skills za kitaa

Sunday, August 25, 2013

Soma stori hii



Dee Sala ni msanii wa Hip-hop hapa TZ, lakini this time ameamua kubadilika,
amegeukia upande wa pili wa bongo flava. Badala ya kuchana (rapping) sasa
ameamua kuimba. Msanii huyu ametua na ngoma mpya ya RnB iliyotengenezwa
 na Mr T Touchez kutoka Seductive Records.
Dee Sala

Wimbo huu unaitwa Nakupendaga, umekuja baada ya wimbo wa Mtoto wa
 Zarumba ambao Dee Sala alirap mwanzo mwisho. Mwenyewe amekiri kwamba
 hajaacha kufanya Hip-hop kwani ndio maisha yake! Wimbo ni mzuri sana,
umetengenezwa kwa ustadi mkubwa.
Dee Sala ni msanii wa Hip-hop hapa TZ, lakini this time ameamua kubadilika, amegeukia upande wa pili wa bongo flava. Badala ya kuchana (rapping) sasa ameamua kuimba. Msanii huyu amekuja na ngoma mpya ya RnB iliyotengenezwa na Mr T Touchez kutoka Seductive Records.
Dee Sala

Wimbo huu unaitwa Nakupendaga, umekuja baada ya wimbo wa Mtoto wa Zarumba ambao Dee Sala alirap mwanzo mwisho. Mwenyewe amekiri kwamba hajaacha kufanya Hip-hop kwani ndio maisha yake! Wimbo ni mzuri sana, umetengenezwa kwa ustadi mkubwa. - See more at: http://www.keezywear.com/#sthash.jMusVq19.dpuf
Dee Sala ni msanii wa Hip-hop hapa TZ, lakini this time ameamua kubadilika, amegeukia upande wa pili wa bongo flava. Badala ya kuchana (rapping) sasa ameamua kuimba. Msanii huyu amekuja na ngoma mpya ya RnB iliyotengenezwa na Mr T Touchez kutoka Seductive Records.
Dee Sala

Wimbo huu unaitwa Nakupendaga, umekuja baada ya wimbo wa Mtoto wa Zarumba ambao Dee Sala alirap mwanzo mwisho. Mwenyewe amekiri kwamba hajaacha kufanya Hip-hop kwani ndio maisha yake! Wimbo ni mzuri sana, umetengenezwa kwa ustadi mkubwa. - See more at: http://www.keezywear.com/#sthash.jMusVq19.dpuf
Dee Sala ni msanii wa Hip-hop hapa TZ, lakini this time ameamua kubadilika, amegeukia upande wa pili wa bongo flava. Badala ya kuchana (rapping) sasa ameamua kuimba. Msanii huyu amekuja na ngoma mpya ya RnB iliyotengenezwa na Mr T Touchez kutoka Seductive Records.
Dee Sala

Wimbo huu unaitwa Nakupendaga, umekuja baada ya wimbo wa Mtoto wa Zarumba ambao Dee Sala alirap mwanzo mwisho. Mwenyewe amekiri kwamba hajaacha kufanya Hip-hop kwani ndio maisha yake! Wimbo ni mzuri sana, umetengenezwa kwa ustadi mkubwa. - See more at: http://www.keezywear.com/#sthash.jMusVq19.dpuf

No comments: