skills za kitaa

Friday, June 27, 2014

Evander Ajadili tukio la Suarez kumng'ata Sikio mchezaji mwenzake

Holyfield amejitosa sakata la mshambuliaji  wa timu ya taifa ya Uruguay Alberto Suarez anayekabiliwa na shitaka la kumng'ata beki wa timu ya taifa ya Itali Giorigio mbele ya Kamati ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).


Thursday, June 26, 2014

Staa wa Marekani Justin Bieber Apata Ajali



 IFWT_JustinBieberPapCrash1
Young JB is at it again, but this time it is not his fault. The rebel without a cause was being chased by paparazzi when a BMW smashed right into the rear of his Cadillac!
The Cadillac in which Justin Bieber was a passenger in, was racing down Cannon Drive, trying to get away from Paparazzi when a BMW mistook the speed of Bieber’s car and hit the Cadillac.
Thankfully everyone is ok, no injuries were reported and Justin Bieber was swiftly picked up by another vehicle soon after the hit.

Lupita Awanyamazisha wadau


 Picha ya Lupita yawanyamazisha waliomkosoa kuwa kisura wa kampuni yenye bidhaa za kujichubua
Baada ya kutoka tangazo kuwa Lupita Nyong’o atakuwa kisura wa kwanza mweusi kwenye bidhaa ya Lancome, wengi walianza kumkosoa kwa uamuzi wake kwa kuwa kampuni hiyo ina bidhaa za kujichubua ngozi.
Hata hivyo, picha ya kwanza ya kampeni ya Lupita kwa bidhaa tofauti za kampuni hiyo zimewanyamazisha walioanzisha mgogoro huo. Lupita ameitangaza Tiente Idole Ultra 24H.
Sasa kampuni hiyo imetangaza ngozi nzuri ya mrembo Lupita Nyong’o bila kuwa na dalili za kujichumbua. Huenda ikawashawishi wateja wao kuachana na mpango wa kujichubua kwa kuwa black is beauty.

Sunday, June 22, 2014

Tazama mafanikio ya P Square










Soma hapa chanzo cha Beef T.I na Rapper wa kike Azealia Bank


 
Hisasa kuna beef kat ya Rapper T.I na rapper wa kike Azealia Banks
beef yao ilinza baada ya T.i kutoa wimbo wa “No Mediocre ambao amefanya na Iggy azalea

wimbo ambao T.I anavutiwa na wasichana wazuri duniani
baada ya huo mwimbo kutoka Azealia Banks alitwit “You want no mediocre…but have you seen your wife?”
yani nikama alikuwa namwambia T.I unasema hupendi wasichana wasio wazuri ,vipi umeshamuona mke wako ?


T.i akamjibu kupitia instagram If u speak ill of my family again….. I WILL END YOU
ukizungumza vibaya kuhusu familia yangu ntakumaliza .
waliendelea kurushiana maneno kupitia mitandao ya kijamii ..
sasa beef imechukua sura mpya baada ya TMZ kukutana na T.I mtaani na kumuuliza kuhusu hii ishu ya jamaa kama tunavyojua ni mtata
kamwambia Azealia Banks kama akizungumzia familia yake kwa mara nyingine tena atamtoa koromeo kwenye shingo yake
“unaweza kusema chochote kuhusu mimi ,lakini ukisema chochote kuhusu familia yangu ,man ntakuja kwako na sito kuwa na huruma
ntakutoa koromeo kwenye shingo yako kwasababu natakiwa kutunza heshima ya familia yangu,
 “Just leave me and my family alone,” kama unatatizo na mimi sema unachotaka kusema kuhusu mimi ,na usiihusishe familia yangu,
 Banks naye ameonekana mbishi hajakaa kimya kupitia twetter kaandika  watu wote wanajua unamiaka 40 na unawatoto ambao wanaishi kwa wasiwasi kwasababu huwezi kukaa nje ya jela   “You’ll be back in Jail soon.”
“Speak with actions. #HustleGang,” tweeted Tip, while Banks told him to “suck a dick.”

Friday, June 20, 2014

Kim Kardashian Shows Off Her Nips & A** Looking SO FAT!.



IFWT_kimkardashianmain
I have no idea where Kim Kardashian is located in these flicks, but I’ve seen these pictures floating around the gram all day and I just thought I should share it with you guys, for your viewing pleasure. Fellas check out these pics of Mrs. West with her nips in a wet t-shirt and her a** barely fitting into bikini bottom. You don’t want to miss these!
IFWT_KimKardashian(3)IFWT_KimKardashian(4)

Tazama mambo ya DMX hapa !



DMX's income just took a substantial hit.
According to source of this report, a court has ordered the rapper's wages garnished from Universal Music Publishing to the tune of $15,000 a month.
$10,000 of that amount is being allocated for child support for his four children with ex-wife Tashera Simmons. The remaining $5,000 will go towards "other."

X and Tashera separated in 2010 after eleven years of marriage.

Sunday, June 15, 2014

CHEKI HAPA DAVIDO :KUMBE ANAFANIKIWA SANA

Kwa Tanzania tumeanza kuona matunda ya muziki wa Bongo Flava kipindi hiki kwa kuzingatia kuwa mwanzoni watu walikuwa wanalipwa hadi 50,000 kwa show moja lakini sasa wasanii wanachukua hata zaidi ya milioni 5 kwa show ya ndani.
DavidoHuko Nigeria watu wanaowekeza kwenye muziki wameanza kuyaona matunda yao hivi sasa ambapo kaka yake Davido ambaye pia ni mmiliki wa label HKN record akiwa na Davido ameweka wazi kuwa Davido huingiza $50,000 (zaidi ya Milioni 84) kwa show moja anayofanya.
Anasema aliwekeza kiasi cha $50,000 katika label hiyo awali na sasa Davido anapiga kiasi hicho kwa show moja tu.
Davido ni mshindi wa tuzo mbili za MTV MAMA 2014.Source mitandao ya habari.

Miss BumBum:THE S3XI3ST BEAUTY CONTEST IN BRAZIL [HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA






The runners up look on as Macedo is unveiled as the competition winner

Putting controversry behind her: Macedo stands to make ten times the amount she received for first prize

Lopez Is Slaying In Billboard Magazine..


Jennifer Lopez
Just days before her 10th album A.K.A. lands in stores, Jennifer Lopez sizzles on the cover of Billboard. The 44-year-old superstar, who just performed with Pitbull at the World Cup opening ceremony in Brazil, flaunts her assets in a red Alaïa catsuit and Christian Louboutin heels.
In the magazine, the “muy sexy, modern-day Martha Stewart mogul” (she reportedly earned $52 million in one year), discusses her icon status.
“I don’t feel like I have anything to prove anymore,” says J.Lo, whose album drops June 17.
She hopes to be remembered like established icons including Cher and Tina Turner, “and all
Check out more pics from J.Lo’s stunning shoot below.
these people who came a generation before this one and showed us that you don’t have to, as a young woman, have an expiration date.”
The mother of two has a busy year ahead. In addition to starring in The Boy Next Door, Home, and Lila and Eve, she is working on a Christmas album. “I’d like for her to start working on some Christmas songs for an album in ’15,” says her manager Benny Medina.

Jennifer Lopez
Jennifer Lopez
Jennifer Lopez
Jennifer Lopez

SWAGA ZILE ZILE KWA BALOTELLI KOMBE LA DUNIA


Heads you win: Mario Balotelli celebrates after heading Italy back into the lead five minutes after half-time
Rising high: Balotelli gets above Gary Cahill to power the ball past Joe Hart and restore Italy's lead

Super Mario: Balotelli is congratulated by his teammates after scoring
He knows the score: Mario Balotelli gestures '2-1' to the camera as he walks off at the end

Soma hapa hivi :Dalili zinaweza kuwa mbaya kweli katika Ndoa hii?



Jay Z And Beyonce Knowles Divorce: Rapper Reportedly Has Affair With Casey Cohen

Jay Z And Beyonce Knowles are again staring down divorce rumors after the rapper reportedly had an affair with reality star Casey Cohen. Cohen, star of the Bravo show Princesses: Long Island, reportedly met with Jay Z on several occasions.


“Jay probably sees her twice a month,” a source told In Touch Weekly. “He visits her while she’s working and then they slip away for an after party. She’ll hang out with him all night, flirting with him and touching him.”

But Cohen is vehemently denying the cheating rumors, and has reportedly had her lawyer issue a cease and desist letter to the magazine’s publisher asking that the story be taken down. She is also asking for an apology not only to her, but to Jay Z and Beyonce Knowles.

Whether true or not, the story is the latest setback for Jay Z and Beyonce, who have been plagued by rumors of marital strife. The stretch of bad news was kicked off by the now-famous fight between Jay Z and Solange Knowles following the Met Gala in New York City. Solange launched a kicking and punching attack against her brother-in-law, reportedly after he was caught getting too close to designer Rachel Roy.

Sources said it was this conflict with Roy that led Jay Z and Beyonce Knowles to skip the Florence wedding of pal Kanye West and now-wife Kim Kardashian. Jay Z has faced other cheating rumors, including reports of affairs with Rihanna and Rita Ora.
The parties deny the allegations.

“Don’t you dare disrespect Beyoncé like that ever again in your entire life,” Ora said in the April with 105.1′s The Breakfast Club. “You should know better than that. That’s just straight-up disrespect. You can’t even go there.”

But the rumors go both ways. Sources say Jay Z is afraid that Beyonce is having an affair with bodyguard Julius De Boer.
“Jay definitely thinks that there was and may still be something romantic going on between Bey and Julius,” a source told MTV. “He wanted to fire Julius last February, but Beyonce said, ‘Julius isn’t going anywhere.’”

“They’ve spent a lot of time together behind closed doors. He’s even stayed in her hotel room,” a source added.
Jay Z and Beyonce Knowles have not responded to the divorce rumors.

Thursday, June 12, 2014

Tumaini Langu yaingia kuingia sokoni wiki ijayo


Beautiful Lier yaingia sokoni


Mkali wa Hip Hop 50 cent kutoa albam mwaka huu na G-Unit



Kundi la G-unit baada ya kuungana katika tamasha la Summer Jam na kisha kuachia nyimbo mbili ,kiongozi wa kundi hilo 50 cent amejibu swali ambao mashabiki wengi wa HipHop walikuwa wanajiuliza kama kuna uwezekano wakafanya albam ya pamoja.
50 cent akifanya mahojiano na  FOX 29 katika kipindi cha Good Day amesema albam ipo njiani inakuja mashabiki wakae tayari ,
 "Yes…yes utaona albam mwishoni mwa mwezi november " amesema 50
albam hiyo itakuwa ya tatu kwa G-Unit ya kwanza walitoa mwaka 2003 ( Beg For Mercy )2007 T.O.S. (Terminate on Sight).

Tuesday, June 10, 2014

Huyu Ndiye Jennifer Hudson


Jennifer Hudson
Jennifer Hudson and Azealia Banks celebrated gay pride at the 2014 L.A. PRIDE Festival in West Hollywood on Saturday. The ladies performed in the park as part of the weekend-long festivities.
The Harlem rapper slayed the stage in a superhero-inspired outfit and white Air Force Ones, performing hits including “Yung Rapunxel,” “ATM Jam,” “212,” and a cover of Robin S.’ “Show Me Love” as confetti fell from the sky.
“I had such a good time at Pride today! The crowd showed me so much love I couldn’t even take it,” tweeted Banks.
She also apologized for her previous offensive comments. “I sincerely want to apologize to anyone who was hurt by the things I’ve said in the past,” she said. “I won’t go into it but you KNOW what I’m talking about. It wasn’t nice and it wasn’t fair. . . I hope the entire LGBTQ community will forgive me.”
Showing off her svelte figure in a little black dress, J-Hud closed out the evening with a dazzling set. The powerhouse diva—and her scantily-clad male dancers—strut across the stage while belting out “I Can’t Describe (The Way I Feel),” “Pocketbook,” and “And I Am Telling You I’m Not Going.”
The ladies of Danity Kane will cap off the festival with a show tonight.
Past PRIDE performers have included Ciara, Lil’ Kim, and Kelly Rowland.
 Jennifer HudsonJennifer HudsonJennifer HudsonAzealia BanksAzealia Banks

Minaj Visits ‘LIVE with Kelly and Michael’


Kelly Ripa, Nicki Minaj, and Taye Diggs
Nicki Minaj kicked off her week with an early morning visit to “LIVE with Kelly and Michael” on Monday. Dressed “demurely” in a flowery Dolce&Gabbana dress and Versace shoes, the “Pills N Potions” rapper sat down with Kelly and Taye Diggs, who was filling in for Michael Strahan.
She discussed her love for West Indian food (“Everytime I come [to New York], I gain about five pounds”), her army of fans, and her new single.
“It’s been literally my most critically-acclaimed single that I’ve ever put out—ever,” said the leader of the Barbz.
She also shared her love for Taye Diggs. “I would love to have this sexy hunk of chocolate in my video,” gushed Nicki, who wants to play the actor’s love interest in a movie.
The “Pills N Potions” video will premiere around 8 p.m. EST today on VEVO.

Hatimaye Cameroon waelekea Brazil



Hatimaye The Indomitable Lions ya Cameroun waabiri ndege ya Brazil
Cameroon sasa wameenda Brazil baada ya mzozo kuhusu marupurupu yao kutatuliwa.
Wachezaji hao , almaarufu 'Indomitable Lions' walikuwa wamesusia kuingia ndegeni hadi marupurupu yao yaongezwe.
Akiwemo nyota wao mshambuliaji wa Chelsea, Samuel Eto'o, walikuwa wamegoma kuingia ndegeni hapo Jumapili asubuhi hivyo safari ikachelewa kwa zaidi ya saa 12.
Wachezaji hao walikuwa wakilalamikia kiwango cha fedha £61,000 ambazo walikuwa wamepangiwa kupewa wakisema hazingetosha.
Haijabainika vyema ni idadi gani walichoongezewa ndio wakakubali safari.
Hata hivyo rais wa shirikisho la soka la Cameroon Bw.Joseph Owona amesema 'baada ya kuweka kila kitu wazi ,mzozo huo umetatuliwa na sasa hamna tatizo'.
Tatizo lililopo sasa kwa masimba hao ni kupata mkakati madhubuti wa kukabiliana vilivyo na timu za kundi lao A ambamo wamo miamba ya soka wenyeji Brazil, Croatia na Mexico.Source BBC.

Siku zaanza kuhesabika kuelekea Kombe la Dunia...Mahojiano na Halifa Ramadhan kutoka Brazil




Siku chache kabla ya kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la Soka huko Brazil, mambo mengi yamekuwa yakizungumzwa kuhusu maandalizi ya michuano hiyo.
Kuna malalamiko na maandamano nchini humo ambavyo kwa hakika vinaleta taswira isiyo njema kuhusu maandalizi ya michuano hiyo
Kutaka kujua mengi, Kwanza Production imefanya mahojiano na Halifa Ramadhan.

Mtanzania mwenye maskani yake nchini Brazil ambaye amezungumzia mengi kuhusu maandalizi ya fainali za kombe la dunia na pia maisha ya nchini humo kwa ujumla.

A kick-ass winner! Taekwondo black belt Miss Nevada takes Miss USA 2014 crown


By ZOE SZATHMARY
Miss Nevada, who has a fourth-degree black belt in taekwondo, won the title of Miss USA 2014 in Baton Rouge on Sunday night.
Nia Sanchez, 24, of Las Vegas wore a red fishtail gown as she was presented with her sash, bouquet and crown. Prior to the big reveal, she was seen in a nervous embrace with first runner-up Miss North Dakota Audra Mari.
Other runners-up in the pageant - which is owned by Donald Trump - included Miss Georgia Tiana Griggs, Miss Louisiana Brittany Guidry, Miss Florida Brittany Oldehoff and Miss Iowa Carlyn Bradarich.
Scroll down for video
Winner: Miss Nevada USA Nia Sanchez, pictured, won the Miss USA crown on Sunday night
Winner: Miss Nevada USA Nia Sanchez, pictured, won the Miss USA crown on Sunday night
Big moment: Miss Nevada Nia Sanchez reacts to winning the 2014 Miss USA beauty pageant
Big moment: Miss Nevada Nia Sanchez reacts to winning the 2014 Miss USA beauty pageant
Congratulation! Miss Nevada USA Nia Sanchez is seen getting her crown
Congratulation! Miss Nevada USA Nia Sanchez is seen getting her crown

Friday, June 6, 2014

Shiriksho la mchezo wa soka duniani FIFA, limetoa onyo kwa utawala nchini Brazil, kuwa mji wa kusini wa Curitiba huenda ukaondolewa miongoni mwa miji itakayoandaa fainali ya kombe la dunia, kutokana na kuchelewesha kwa shughuli za ujenzi.


Katibu Mkuu wa FIFA, Jerome Valcke, amesema kuwa ukarabati katika uwanja huo unaendelea kwa mwendo wa pole sana.
Ametaja suala hilo kama la muhimu na kuwa FIFA itatangaza katika kipindi cha mwezi mmoja ujao ikiwa mji huo wa Curitiba utasalia kama moja ya miji itakayokuwa mwenyeji wa fainali hizo.
Huku ikiwa imesalia chini ya miezi mitano kabla ya fainali hizo kuanza viwanja sita kati ya kumi na mbili vinavyohitajika vimekamilika.Source BBC.

Wanyange wa Redd's Miss Ubungo Usikuwa leo watakuwa wakimtafuta Miss Talent Club Maisha

Baadhi ya majina yao ni Natalia Rogath, Zubeda Hussein,Chenjeray John,Froseck Mwakanyamale Nurinah Mikindo.

Mtupie Macho Binti anayedaiwa kubakwa na mume wa Flora Mbasha



Imedaiwa kuwa huyu ndio binti shemeji mwenye umri chini ya miaka 17, anayedaiwa kubakwa na mume wa msanii wa nyimbo za injili, Flora Mbasha katika sakata linaloendelea kwenye magazeti pamoja na mitandao ya jamii.

Hata hivyo kuna ushahidi wa sauti ya mume wa Flora Mbasha akimmbembeleza kwenye simu akiomba msamaha kwa yaliyotokea na kueleza kwa kiasi gani alivyo na nia njema na binti huyo pamoja na familia nzima. 
Chini ni picha inamuonesha baba huyo akiwa chini ya ulinzi wa jeshi, hapa maswali kibao, sijui kwanini jeshi