sin. The devil is trying to mislead the children of God. ‘But if we could also desist from evil and depend on God for everything, then He’ll save us. We do not wrestle against the flesh my lovely people, it’s very dangerous. We don’t know when we will die, if tomorrow or tonight. Satan is using different ways to take my souls from me (GOD)!!! Instagram Facebook Twitter music….everything!!!!”. ”

Davido alivyokutana na rapa staa wa Marekani Future.



Staa wa muziki kutoka Nigeria anazidi kujichanganya na mastaa wa Marekani baada ya weekend hii kukutana na Future. Future ni msanii wa rnb na rapa ambaye hivi karibuni alionglewa sana baada ya kupata mtoto wa Ciara na kutengana naye.
Davido alikutana na Meek Mill na baadae walifanya kazi, so tunategemea collabo na Future ?
Davido-and-Future-1 Davido-and-Future-2

Kama unatafuta nyumba ya kupanga.? 50 Cent yupo tayari kutatua tatizo lako


Nyumba anayoimiliki msaani, 50 Cent, aliyotangaza nia yake yakutaka kuipangisha
Nyumba anayoimiliki msaani, 50 Cent, aliyotangaza nia yake yakutaka kuipangisha
Msanii wa hip hop Marekani 50 Cent amekuwa akiingia kwenye headlines mbalimbali mara baada ya kutangaza kuwa amefilisika na safari hii headlines zinazomhusu 50 Cent ni za yeye kutafuta mpangaji wa nyumba yake iliyopo Connecticut Marekani.

Taarifa hizi zilianza kusambaa kwa fujo siku ya jumatano baada ya kukamilisha mkutano wake na Wanasheria.
Mwanasheria wa 50 Cent, Stephen Savva alisema japo hakuna mkataba wa upangishaji uliofikiwa kupangisha nyumba yake ya Farmington Mansion ambayo 50 aliinunua mwaka 2003
wamekuwa wakifanya mipango ya kupangisha nusu ya nyumba hio yenye vyumba 21, majiko 9 na casino lakini mpaka sasa rapper huyo hajabahatika kupata mpangaji.
Picha za ndani ya 'mjengo' 50 Cent anaotaka kuupangisha
Picha za ndani ya ‘mjengo’ 50 Cent anaotaka kuupangisha
Bado hatujasikia kiasi cha pesa ambacho msanii huyo atatoza kama kodi ya nyumba, ila documents zilizowasilishwa Mahakamani zinasema kuwa 50 Cent amekuwa akilipa dola 72,000 (Tzs.Milioni 144) kwa mwezi tu kama hela ya matunzo ya nyumba hiyo ambayo ni tofauti na kodi yake ya nyumba!
Duh! Unadhani hapa 50 Cent atapata mpangaji kweli kama matunzo yenyewe ndio hayo?

Monday, February 9, 2015

Fainal Kombe la Afrika 2015 Ivory Coast yapeta


Ivory Coast iliishinda Ghana kwa mikwaju ya penati 9-8
Ivory Coast iliishinda Ghana kwa mikwaju ya penati 9-8
Timu ya soka ya Ivory Coast imenyakuwa taji la Kombe la Afrika la mwaka 2015 kwa kuitandika timu ya Ghana kwa mikwaju ya penati mjini Bata, Equatorial Guinea.

Nahodha wa Ivory Coast akikabidhiwa kombe
Nahodha wa Ivory Coast akikabidhiwa kombe
Ivory Coast imeshinda kwa mikwaju 9 ya penati huku Ghana ikipata mikwaju 8.
Yaya Toure akishangilia baada ya kukabidhiwa taji lao
Yaya Toure akishangilia baada ya kukabidhiwa taji lao
Boubacar Barry, 35, ndiye aliyeibuka kidedea kwa kufunga penati ya mwisho baada ya mlinda mlango wa Ghana Razak Braimah kukosa penati.
Shangwe na vigeregere mjini Bata, Equatorial Guinea
Shangwe na vigeregere mjini Bata, Equatorial Guinea
Mlinda mlango mkongwe wa Ivory Coast Boubacar Barry ndiye nyota wa mchezo wa leo.
Mlinda mlango nambari mbili wa Ivory Coast ndiye aliyepia ushindi timu yake
Mlinda mlango nambari mbili wa Ivory Coast ndiye aliyepia ushindi timu yake
Mwaka 1992, Ivory Coast waliifunga Ghana kwa mikwaju ya penati 11-10.
Ghana walipata penati 8 huku Ivory Coast wakishinda kwa penati 9
Ghana walipata penati 8 huku Ivory Coast wakishinda kwa penati 9
Mashindano hayo yalikuwa yanafanyika nchini Equatorial Guinea.

BOSS WA MJ RECORDS AFUNGUKA


 
Mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini, Master J amekuwa mstari wa mbele kupaza sauti kuhusiana na kutokuwepo kwa usawa kati ya watayarishaji wa muziki na wasanii nchini.
Master J ameiambia Bongo5 kuwa kuna watayarishaji ameshaona wanakosa moyo wa kufanya kazi kutokana hali hiyo.

Tanzania maprodyuza ni maskini, eti wasanii wana hela kuliko producers hii ni industry gani,” amehoji Master J. “Kwa sababu hapa hizi sheria zilizopo hazimlindi producer ndo maana anadharaulika. Huyo huyo msanii yupo tayari akulipe laki mbili umtengenezee wimbo halafu anauchukua huo wimbo kwenda kutengeneza video kwa milioni 25 yaani wewe acha tu, hiyo ni dharau kubwa sana,” ameongeza.

Yaani mimi nikiangalia industry nacheka tu, ni matusi. Huyo huyo producer unaweza ukamlipa milioni ukishamlipa milioni asikusumbue tena kwenye revenue share. Yaani unashindwa kumthamini producer hata umlipe milioni kwa sababu ile laki mbili unayolipia ni studio time lakini haujanunua haki yangu. Mimi naona pale wewe sasa hivi huangalii hata Marco ameacha kufanya kazi unafikiria kwanini?"

Amevunjika moyo yaAni moyo wake umevunjika kabisa kwa sababu anaonyeshwa laki mbili halafu huyo huyo anayeonyesha lakini mbili anaenda South Afrika anashoot video ya dola elfu kumi na tano, bila beat huo wimbo wake utaenda wapi? Bila beat wimbo wako utapigwa r
redioni? Unajua maproducer itafika sehemu watachoka kwa sababu sasa hivi wengi wameshaanza kuona dharau, kishingo upande wanalalamika.

Mjue nyota wa muziki :Anayesema kuwa atapatana na mtu atakayekiri kosa


Msanii wa bongo Fleva Judith Wambura maarufu kama Lady Jaydee amefunguka na kuweka wazi kuwa katika maisha yake ya kawaida, maisha ya sanaa na maisha ya utafutaji amekuwa akikutana na changamoto mbalimbali.
LadyJaydee
Changamoto hizo wakati mwingine hupelekea watu kugombana au kutofautiana kutokana na mtazamo au matatizo mbalimbali na amedai wazi kuwa katika watu wote ambao aligombana nao na yeye kugundua ndiye alikuwa chanzo cha ugomvi huo wote alishawaomba msamaha na wanaendelea na maisha ya kila siku.
Lady Jaydee alisema hayo jana kupitia ukurasa wake wa Instragram wakati akijibu maswali 10 yaliyotokana na maswali kibao kutoka kwa mashabiki wake.
“Nitapatana na mtu atakae kubali kuwa alikosa, kama naamini yeye ndio alinikosea itabidi aniombe msamaha. Kama mimi ndio nilikosa nitaomba pia msamaha Otherwise hakuna miujiza Siwezi kumuomba mtu msamaha endapo naamini kabisa sijakosa .
Niliowahi kuwakosea nilishawaomba msamaha wooote.Hakuna binadamu asiye kosea ila siwezi ku surrender kiuongo au kwa uoga wa maisha.
Naamini hata nikiuza nyanya bado wapo watu wanaohitaji nyanya, na watanunua.”
Baadhi ya mashabiki waliuliza kwanini Lady Jaydee hana ushirikiano na wasanii wenzake wa kike katika muziki na yeye aliweka wazi kuwa amekuwa akishirikiana nao sana tu mpaka kufikia hatua wengine kuwatungia wimbo, Jide anadai kuwa mara nyingi ili msanii aweze kutoka au kufanya vizuri lazima kazi zake zipate promo ya kutosha katika vituo mbalimbali vya Radio lakini bahati mbaya yeye sio mwenye hizo Radio.
“Nimewahi kufanya na wasanii mbalimbali wa kike ila sijui kwanini hamjaziskia.
1. Mwasiti amewahi kunishirikiisha
2. Nimewahi kumuandikia na kushiriki kuimba kwenye wimbo wa movements za Albino na Keysha
3. Nimewahi kumwandikia na kushiriki kuimba na Nakaaya Sumari
4. Nimewahi kumwandikia wimbo Patricia Hillary
5. Nimewahi kumshirikisha RAY C kwenye wimbo wangu toka Album ya Machozi unaitwa, Nimekubali na wapo wasichana mbali mbali waliopita Machozi Band na kujifunza kuimba leo mnawafahamu, Kumbukeni tu kuwa kutoka kwa mtu itategemea na nyimbo zake kuwa promoted redioni na mimi sio mwenye hizo redio .
Msaada pekee ni kushiriki kila ntakapotakiwa kufanya hivyo”
Lady Jaydee kwa sasa anatamba na wimbo wake wa Forever ambao amemshirikisha mdogo wake anaefahamika kama Dabo na pia mwanadada huyo amepanga kufunguka mengine mengi katika kipindi chake kinacho ruka eatv.tv

Saturday, February 7, 2015

Mbasha akana kukitambua kichanga cha mkewe


Emmanuel Mbasha amekiambia kituo cha redio cha SunRise kuwa hajuo kuwa mkewe amejifungua mtoto
Emmanuel Mbasha amekiambia kipindi cha redio cha SunRise -Times FC kuwa hajuo kuwa mkewe Flora Mbasha amejifungua mtoto
Familia ya Mbasha inaendelea kutengeteza vichwa vya habari, baaada ya mchungaji maarufu nchini Gwajima kukanusha kuwa si baba wa mtoto wa Flora Mbasha, mume wa muimbaji huyo wa injili Emmanuel naye ameibuka na kudai kuwa hatambui chochote kuhusu kuzaliwa kwa mtoto huyo.
Mbasha ambaye pia ni muimbaji wa muziki huo wa injili amesema anachojua ana mtoto mmoja wa kike anaeitwa Lizy mwenye umri wa miaka kumi na hizo taarifa za Flora kajifungua anazisikia kwa watu wengine.
Mtoto aliyezaliwa na mwanamuzki wa injili Flora Mbasha
Mtoto aliyezaliwa na mwanamuzki wa injili Flora Mbasha
“Nina mtoto mmoja, nina mtoto mmoja anaitwa Lizy ana umri wa kama miaka 10 hivi! Wewe ndo unanieleza mimi kama amejifungua, kama amejifungua, ni jambo jema na la kumshukuru Mungu,” alieleza Emmanuel Mbasha
Mbasha alikiambia kipindi cha SunRice Times Fc.

Bikini Yazua Mjadala huko Instagram


Picha hii imepostiwa kupitia Account ya msanii wa Nay Wamitego ya Instagram akiwa yupo kitandani na mwanadada ambae amevalia bikini huku sehemu kubwa ya mwili wake ukiwa wazi unaonekana ila badae Nay alitoa picha hiyo.
Hali ya mwanadada huyo ameonekana akitabasamu bila kuwa na wasi wasi kitendo ambacho kinafanya tuamini kwamba labda wana shoot video, lakini sidhani kama ni sawa pia kwa maadili yetu ya Kitanzania.
Nay Wamitego
Pengine si vibaya lakini mazoea hayo kwetu Watanzania ni mageni.
Picha hii imeonekana kuchukiza mabinti wengi na kuenea kwa story tofauti kwa muda mfupi tangu aipost.

Haya hapa Maneno ya Uchungu ya Wastara Juma



Wastara Atoa Maneno ya Uchungu, Yawagusa Wengi!
Muigizaji wa filamu,Wastara Juma amewapa watu simamzi zito mtandaoni, baada ya leo kuandika maneno mazito ya uchungu akisema matatizo ya dunia yamemzidia na kubandika picha akiwa analia. Na hivyo kupelekea mashabiki wengi kumpa pole na kumtia moyo kuwa yote yana mwisho wake na Mungu ndio mpagaji wa yote.
"Hapa duniani kila mtu ana shida na matatizo lakini kwangu mimi yamezidi daaah eeeh Mungu nibadilishe basi hiyo nafasi ya mteso uliyoniweka muweke mwingine nami unipe furaha nicheke kama wengine maishani mwangu niache kulia eeeh Mungu baba jamani mimii mimiii aah".-Wastara aliandika baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.
Hakuweka wazi nini hasa kimempata,lakini picha hii inaonekana imetoka kwenye moja ya kipande cha filamu.
Chanzo:http://www.bongomovies.com/