skills za kitaa

Sunday, October 12, 2014

Nakaaya atua na albamu mpya



Nakaaya Ashusha Kitu Kipya Sokoni, Ni Katika Albam Blessing 
Nakaaya Ashusha Kitu Kipya Sokoni, Ni Katika Albam Blessing Nakaaya Ashusha Kitu Kipya Sokoni, Ni Katika Albam Blessing MSANII wa muziki wa kizazi kipya Nakaaya Sumari hivi karibuni alikonga nyoyo za mashabiki wake kwa kuzindua albam mpya iendayo kwa jina la Blessing yenye nyimbo kumi na mbili (12). Albam hiyo ambayo ni albam yake ya pili ilizinduliwa jijini Arusha na kuhudhuriwa na mashabiki wa muziki wake kutoka mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro. 

Huku akiungwa mkono na wasanii wenzake kutoka hapa hapa nchini na nje ya nchi. Uzinduzi huo ulipambwa na burudani kabambe kutoka kwa Hisia, G Nako, Jambo squad wote kutoka Arusha, Naaziz kutoka Kenya, na Nakaaya mwenyewe yote hiyo nikumpasapoti msanii mwanzao. Akizungumza kwa furaha mwanadada Nakaaya Sumari alisema kuwa anawashukuru sana wote waliokuja kumuunga mkono katika uzinduzi wake. “Nawashukuru sana mashabiki wangu kwa kunipa sapoti ya nguvu kwani wa lijitokeza kwa wingi, nimefurahi sana kwani huu ni mwanzo mzuri,” alisema Nakaaya.
 “Albam hii imebebwa na wimbo wa Blessing ambao ni maalum kwa mwanangu kipenzi kwani yeye ni Baraka kwangu hata napokua mbali naye bado nakua na matumaini na faraja,” Nakaaya aliongeza kwa msisitizo. Albam ya Blessing ipo sokoni sasa na inanyimbo nzuri za kuelimisha, kuburudisha na kuliwaza kama vile Utu uzima dawa, Temana na watu, Blessing, Beautiful, I am an African, Sister sister, Ngufurie, na Mwanamke shujaa, kubwa ni kumpa sapoti kwa kununua albam hii.

Friday, October 3, 2014

Said Fella aelezea jinsi alivyosaka mchongo wa Shaa kulipwa kupitia YouTube


 Video: Said Fella aelezea jinsi alivyosaka mchongo wa Shaa kulipwa kupitia YouTube
Meneja mkongwe na muewezeshaji wa Mkubwa na Wanae, Said Fella amefunguka kuhusu njia alizotumia kutafuta nafasi ya biashara ya wasanii wake akiwemo ‘Shaa’ kulipwa pale kazi zake zinapowekwa YouTube.
Akiongea na tovuti ya Times Fm, Fella amesema yeye na Babu Tale waliumiza kichwa baada ya kuona wasanii wa Kenya wanaingiza pesa hata kama hawajatoa wimbo mpya, bila kutegemea shows na ndipo walipoamua kusafiri hadi Nairobi kuhakikisha wanafahamu nini hasa cha kufanya.
“Kweli tukaenda Kenya, tukaenda kukutana watu tukawauliza ‘jamani nyie mnaendaje mbona sisi tukiwapelekea wenzetu wanaotuuzia ringtone hapa Tanzania hatupati faida ile’. Lakini unakuta Jua Cali au Nyota Ndogo kafanya muziki zamani lakini anaendelea kula faida.” Amesema Said Fella.
“Yaani tumesafiria tobo na ndio maana tumelipata tobo. Hata juzi kati Babu Tale na Diamond walivyoenda Nigeria kwenda kusaka tobo…na ndio maana tunasema timu yetu Saka Tobo ili kwenda kuangalia wenzetu wanafanya nini na tunakwenda wapi. Kwa hiyo huwezi kumfuata tu mtu ukamwambia ebwana tobo hili…wajetuwaoneshe. Watanzania tunapendana.” Said Fella ameiambia tovuti ya Times Fm.
Shaa ambaye kimuziki anasimamiwa na Said Fella hivi sasa analipwa kwa kazi anazoweka kwenye channel ya YouTube.
Video yake ‘Sugua Gaga’ imevunja rekodi ya video za bongo flava kwa kuangaliwa zaidi YouTube, hadi leo imeangaliwa zaidi ya mara 4,656,000.

NIGHT OF CELEBRITIES


Monday, September 15, 2014

Beyonce to Jay Z During Last OTR Show: ‘I’m Your Biggest Fan’ [+ Side-eye To The Pregnancy Rumors]


Screen Shot 2014-09-14 at 3.50.05 PM
Are we under the influence of the Carters and their jedi mind tricks once again?

Last week, Mathew Knowles dropped a bombshell when he alluded that Jay and Bey leak their own rumors and create scandals when there are projects to promote. According to Bey’s father, the huge elevator fight between Jay Z and Solange and all those divorce rumors helped sell more tour tickets, so could we have been struck by the Jedi Mind trick again this weekend?
On Friday, ironically a week before Beyonce’s HBO special premieres, news outlets reported that Jay Z hinted that Beyonce was pregnant during Friday’s show in Paris.  It all happened during his performance of my ‘Beach Is Better’ when he changed the lyric, “I replace it with another one” to “she’s pregnant with another one.” There were also some photos that leaked online that looked as though Beyonce was carrying a baby bump on stage. (Mind you, just last week, she was spotted at the Made In America tour throwing back beers with a flat stomach.)
After reviewing the audio from the show a few times, Jay without a doubt, did not change the lyrics…. but wouldn’t Beyonce announce her pregnancy in a grander fashion anyway? You know, like including the sonogram on some secret album that appears on our Iphones at 12:04 am on a Sunday morning? Everything Beyonce does is big…and changing lyrics to a song just isn’t big enough.
What we do know is that those divorce rumors are definitely out of the window.
Last night, as the couple wrapped up the last ‘On The Run’ tour date in Paris, they shared a very sentimental moment that proves they are still very much in love.
As Beyonce grew emotional on stage, Jay Z revealed:

We love Paris. It’s special to us because we got engaged here and this is where baby Blue was conceived
Beyonce also told Jay:

I’m your biggest fan. I love you!
In which Jay Z replied:

I want to say that it’s been an honor and a pleasure sharing a stage with you. I couldn’t dream of anything else than to be in a stadium with the woman I love. Who I believe is the greatest entertainer of our time. Make some noise for Beyonce! What a beautiful night and I will never forget this

Miss America 2015 Winner Is Miss New York Kira Kazantsev; Plus the Competition's Top Moments



Miss America 2015 Winner Is Miss New York Kira Kazantsev; Plus the Competition's Top Moments

Miss America 2015 Winner Is Miss New York Kira Kazantsev; Plus the Competition's Top Moments
Three-peat!
Beating out 52 contestants from around the country (plus the District of Columbia, Puerto Rico and the U.S. Virgin Islands), Miss New York Kira Kazantsev was crowned Miss America 2015 at the annual pageant in Atlantic City, New Jersey, on Sunday, Sept. 14. 
 
The 2013 queen, Mallory Hagan, and the 2014 winner, Nina Davuluri, the latter on-hand to pass on her tiara, both hailed from New York as well, making this a three-peat for the Empire State.
 
The blonde beauty, 22, seemed to be an early favorite: She sashayed down the ivory runway in her magenta bikini and sky-high heels with ease. Then, Kazantsev took the stage to sing a rendition of Pharrell’s Oscar-nominated hit, “Happy,” while keeping beat with a plastic red cup a la Anna Kendrick in Pitch Perfect
To snag the win, the Hofstra University student, who walked away with a $50,000 scholarship, trumped the competition in the Q&A segment, when she thanked our female Senators for standing up for women in the military against assault, a position answered with applause from the audience in Boardwalk Hall. “Everyone deserves the right to be happy and be respected,” she said.
Other exciting moments during the competition: Early on in the night, Miss Idaho Sierra Sandison, a diabetic contestant who gained a following by competing in her home state while wearing her insulin pump, was awarded the “America’s Choice” spot. Shortly after, hosts Chris Harrison and Lara Spencer announced that there would also be a 16th finalist—a last-minute “Judge’s Choice”—which went to Miss Congeniality, Miss North Dakota Jacky Arness.
Miss Ohio Mackenzie Bart, a ventriloquist with a divalicious blonde puppet, had one of the evening’s most entertaining talent performances when the duo performed the beloved Mary Poppins song “Supercalifragilisticexpialidocious.” 
And there was one, slightly scandalous moment, quickly noted by the Miss America’s viewers on Twitter: When Miss Nebraska Megan Swanson leaned over to say something to one of the other finalists, she accidentally flashed the crowds, immediately making her a trending topic.

Tuesday, September 2, 2014

Kuvuja kwa za Mastaa kwa chunguzwa na Shirika la upelelezi la Marekani (FBI)


Shirika la upelelezi la Marekani (FBI) linachunguza tuhuma kwamba picha za siri za watu maarufu ziliibiwa na kutumwa mtandaoni.
Muigizaji Jennifer Lawrence alikuwa mmoja wa waathiriwa baada ya mdukuzi kutuma picha zaidi ya 60 mtandaoni.
Muigizaji Jennifer Lawrence alikuwa mmoja wa waathiriwa baada ya mdukuzi kutuma picha zaidi ya 60 mtandaoni.
Mastaa hao wapatao 20, akiwemo muigizaji wa kike wa Marekani Jennifer Lawrence, naye picha zake zilivujishwa kwenye mtandao wa Internet.
Inafahamika kuwa baadhi ya picha  hizo zilipatikana katika huduma ya Apple iCloud ambayo husaidi ujumbe uliopo mtandaoni.
Huduma ya Apple iCloud ndio iliyomsaidia mdukuzi asiyejulikana kuchukua picha chafu za Jennifer Lawrence na mastaa wengine 100 na kuzivujisha mtandaoni.
Huduma ya Apple iCloud ndio iliyomsaidia mdukuzi asiyejulikana kuchukua picha chafu za Jennifer Lawrence na mastaa wengine 100 na kuzivujisha mtandaoni.
Apple nao imesema inachunguza kuwa kama akaunti ya iCloud ilifanyiwa udukuzi.
Bi Lawrence, ambaye ni nyota katika filamu za The Hunger Games, ameomba kufanywa uchunguzi baada ya mdukuzi kupata picha, zenye ujumbe wa picha, kutoka simu za mkononi za mastaa kadhaa.
Msemaji wa FBI aliiambia Associated Press kwamba “wako makini na tuhuma hizo na wanalishughulikia suala hilo”.
Naye msemaji wa Apple Nat Kerris alinukuliwa na Reuters akisema kwenye barua pepe; “Huwa tunalinda faragha za watumiaji kwa umakini mkubwa na tunachunguza ripoti hii.”

Msanii Lady Jaydee awa balozi wa uzazi wa mpango


Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Marie Stopes Tanzania (MST), Uller Muller (kulia) akikabidhi kisanduku chenye vifaa vinavyohusika na masuala ya uzazi wa mpango kwa Balozi mpya wa Marie Stopes ambaye pia ni msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya, Judith Wambura 'Lady jaydee' katika hafla ya utiaji sahihi makubaliano hayo katika ofisi za MST, jijiji Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Marie Stopes Tanzania (MST), Uller Muller (kulia) akikabidhi kisanduku chenye vifaa vinavyohusika na masuala ya uzazi wa mpango kwa Balozi mpya wa Marie Stopes ambaye pia ni msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya, Judith Wambura ‘Lady jaydee’ katika hafla ya utiaji sahihi makubaliano hayo katika ofisi za MST, jijiji Dar es Salaam jana.
Mwanamuziki Lady Jaydee ametuliwa na Hospitali ya Marie Stopes kuwa balozi wa kampeni ya kuhamasisha uzazi wa mpango na kupinga mimba za utotoni inayoitwa ‘Chagua Maisha’.
Akiongea na TBC, Lady Jay Dee amesema kuwa anaweza kufikisha ujumbe kwa jamii kwa kuimba nyimbo ambazo zitasaidia kuwahamasisha wananchi kuchagua jinsi ya kuishi kwa kutumia uzazi wa mpango.

Sunday, August 24, 2014

SOMA HAPA HABARI HII YA KUVUTIA

SOUND CLOUD KULIPA WASANII

Akon
Akon
soundcloud0

Kampuni Sound Cloud itaanza kuwalipa wasanii na makampuni ya muziki yatakayoweka nyimbo zao kwenye mtandao huo na kusikilizwa pia kupakuliwa ikiwa ni hatua ya kushindana na mitandao mingine ya Youtube na Spotify.
Kampuni hiyo imesema itaanza kuwalipa wasanii ambao nyimbo zao zinasikilizwa Marekani na malipo yatafanyika kwa kuangalia idadi ya watu waliosikiliza. Sound Cloud kwa sasa inapata watu zaidi ya milioni 175 kwa mwezi.

MSANII CHRIS BROWN AACHIA NYIMBO MPYA


  


Singer Chris Brown arrives at the 55th annual Grammy Awards in L
Chris Brown

Mkali wa R&B duniani Chris Brown ameachia ngoma yake mpya inayoitwa ‘X’ inayobeba jina la album yake inayotarajiwa kutoka Septemba 16. Wimbo huo umetengenezwa na producer maarufu aitwae Diplo.

Thursday, July 31, 2014

WAJUE WANAWAKE WALIOONESHA HARAKATI ZA UPIGANAJI MJINI




UPO msemo uliotawala vichwa vya watu tangu dahari kwamba wanawake ni tabaka la kukaa nyumbani na kufanya kazi za ndani. Wao jukumu lao ni kumfurahisha mume na lingine ni kuwaandaa watoto kwa ajili ya kwenda shule na kufuatilia nyenendo zao darasani.

Miss Tanzania aliyechukua taji hilo mwaka 2001, Happiness Magesse ndiye aliyefanikiwa zaidi kimataifa kuliko wote, japo wapo wengine wanaojitahidi. Hivi sasa Happiness ‘Millen’ ni mwanamitindo wa kimataifa.
Happiness Magesse.
Ilivyozoeleka ni kwamba wanawake ni goigoi. Utaona bungeni kuna wabunge wa viti maalum ambavyo wengi hutafsiri kuwa ni vya upendeleo. Kwa maana kwamba uwezo wao kushindana kwenye majimbo na kushinda ni mdogo ndiyo maana wanapewa hivyo maalum kwao.
Katika mitihani, kuna unafuu wa alama za ufaulu kwa wanafunzi wa kike. Yaani wanaonekana hawana uwezo wa kushindana na wavulana. Vijijini, wanawake wamekuwa wakitumika kama nyenzo ya kilimo, yaani mama akalime ndiyo alishe familia, baba akacheze bao au kunywa pombe.
Miaka inakwenda, wapo wanawake wengi ambao wameweza kudhihirisha kwamba inawezekana kwa jinsi ya kike kuanzisha kazi na kufanikiwa. Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha-Rose Migiro ni mfano wenye nguvu kwa wanawake kufanikiwa.
Spika wa Bunge, Anne Makinda, Mchungaji Getrude Rwakatare na wengineo, ni kichocheo kinachotoa uthibitisho kuwa wanawake wanaweza. Ni suala la kuwaamini na kuwapa nafasi, kwa hakika wanaweza kufanya mambo makubwa mno.
Ukiachana na hao, ipo orodha ya wanawake vijana 10 ambao wanastahili pongezi. Wamepambana katika maeneo yao kiasi cha kupata mafanikio ambayo yameonesha njia. Inabidi tuwatambue na kuthamini jitihada zao kwa maana wameendelea kuthibitisha ndivyo sivyo kwa wale waliokuwa wanaamini kuwa wanawake si lolote kwenye utafutaji.
FLAVIANA MATATA
Mwaka 2007 alipokwenda kushiriki mashindano ya dunia ya Miss Universe na kushika nafasi ya sita, wengi walidhani huo ndiyo mwisho wake. Ilionekana hivyo kwa sababu warembo wengi wameshiriki mashindano ya dunia na baada ya kurudi nchini, hawakusikika tena.

Kwa Flaviana, huo ulikuwa ni mwanzo wa kupiga hatua zaidi kusaka mafanikio yake. Hivi sasa, mrembo huyo ni mwanamitindo wa kimataifa, anayefanya kazi na makampuni makubwa ulimwenguni.



 EMELDA MWAMANGA
Ni mwanzilishi aliye pia Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Relim Entertainment inayomiliki jarida maarufu la Kiingereza, Bang. Jinsi alivyoweza kulisimamisha jarida hilo na kulifanya kuwa maarufu zaidi nchini, inatosha kumpongeza kwamba ameonesha.
Jina lake asilia ni Judith Wambura. Ni mwanamuziki wa kike mwenye mafanikio zaidi ambayo chanzo chake ni muziki. Anamiliki bendi na mgahawa wa kisasa ambao ulimgharimu zaidi ya shilingi milioni 100 kuuanzisha. Bila shaka Jaydee ameonesha njia kwa wanamuziki wengine wa kike hapa nchini.
MADAM RITA
Kuanzisha kitu wakati mwingine inaweza kuwa jambo rahisi lakini uimara wa mtu ni pale anapoweza kulisimamia na kufanikiwa. Rita Paulsen anastahili pongezi kwa namna alivyoweza kuanzisha Shindano la Bongo Star Search na kulifikisha hapa lilipo. Huyu ni mwanamke kijana aliyeonesha njia ya kweli ya mafanikio.

RAHMA AL-KHAROOS
Anamiliki Kampuni ya RBP Oil & Industrial Technology. Uwezo wake uliweza kuwashtua wengi pale alipoweza kujitolea mamilioni ya fedha kuiwezesha Timu ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars. Mwanamke huyu ni mfano tosha kwamba inawezekana kama tu utaamua kupambana.

SHEAR NASSA
Anamiliki maduka ya Shear Illusions, vilevile ana jarida linaloitwa Shear Hair & Beauty. Ukubwa wa maduka yake, heshima na umaarufu wake kwa uuzaji wa vitu vya urembo ni kielelezo cha kumthibitisha Shear kwamba ni mwanamke kijana aliyefanikiwa, kwa hiyo ameonesha njia.

KHADIJA MWANAMBOKA
Mbunifu wa mavazi wa kike mwenye umaarufu kuliko wanawake wote nchini. Ameanza harakati zake akiwa na umri mdogo na kwa alipofikia hivi sasa, ameshaonesha njia kwa wanawake wengine nchini. Jambo muhimu ni kusimamia fani yako mpaka kuifikisha kwenye kiwango bora. Khadija alipofikia kwa ubunifu wa mavazi, anastahili pongezi

FINA MANGO
Alipata umaarufu mkubwa kwenye fani ya utangazaji wa redio lakini alipoamua kuanzisha kampuni yake ya One Plus, ameweza kupata mafanikio makubwa. Tenda ya kuratibu na kusimamia Tuzo za Muziki Tanzania (Tuzo za Kili) kwa miaka mitatu mfululizo imedhihirisha ubora wa kampuni yake

Huyu   ni   mama   Asha  Baraka   mkurugenzi   ASSET  hakika   ni   mpiganaji  sana   wa   maendeleo   ameweza   kuwaajiri   vijana   wengi   sana   kupitia   kampuni   yake   ya   Asset  ambayo   inamiliki   bendi   ya   twanga   pepeta.  licha   hivyo   ASHA   BARAKA   maaarufu   kama  iron   lady   ameweza   kusaidia   vijana  wengi   kupata   mafanikio   ya   mziki   kupitia   bendi   yake   twanga   pepeta.

Tuesday, July 29, 2014

Ugomvi Kati ya Nelly na Floyd Mayweather


Ugomvi Kati Ya Nelly Na Floyd Mayweather

Pamekuwa na ugomvi wa kutupia maneno kati ya msanii Nelly na bondia Floyd Mayweather baada ya wawili hawa kuchukuliana wanawake. Inasemekana Nelly alimtongoza mpenzi wa Floyd Mayweather na kuanza nae mahusiano kabla hajaachana na Floyd.
Kwenye mahojiano na ESPN Rapper Nelly amesema “Hii stori imechukuliwa tofauti sana, Floyd ni mtu asiyependa kuambiwa hapana, Unajua ni ngumu kuongea na mtu ambaye hajamaliza shule ya Secondari” Flody anazidi kukasirishwa na kitendo cha Nelly cha kumchukua mpenzi wake baaday ya 50 Cent kumtania Mayweather kuwa Nelly kamchukua mpenzi wako.

Soma mambo Mbinti Huyu


Keke Palmer Wearing Hot Bikini Runway Magazine Summer 2014
Keke Palmer is definitely letting the world know that the little girl from Akeelah and the Bee is all grown up.  Look at this spread! Ow!
This month, she’s showing off a couple nose rings and tattoos as she flaunts an itty bitty black and white zippered bikini for the Summer issue of Runway Magazine.  She looks hot!
Meanwhile, it looks as though her ambition and drive make it hard for her to meet her match. She recently told the Christian Post that she’s single and it’s been difficult to find someone who matches her ambition:
“I think it’s hard to have a love life in general when you’re focused. I’m a very ambitious person and I think a lot of times it’s hard to find somebody that matches that same ambition. Even aside from the industry itself and feeling like you can or cannot trust people it’s just when you’re focused and when you’re really ambitious those type of things really affect the person you’re dating or the person you’re thinking about dating.”
Whatever happened to her boo thang Rodney!?
Keke is a 20-year old boss. You can just imagine how hard it is for her to meet someone who isn’t intimidated by her success, especially with all she has accomplished and continues to accomplish at such a young age.

Soama hii hapo chini!!


Karrueche IG
Upon Chris Brown’s release from prison early last month, he and on-again/off-again girlfriend Karrueche Tran became inseparable, seemingly closer than ever after enduring such a storm together. As a refreshing change, Breezy was sharing multiple photos of his “real one” on Instagram, proud to show her off to the world. They were together up through 4th of July, sharing pics on their respective pages and having fun, but something switched that up and just like that, all traces of their relationship were gone from social media, prompting “breakup” rumors (of which Kae’s manager currently is denying.) Despite all the drama or whatever it may be, Karrueche is smiling through it and seemingly not letting it affect her! In the past couple of days, the Vietnamese beauty has kicked it in the club and poolside with her bestie Christina Milian, and even stopped by a major media outlet for “work.” Hmm! Check out her pics in the gallery.Karrueche IG
 Karrueche IG

Wednesday, July 16, 2014

Embu cheki A 2 Z ya mdada huyu katika Kombe la Dunia

rr 3 
Picha za Rihanna na wachezaji wa Ujerumani baada ya mechi ya fainali ya kombe la dunia kuisha pale Maracanã Stadium mjini Rio de Janeiro, Brazil. Rihanna alionekana akijiachia na Mario Götze,Lukas Podolski ,Bastian Schweinsteiger .
rihann 3 rihann 4

Rihanna naye kwenye Soka mmm!!

rr 2

Hii picha inamuonyesha star wa Muziki Duniani anayependwa zaidi na vijana Rihanna akiwa na jezi ya timu ya taifa ya ujerumani na picha nyingine ikimuonyesha akiwa kwenye pozi na twit ikisema “For My German 
 Boys” 
.rr rihanna 5

Kwa umiliki wa mali Neymar anatisha!!

Mali  za  mchezaji wa timu ya taifa ya Brazil Neymar ambaye pia ni forward wa klabu ya Span FC Barcelona. Neymar mwenye miaka 22 ni mchezaji wa nne kwenye orodha ya wachezaje wanaolipwa zaidi dunia akipokea dola za Kimarekani milioni 28, milioni 12 ni mshahara wake na milioni 16 ni kupita matangazo na udhamini wa kampuni kama Nike, Castrol, Panasonic, L’Oreal na Volkswagen.

Neymar anamiliki jumba lenye thamani ya dola milioni 2 huko Brazil kwenye eneo la Sao Paulo. Neymar akiwa Spain huishi kwenye ju,be lenye thamani ya dola milioni 2.5 huko Barcelona.
Neymar hutumia ndege za kukodi akitaka kusafiri na hivi karibuni amenunua  helicopter.

Neymar-Volvo-xc-60 

VOLVO XC 60 – $75000

audi-r8-gt-neymar 
AUDI R8 GT – $246,000
Neymar helicopter neymar house
Moja kati ya nyumba anazomiliki NeymarNeymar yacht neymar 3neymar 5