skills za kitaa

Tuesday, January 21, 2014

DIVA WA CLOUDS RADIO ATANGAZA NIA YA UBUNGE

  Mtangazaji wa Kipindi cha Ala za Roho kutoka Clouds Fm ‘The people’s Station’ leo kwenye akaunti yake ya Instagram amepost picha ikiwa na maneno haya chini.

 "Natangaza nia ya kugombania ubunge 2015 na kuingia kwenye siasa rasmi 2015,Kama mwanasiasa kijana nina mengi ya kusaidia Taifa na jamii inayotuzunguka yenye vijana wengi,i want to inspire and motivate and i want my voice to be heard,i want to speak up and there’s no turning back,God is Good,i need all strength and i got the big support in this from my close friend,solidarity madaraka kwa umma."
 
Huo ndiyo ujumbe uliosomeka kwa Diva ingawa bado hajaweka wazi jimbo atakalogombea,Kama atafanikiwa kuingia bungeni Diva atakua kwenye list ya miongoni mwa watangazaji na vijana walioingia kwenye siasa wakiwa na umri mdogo

Msome hapa chini Alichokifanya Beyonce ikulu ya Marekani katika sherehe ya siku ya kuzaliwa ya Michelle, Obama awafundisha wageni ku-dougie

Mama Blue Ivy, Beyonce Knowles alimuongezea sababu ya kutabasamu First Lady wa Marekani Michelle Obama kwa kupiga show nzuri ndani ya ikulu ya nchi hiyo katika sherehe ya kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa Jumamosi, January 18.
 Katika sherehe hiyo ambapo Michelle alikuwa anafikisha umri wa miaka 50, Beyonce alienda na mwanae Blue Ivy ambapo baada ya sherehe hizo alipost kwenye mtandao picha zinazomuonesha mwanae huyo akichezea vitu kadhaa ndani ya ikulu, na picha moja ilimuonesha akicheza na mbwa wa Obama, Sunny.
Wageni wengine waliohudhuria katika sherehe hiyo ni pamoja Rais wa zamani wa Marekani, Bill Clinton na mkewe Hillary Clinton, mwimbaji Mary J. Blige, John Legend, Paul MacCartney, Samuel L. Jackson, Stevie Wonder, Jennifer Hudson na wengine.
Inaripotiwa kuwa Barack Obama alitoa hotuba nzuri kwa ajili ya mkewe na kwamba kuna wakati alishuka kwenye dance floor na kujaribu kuwafundisha wageni jinsi ya ‘ku-dougie’.
Baada ya kupata live performance kutoka kwa wanamuziki walioalikwa, Dj Cassidy alichukua nafasi yake na kuchanganya nyimbo kwa ustadi kuwaburudisha wageni hao.

Chanzo: TimesFm Website: www.timesfm.co.tz

Thursday, January 16, 2014

Kanye West alimpiga ngumi zaidi ya 30 kijana mdogo aliyewatukana huku Kim Kardashian akishuhudia


Ingawa Kanye West alisema mwaka jana mwishoni kuwa mwaka huu 2014 hatasema maneno mabaya kwa mtu yeyote, ameuanza kwa vitendo vibaya baada ya kumporomoshea ngumi zaidi ya 30 kijana mdogo aliyemtukana mama mtoto wake Kim Kardashian.
Shuhuda wa tukio hilo aliiambia TMZ kuwa kijana huyo aliyesemekana kumtukana Kim Kardashian kwa maneno ya kibaguzi akimuita Kanye kuwa ni n***er (a n***er lover) alijikuta akila kichapo kama anapigwa na mwanamasumbwi baada ya kuketi kwenye kiti kwa dakika kadhaa huku akidhani yameisha.
Shuhuda huyo amesimulia kuwa dakika chache baada ya kumrushia maneno Kim Kardashian na kuelekea kwenye ofisi moja ambapo alikaa kwenye kiti, Kim Kardashian na Kanye West waliingia kwenye ofisi hiyo huku Kanye West akiwa amekasirika, na bila kusema chochote alianza kumpiga ngumi akiulenga uso wake huku mrembo wake Kim Kardashian akishuhudia.
Imeelezwa kuwa kijana huyo alijitahidi kuuzuia uso wake kwa kuukinga na mikono lakini hali ilikuwa tete kwa mvua za ngumi toka kwa Yeezy.
TMZ imeripoti kuwa mtu wa mapokezi alipiga kelele kwa nguvu akimtaka Kanye amuache mtoto huyo ‘stop, stop’ lakini aliendelea. Wahudumu wengine waliingilia kati na kumsukuma Kanye West ili asiendelee kumpiga kijana huyo.
 Baada ya tukio hilo Kanye West alitoka nje ya jengo hilo kivyake na Kim Kardashian akaelekea kwenye ofisi nyingine kwa ajili ya kikao.
Kwa mujibu wa USA Today, Polisi wametoa tamko wakithibitisha kuwa walipokea simu kuhusu tukio hilo na kwamba kijana huyo na watu wengine walimtaja mtuhumiwa kwa jina la ‘Kanye West’, na kwamba maafisa wa polisi wanaendelea na uchunguzi juu ya tukio hilo.

Msanii Maarufu Kenya akanusha taarifa zinazodai yeye ni mshauri wa Rais Kenyatta










Kufuatia ripoti zilizoenea hivi karibuni nchini Kenya zikidai kuwa ‘Kigeugeu hitmaker’ Jaguar ndiye mshauri wa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta kwenye maswala ya yanayohusu vijana, mwimbaji huyo amekanusha taarifa hizo.
Jaguar ametweet akikanusha taarifa hizo na kudai kuwa safari zake kuitembelea Ikulu ya nchi hiyo huwa na lengo la kumtembelea rais Kenyatta kama rafiki yake.
Akiongea na mtandao wa Ghafla wa Kenya, Jaguar amesema kuwa wakati wowote ambapo Rais Kenyatta anapohitaji maoni yake kuhusu maswala yanayowahusu vijana nchini humo, huwa tayari kutoa maoni yake.
Mwimbaji huyo ambaye hivi sasa video ya wimbo wake Kioo imeshika vipindi vya burudani vya runinga Afrika Mashariki, amekuwa mstari wa mbele katika kusaidia harakati za kuwainua vijana nchini Kenya.
 
.. Articles stating that I'm the President's youth advisor; My visits to state house are solely to see His Excellency as a personal friend.

Kiungo na Raia wa Serbia Nemanja Amesajiliwa Chelsea


Kiungo raia wa Serbia Nemanja Matic amesajiliwa tena kwa mkataba wa miaka 5 na nusu.

Chelsea imekamilisha uhamisho wa kiungo raia wa Serbia Nemanja Matic kutoka klabu ya Benfica ya Ureno.
Matic ambaye anarejea Chelsea baada ya kuihama akiwa ni sehemu ya uhamisho wa beki David Luiz,amesajiliwa tena kwa mkataba wa miaka 5 na nusu kwa ada ya uhamisho ya paundi milioni 21.

KILICHOANDIKWA NA VIBE MAGAZINE KUHUSU NEY WA MITEGO

Ney wa mitego ni mmoja wa wasani wanaokubalika sana hapa Tz kwa kutokea ku-change game zima la hihop,toka ujio wake akiwa bado msanii mchanga,aliweza kukua kwa kasi sana na baadhi ya nyimbo zilizomfanya azidi kukaa muda mrefu kwenye media za hapa bongo,zikiwa ni pamoja na muziki gani aliomshirikisha diamond,salamu zao ambao ni moja ya wimbo uliomfanya kwa asilimia fulani ku-bost popularity yake na hivi sasa anatesa na hit single “nakula ujana” na kuzidi ku-make headlines katika media zakutosha tu Tz,kama ulikuwa hufahamu haya ni yale tu baadhi ya mambo ambayo ulikuwa uyafahamu kuhusu msanii huyu wa hiphop.
muziki gani
-Katika nyimbo zake zote alizowahi kutoa,”salamu zao” ndio wimbo uliotokea kumpa uwoga mkubwa ikiwa,na hadi kutaka kujishauri kutou-release kabisa kutokana na yale aliyoandika,ikiwa ndiyo mara ya kwanza kwa msanii wa hiphop kuongea live wazi yale yaliyokusudiwa katika maudhui ya nyimbo yake,kabla ya ku-release wimbo huu alijishauri na kufikiria hadi kutotoa kabisa ila mwisho wa siku aliamua kutoa tu,huku watu wakiupokea kila mtu kwa style yake kila mtu akiwa na mawazo yake kwa jisi alivyoupokea ila mwisho wa siku aliweza kutoa maana halisi ya hiphop,kuongelea maisha halisi.
163555_372364236202066_1519976476_n
-Baada ya kumaliza michongo yake ya siku nzima,au kwa siku ambazo za kupumzika,kiwanja chake kikubwa ni Nyumbani kwake,kama ilivyo kwa wasanii wengine maarufu weekend ifikapo clubz mbali mbali huwa panahusika sana,au ku-stay na masela maskani kupiga story za hapa na pale ila kwa msanii huyu ni tofauti kabisa.
-Ukiachana na mapenzi yake makubwa aliyonayo kwenye muziki ambao umeweza kumpa mafanikio makubwa,ila mapenzi yake makubwa ni kuangalia movie akiwa kwa home,kupenda kwake kwa kuangalia movie  kunaweza kumfanya ashinde siku nzima ndani akiwa naangalia movie na hata kusahau kula,movie azipendazo sana ni movie za action za mbele,ila Bongo movie kwa mbaaali.
Movies_logo
-Kwa hapa Tz ana-enjoy sana kuangalia comedy ikiwa ni pamoja na movie zile za comedy,kutokana na mapenzi yake hayo ya comedy ametokea kufahamu kila msanii anayefanya comedy hapa tz hata yule underground uki,wuliza nay wa mitego kama nanamfanyamu atakuambia anamjua.na ni kweli atakutajia hadi jina na aina ya movie aliyo-act,kwenye upande wa Bongo movie anamkubali sana marehemu Kanumba na ndizo movie zake pekee za Bongo alizokuwa ana-enjoy kuangalia,na walikuwa ni marafiki wakaribu sana enzi za uhai wake..RIP to the Legend.

CREDIT : VIBE MAGAZINE

WADADA WA TZ WANAOONGOZA KWA KUTOKEZEA KWENYE CAMERA "PHOTOGENIC"


Vibe inakuletea list ya mastaa wakali ambao wanapogusa camera au mtu yoyote kutaka kuwapiga picha basi tegemea picha moja kali sana na hii ndio maana nzima ya mrembo kuwa photogenic.Mastaa waliofanikiwa kuingia katika list ni :-
Jokate Mwengelo
 Linah Sanga
Elizabeth Michael (Lulu)
 Rita Paulsen
 Jackline Wolper
Wema Sepetu


 Irene Uwoya 

Monday, January 13, 2014

Leo ni Holiday



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ally Mohammed Shein kwa makubaliano na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete wametangaza jana kuwa Leo (jumatatu 13jan2014) kuwa siku ya mapumziko ya kitaifa kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

25 USIYOYAJUA KUHUSU NIKKI MINAJ


April 25, Nicki Minaj ataonekana kwenye filamu yake ya kwanza, The Other Woman akiwa na Cameron Diaz.Rapper huyo mwenye miaka 31, amefunguka kupitia mtandao wa Us Weekly mambo 25 usiyoyajua kumhusu.

1. I hate getting my nails done.
2. I can spend hours glued to Investigation Discovery. It’s my favorite network.
3. I think Martin Lawrence is a genius.
4. I’m obsessed with Rice Krispies Treats.
5. For one month straight, I watched The Devil Wears Prada until I fell asleep every night.
6. I enjoy doing laundry.
7. I’m a homebody.
8. I’ve had the same group of girlfriends for as long as I can remember.
9. I’m always cold.
10. Some of my favorite labels are Giuseppe Zanotti, Roberto Cavalli, Chanel and Versace.
11. My pet peeve is when people spend lots of money just to impress others.
12. My father taught me how to make curry chicken.
13. I’m the best cook on the planet.
14. I’m now listening to beats for my third album.
15. My brothers are my world.
16. I can’t stand going to meetings or talking on the phone.
17. I also hate texting and having to return emails.
18. I collect paintings of Marilyn Monroe.
19. I’ve always loved acting.
20. My first movie, The Other Woman, comes out next year.
21. I just may have a song on the soundtrack!
22. My go-to snack is strawberry-banana yogurt.
23. I bought some really sexy lingerie the other day.
24. My fans inspire me.
25. I plan to write a book about my life — someday!

Thursday, January 9, 2014

Stella ambaye ni Dem wa Prezzo ameonekana kumfuata Hasheem Thabeet Marekani


Demu wake prezzo anayejulikana kwa jina la Stella au unaweza kumuita Chagga Barbie alikua kwenye game ya Oklahoma City Thunder vs a Minnesota Timberwolves huko marekani akimtazama kijana wa kitanzania Hasheem Thabeet akicheza kikapu.Katika Mchezo huo ambao  Thunders waliwafunga Timber wolves 115 kwa 111 na baada ya  mechi hiyo stella alipata nafasi ya kuhang na Hasheem Thabeet.
Hasheem Prezzo 2 Hasheem Prezzo 3 Hasheem Prezzo

VIBE

Soma Justin Bieber na Selena Gomez mapenzi tele, wajiachia na baba yake Bieber


Inaonekana mambo yanazidi kurudi kwenye mstari kati ya mastaa wawili Justin Bieber na Selena Gomez ambao kwa muda mrefu mapenzi yao yamekuwa na drama ambazo zilionekana kuupasua moyo wa Selena Gomez, na kutangaza mara kadhaa kuwekana kando.
Siku kadhaa baada ya kuzagaa ripoti kuwa mastaa hao wamerudiana, wameonekana wakitoka pamoja na kwenda mapumzikoni Jumamosi, January 4.
Mfanyakazi wa SeasCape Beach Resort katika eneo la Santa Cruz, aliiambia KSBW kuwa Bieber na Selena Gomez waliambatana na baba yake Justin Bieber, Jeremy Jack na kwamba walilala katika eneo hilo na kuondoka kesho yake asubuhi.
“We were so very excited. He came Saturday night and left Sunday afternoon. He and his friend (were) riding his Segway through the campground and toward Manresa (State) Beach. It was the best thing ever.” Alisema mfanyakazi mmoja.
Hata hivyo, Bieber na Selena hawakutaka kufahamika kwa hiyo walivyaa mavazi tofauti huku Selena akivaa wig kichwani ili iwe vigumu kufahamika.
Lakini mashuhuda waliiambia KSWB kuwa walipogundua kuwa watu wameanza kuwafahamu, walikimbia ili wakajifiche lakini wakiwa katika harakati za kukimbia wig la selena lilianguka na nywele zake ndefu nyeusi zilionekana.

Hawafanani Sauti tu, wanafananana sura

Mara ya kwanza tu Recho alipoanza kusikika, sauti yake ilianza kufananishwa na ya Ray C. Kuanzia kwenye Kizunguzungu, Upepo na Nashukuru Umerudi, Recho alikuwa Ray C mtupu. Hata hivyo hiyo haikumsumbua, Ray C ambaye alisema kuwa ni faraja kumsikia Recho akiimba kama yeye na tangu hapo wamekuwa marafiki.
Lakini wawili hawa, hawafanani sauti tu. Picha hii (hapo juu) iliwekwa na Ray C kwenye Instagram na wengi walidai kuwa, warembo hao wanafanana kama mapacha vile. Soma baadhi ya maoni hayo hapo chini.
 @ ] bintikhaliph Mnafanana kila kitu natamani ungepunguuua ukawa km zamani 
 [ @ ] nditolemassai Mmefanana don tel me ur siblings?.
 [ @ ] happyndunguru Inawezekana nyie ni twins. Mmoja alitoroshwa na nes na kuwa adopted. Hahahaha hii ni movie.. 
 [ @ ] brebree255 mmefanana sana isee... 
 [ @ ] gsengo Yupi kulwa yupi doto? 
 [ @ ] yusbayser Kwel dunian wawiliwali 
 [ @ ] mariamkhalfani Kama mapacha vile mwaaaaah 
 [ @ ] medevanshez Mmefanana
 [ @ ] sporahcute Uuh mmefanana Kama mapacha. 
 [ @ ] nargnyfa Yani mnafanana sauti hadi sura sasa 
 [ @ ] fansuli Umependeza kama mapacha!
 [ @ ] dimplesally Heey u guyz r soo twiny really identical frm another mother I guess... ha ha ha haaa.Stori hii ilionekana kutisha mwakajana.

KUTOKA FACEBOOK KUHUSU MAFANIKIO YAKE YA 2013 NDANI YA TP MAZEMBE MBWANA SAMATA


Mbwana Aly Samatta Nafurahi kwamba ndani ya mwaka 2013 nimekua mfungaji bora ndani ya kikosi cha TP Mazembe kwa kuwa na Magoli 20, Pia mchezaji aliecheza mechi nyingi katika timu io, Pia moja ya wachezaji wanaowaniwa na timu za Ulaya.. asante ‪#‎Tanzania‬ Asante ‪#‎TP‬ Mazembe Asante ‪#‎Africa‬.... TP Mazembe wananiita ‪#‎SAMAGOAL‬ ..... I love football..... Bendera inapepea....