
Taarifa zimethibitisha pasipo shaka kwamba Ikulu ya Jijini Dar es Salaam sasa inataka kugeuzwa kuwa kichaka na matapeli hao, ambao pia wamejivika undugu wa kifamilia na viongozi wakubwa nchini.
Mtandao huo, ambao unaaminika kuumiza watu mbalimbali, ukiwalenga zaidi akina mama na wanafunzi wa vyuo vikuu nchini, anayetumikia kufanikisha utapeli huo kupitia viunga vya Ikulu, ni mvulana anayejiita Baraka Tibaijuka.
No comments:
Post a Comment