skills za kitaa

Friday, October 26, 2012

Wasome Kanye West na Kim Kardashian


Kim Kardashian anadaiwa kuwa kwenye mipango ya kufanya harusi ya kifahari na Kanye West itakayogharimu dola milioni 20.
Nyota huyo wa reality TV show, ambaye amekuwa na uhusiano na Kanye kwa miezi nane sasa na hivi karibuni kurejea toka kwenye mapumziko ya Rome hadi Venice kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, anadaiwa kutaka kuvaa shela yenye gharama ya dola milioni 8 muda mfupi akipata taraka yake kutoka kwa mume wake wa zamani Kris Humphrie.
Chanzo kimoja kimeliambia jarida la OK! Kuwa Kim ameshaanza kuwasiliana na waandaji wa shughuli za harusi. Continue reading

AY kumtambulisha msanii atakayekuwa chini yake Jumapili hii


AY, Mwana FA na washkaji kwenye Fiesta Dar
Rapper/muimbaji na hitmaker wa Party Zone, Ambwene Yesaya aka AY amesema Jumapili hii kwenye ukumbi wa Billcanas atamtambulisha rasmi msanii wa kike ambaye atakuwa chini ya kampuni yake ya Unity Entertainment. Continue reading

Hip-Hop Rumors: Is There A Lil’ Wayne / Dr. Dre Joint Album On The Way?


Lil' Wayne and Dr. Dre
 
 
 
 In a recent interview with MTV News, Lil’ Wayne reveals that he has recorded “90 songs” with legendary producer and artist, Dr. Dre.
“I’ve always worked with Dre. I’m not sure if you guys know how Dre works, Dre always send you a song, so I done probably did like 90 songs for Dre. You just never know which one he gonna put out.”
Ninety tracks is quite impressive! I wonder if these two would ever be down to putting together a joint album. What do you think?Source:www.allhiphop.com

FG Set to Ban “Date Rape” Drug Rohypnol – Drug used to Sedate Cynthia Osokogu before she was Murdered



By Adeola Adeyemo
The sad murder of Cynthia Osokogu, a 24 year-old post-graduate student of Nasarawa State University in Lagos some weeks ago by her Facebook friends seems to have yielded some positive changes. The Federal Government is set to ban the sale of Rohypnol in Nigeria, the drug used to sedate her at a hotel in Festac, Lagos some moments before she was molested and later killed.
According to the testimony of her killers, they had obtained the drug across the counter at a local pharmacy. Rohypnol is popularly known as the ‘date rape’  or ‘date molestation’ drug because of its ability to cause unconsciousness and memory blackouts.
The Minister of Health, Prof. Onyebuchi Chuckwu, said yesterday after the weekly Federal Executive Council meeting that the decision was informed by the need to curb the disastrous use of the drug.
Although the ban has not yet been made official, the Minister said it was being considered. “There is a different body that decides which drugs can be used in Nigeria; this agency is not the National Agency for Food Drug Administration and Control (NAFDAC).
“The law that empowers that body allows it to decides which drugs should be banned or used in Nigeria.
“Right now as the minister, I have directed the appropriate bodies, which are the Nigerian Essential Drugs List and National Drug Formulary Committee, which is established by a separate law, to look into whether or not we should ban the drug.”
Rohypnol, otherwise known clinically as Flunitrazepam is a powerful sedative that is illegal in the United States but is used elsewhere for hypnosis and anaesthesia.
Although her death brings back sad memories, the ban is welcome and might serve as a deterrent to other people who plan on committing such crimes using the drug.Source

Face of Peace Africa Pageant organisers extend sale of forms



Current Miss Peace Nigeria, Ify Concepta unveils stunning pictures
The organisers of the Face of Peace Africa Pageant has extended the sale of forms for the highly talked about beauty pageant to Monday, November 12, 2012.
 Face of Peace Africa Pageant is a new beauty pageant from Blu-Moon Imaginationz, a media and film production outfit in Abuja. The company is owned and managed by Miss Ify Concepta, the current Miss Peace Nigeria and one-time runner up for Miss Imo and Miss Tourism. The auditions for the beauty pageant is scheduled to take place in three key cities; Abuja, Port Harcourt and Lagos.

BBA winner Karen Igho shows off Tattoos on her boobs and bum(Hii nayo kali!)


 

I don't know what else you all see,

Tuesday, October 16, 2012

Mkoa wa Kaskazini Unguja watoa maoni yao Katiba mpya


Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba (aliyesimama) akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kidombo Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini Unguja wakati wa mkutano ulioitishwa siku ya tarehe 13 Oktoba, 2012 na Tume hiyo kuhusu mchakato wa Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo.

Wengine pichani (kutoka kulia) ni Wajumbe wa Tume hiyo, Joseph Butiku (kulia), Profesa Paramagamba Kabudi, Katibu wa Tume, Assaa Rashid na Naibu Katibu Casmir Kyuki
  
Wananchi wa Kijiji cha Kidombo Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar wakifuatilia kwa makini mkutano ulioitishwa Siku ya  tarehe 13. Oktoba, 2012 na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo wenye malengo ya kukusanya maoni yao kuhusu mchakato wa Mabadiliko ya Katiba
Bw. Yusuph Juma (60) mkazi wa Kijiji cha Kidombo Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya wakati wa mkutano ulioitishwa Siku ya tarehe 13. Oktoba, 2012 na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo.
Bw. Said Haji Makame (21), mkazi wa kijiji cha Kidombo Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya wakati wa mkutano ulioitishwa tarehe 13. Oktoba, 2012 na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo.
Bi. Tatu Maalim Mganga (65) mkazi wa kijiji cha Kidombo Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya wakati wa mkutano ulioitishwa tarehe 13 Oktoba, 2012 na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo.
Habari na picha kwa hisani ya ZanziNews.Blog 

Upatikanaji wa huduma ya intaneti waongezeka nchini Somalia


Ingawa bado yako chini kulinganisha na nchi nyengine duniani, matumizi ya intaneti nchini Somalia yanakuja juu kidogo kidogo huku kampuni zikipigania wateja na raia zaidi wakiwa na fursa ya kutumia intaneti katika nyumba zao na sehemu za biashara.
Vijana wa Kisomali wakitumia mtandao wa intaneti katika Mkahawa wa Amudi mjini Mogadishu. [Mahmoud Mohamed/Sabahi]
Idadi kubwa kampuni za simu nchini Somalia - kubwa zaidi zikiwemo Global Internet, Golis Telecom, Telesom na Somtel - wanashindana kutoa huduma za intaneti kwa wateja na mikahawa nchi nzima kupitia mitandao mbali mbali ya minara, satalaiti, na mikonga ya mawasiliano.
"Mwaka wa 2000 watumiaji wa intaneti walikuwa chini ya asilimia 1 (ya raia wote), lakini idadi imepanda juu kwa miaka ya hivi karibuni hadi kufikia kiasi ya asilimia 2 katika mwaka wa 2011, kwa mujibu wa makisio yasiyo rasmi," alisema Abdisalam Mohamed, mkurugenzi wa masoko wa Global Internet, moja ya watoaji wakubwa wa huduma za intaneti katika eneo la kati na kusini mwa Somalia.
Mohamed alisema kampuni mjini Mogadishu sasa zinatoa aina mbalimbali za huduma za intaneti kwa watumiaji binafsi, kama vile DSL, huduma ya intaneti isiyotumia waya na za satalaiti.
Licha ya upatikanaji wake, huduma za majumbani hazijawafikia Wasomali wengi kutokana na ughali wake. "Gharama (za huduma) hizi ni kati ya dola 30 hadi dola 600 kwa mwezi, kulingana na kiwango cha huduma na kasi ya kuunganishwa inayotumiwa na mtumiaji," alisema Mohamed.

WAREMBO MISS TANZANIA WACHEZEA NYOKA




Warembo wanaowania taji la Miss Tanzania 2012 jana walitembelea eneo la Utalii la ufugaji nyoka la mjini Arusha maarufu ARUSHA SNAKE PARK na kujionea nyoka wa aina mbalimbali, Mamba, Kenge, ndege aina ya Bundi, Tai na Tumbiri.


Warembo hao wapo mikoa ya kanda ya kaskazini kwaajili ya kutembelea vivutio mbalimbali vya Utalii nchini na kujifunza mambo tofauti tofauti.

Pamoja na kujionea Nyoka hao na kucheza nao kwa kuwa vaa shingoni pia warembo hao walipata fursa ya kujifunza juu ya tamaduni za Mila ya Wamaasai na kutembelea vibanda vya urembo wa Kimasai.Inatoka kwa mdau.

DEWJI ATOA SOMO KWA KLABU ZA LIGI KUU




WAKATI klabu za Yanga na African Lyon zikiendelea kusuguana namdhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, kampuni ya simu ya mkononi yaVodacom, klabu za soka nchini zimeaswa kuanza kujitambua ili ziwezekunufaika kwa mambo mengi zaidi, badala ya kutumia muda mrefukulumbana kwa mambo madogo, akitolea mfano wa nembo ya Vodacom katikajezi za klabu.

Ushauri huo umetolewa na mfadhili wa zamani wa Simba, mfanyabiasharaAzim Dewji aliyesema kuwa, kama klabu za Tanzania
zingekuwazinajitambua, kamwe zisingepoteza muda kwa malumbano ya nembo, balimaslahi.

Akizungumza jana, alisema klabu kubwa kama Simba na Yanga, zinapaswakujenga hoja nzito kwa wadhamini, ili ziweze kunufaika zaidi kwa kuwazina thamani kubwa kutokana na ukongwe wake na utajiri wa wafuasi kotendani na nje ya Tanzania.

“Sawa wana haki, lakini klabu zetu ifike mahali zijitambue. Wavukehapo, mfano Simba na Yanga si zijenge hoja za kupata fedha zaidi kwawadhamini kwamba ili zivae jezi na nembo, zilipwe vizuri kulingana nahadhi halisi ya klabu hizi.

“Haiingii akilini kuona zimeshindwa kujenga ushawishi hata baada
yakuwekwa kundi moja na timu ambazo hazina wanachama wala ofisi, lakinikwa mujibu wa mkataba zote
zinalipwa sh milioni 7 kwa mwezi.

“Jamani, hivi Yanga yenye utitiri wa wanachama na wafuasi, utajiri
wamajengo mfano jingo lake lina thamani ya bilioni 2, inalipwaje sawa naAfrican Lyon ambayo haina  wanachama wala ofisi?

“Si kama naidharau Lyon, la hasha, bali ndio uhalisia kwa sababu kamani kunufaika, Vodacom itanufaika zaidi kwa Yanga kutokana na wafuasiwake wengi kuliko Lyon, kwanini wasitumie mwanya huo kujenga hoja?”alihoji Dewji na kuongeza kuwa, hadhi ya klabu za Simba na Yanga angalau
kila moja iambulie sh milioni 250 kwa mwaka, na jezi za hadhiya juu kulingana na hadhi ya klabu
zenyewe.

Aidha, alisema udhamini mnono wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) niuthibitisho tosha kuwa thamani ya Simba na Yanga. TBL kupitia bia yaKilimanjaro, inazidhamini Simba na Yanga kila moja kwa wastani wa shbilioni 1.5 kwa mwaka, udhamini ukigusa mishahara ya wachezaji na benchi la ufundi, mabasi, vifaa vya michezo, gharama za mikutano yakila mwaka na kadhalika.

“Una sasa, TBL si wadhamini wakuu wa soka ya nchi hii, lakini klabuhizi zinanufaika, kama ukweli ndio huo kwa nini wasimbane mdhamini waligi ili
wanufaike zaidi na badala yake wanabaki na malumbano ya nembopekee? Ni wakati wa klabu zetu kubadilika kwa sababu kote ulimwenguni,soka ni biashara kubwa mno,” alisema.

Kauli ya Dewji imekuja huku klabu za Yanga na Lyon zikiwa katikamgogoro juu ya kutovaa jezi zenye nembo ya Vodacom, Yanga ikisemahaiko
tayari kuvaa jezi zenye nembo nyekundu ya mdhamini huku Lyonikitaka iruhusiwe kuvaa jezi za mdhamini wake binafsi, kampuninyingine ya simu za mkononi ya Zantel.

Kutokana na mvutano huo, klabu hizo zimejiingiza katika hatari yakuadhibiwa, kwani Shirikisho la Soka nchini (TFF) limetishia kuchukuahatua dhidi
ya klabu zinazokwenda kinyume na matakwa ya mkataba waudhamini wa Ligi Kuu ambao hata hivyo klabu zinalalamikia kuwa hauko wazi.Inatoka kwa mdau.

HUSSEIN MACHOZI: SIPO TAYARI KWA SHOO ZA SEBULENI


 





MSANII anayetisha katika anga za muziki wa kizazi kipya nchini, Hussein Rashid, maarufu kwa jina la Hussein Machozi, amesema hayupo tayari kupelekwa nchi za nje kwa ajili ya kufanya shoo za sebuleni.
Machozi amesema shoo za aina hiyo hazina maana yoyote kwa msanii kwa vile hapati nafasi ya kuonyesha uwezo wake na kutimiza malengo yake kimuziki.
Kwa mujibu wa Machozi, wasanii wengi wa muziki wa kizazi kipya nchini wanaoalikwa kwenda kufanya maonyesho nje ya nchi, hawapati nafasi ya kuutangaza muziki wao kimataifa kwa vile maonyesho hayo huwa ni kwa ajili ya watu wachache.
Machozi alisema hayo mwishoni mwa wiki iliyopita alipokuwa akihojiwa na kituo cha televisheni cha Star TV kuhusu maendeleo na mustakabali wake kimuziki.
"Kusema ule ukweli, sipo tayari kabisa kufanya shoo za sebuleni. Nasema hivi kwa sababu wasanii wengi wa Tanzania wanaokwenda Ulaya, hufanya shoo zao sebuleni kwa mtu ama kwenye kumbi ndogo za burudani kwa ajili ya kuifurahisha familia ya mtu fulani ama mashabiki wachache,"alisema msanii huyo, aliyewahi kutamba kwa vibao mbali mbali.
Machozi amevitupia lawama baadhi ya vyombo vya habari nchini, hasa redio na televisheni kwa madai kuwa, vimekuwa vikiwabeba na kuwakuza wasanii wachache wakati uwezo wao kimuziki ni mdogo.
Alisema baadhi ya vituo hivyo vimekuwa vikithubutu kupiga wimbo wa msanii mmoja mara 10 hadi 15 kwa siku na hivyo kuzikosesha nafasi hiyo nyimbo za wasanii wengine.
Msanii huyo aliyezaliwa Singida na kukulia mkoani Mwanza amesema wakati umefika kwa mashabiki wa muziki nchini kupambanua uwezo wa wasanii na ubora wa nyimbo zake badala ya kufuata upepo.
"Watu wa habari wakiamua kumtoa mtu fulani, wana uwezo wa kufanya hivyo na wakafanikiwa. Lakini hao wanaopewa nafasi hiyo wanakuzwa tu, uwezo wao ni mdogo,"alisema msanii huyo.
Ameielezea tabia hiyo ya kuwakuza wasanii wachache kuwa inachangia kuwavunja nguvu wasanii chipukizi, ambao baadhi yao uwezo wao kimuziki ni mkubwa.
Machozi alisema anamshukuru Mungu kwamba hadi sasa amefanikiwa kuteka soko la muziki la Tanzania na tayari ameanza kubisha hodi katika nchi jirani za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.
Alisema ameweza kufanya hivyo kutokana na mashabiki kuvutiwa na tungo zake, ambazo zimekuwa zikigusa na kuelezea maisha ya kila siku ya jamii.
Hivi karibuni, Machozi alikaririwa na baadhi ya vyombo vya habari akikanusha madai kwamba, amekuwa na uhusiano wa kimapenzi na msanii nyota wa muziki wa kike wa Kenya, Avril.
Alisema amekuwa na uhusiano wa karibu na msanii huyo kama ilivyo kwa wasanii wengine na kusisitiza kuwa, bado hajawa na mpenzi wa kudumu.
Msanii huyo mwenye sauti ya kubembeleza pia alikaririwa na vyombo vya habari akisema kuwa, anafikiria kuhamishia shughuli zake za muziki katika nchi jirani ya Kenya.
Machozi alisema amefikia uamuzi huo baada ya kubaini kuwa muziki wake unakubalika na kuthaminiwa zaidi nchini humo kuliko Tanzania.
Msanii huyo, ambaye mara nyingi amekuwa akiweka kambi Kenya kila anapojiandaa kutoa wimbo mpya, ameweka wazi kuwa anataka kuhama Tanzania kwa vile kumejaa wanafiki wengi wa kimuziki.
Alipotakiwa kufafanua kuhusu madai yake ya kuwepo kwa unafiki mwingi wa kimuziki bongo, Machozi alisema waandishi wa habari wamechangia kuwepo kwa hali hiyo.
“Okay, watu wa media hawako free kabisa, yaani huwa wanafuata upepo wanapoanzisha wale wenye nguvu,”alisema msanii huyo.
“Yaani wakitaka kumtoa mtu wao na media zingine zinafuata, wala hawashtuki kuwa analazimishwa atoke wakati kuna ngoma kibao kali wanazipotezea ili mtu wao apite. Matokeo yake wanatoa ngoma moja inapata umaarufu, baada ya hapo ni pumba tupu. Huwa inaniuma sana,” aliongeza msanii huyo.
“Kwa Kenya mambo hayo hakuna kabisa. Kule kama ngoma ni kali,itatandikwa hadi noma, ila kama ni mbaya, huwezi hata kuiskia,”alisisitiza msanii huyo asiyekuwa na makeke.
”Nakubalika zaidi Kenya kwa sababu ngoma zangu ni kali na zina kichwa na miguu, namaanisha wimbo unakuwa na stori ya kufuatilia na inasikilizika na rika zote, nadhani hii ni sababu tosha sana,” alisema Machozi.
Hivi karibuni, msanii huyo alirekodi wimbo wake mpya unaojulikana kwa jina la Addicted, akiwa amemshirikisha msanii anayetamba nchini Kenya kwa sasa, Size 8.
Machozi alirekodi wimbo huo kwa ajili ya mashabiki wake wa kike na video ya wimbo huo imetengenezwa na Kampuni ya Ogopa DJs.
Hadi sasa, Machozi amerekodi nyimbo zaidi ya 15, lakini hakuna hata moja iliyowahi kushinda tuzo ya muziki. Baadhi ya nyimbo hizo, ambazo zimempatia umaarufu mkubwa ni pamoja na Kwa ajili yako, Mizimu, Kafia ghetto, Nafasi, Jela, Unanifaa, Utaipenda na Wabongo ughaibuni.
Je, ni kwa nini amekuwa akijulikana zaidi kwa jina la Hussein Machozi?
"Nilipewa jina hili na mtangazaji mmoja wa redio RFA baada ya kuvutiwa na nyimbo zangu, ambazo alikuwa akizielezea kwamba zina ujumbe wa kusikitisha na kumtoa mtu machozi. Akawa anasema huyu mtu anafaa kuitwa kwa jina la Hussein Machozi,"alisema.Inatoka kwa mdau.

Monday, October 8, 2012

Shangwe za Fiesta Viwanja vya Leaders Club

Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa ndaniya Viwanja vya Leaders Cclub , pichani nipo na aliyekuwa mchezaji wa Simba miakaya nyuma kidogo Mwansansu , tukiwa kwenye  mzuka wa fiesta.


Wadau wa Bendi ya FM Academia

Hapa ni New Msasani Club Jijini Dar es Salaam wakwanza kutoka kushoto ni Said Mdoe
mmiliki wa Kampuni ya Screen Master na wapili ni Kiongozi wa bendi ya muziki wa dansi toka bendi ya
FM Academia Nyosh El Saadat  wakiwa na miliki wa blog hii , kiwanja cha msasani Club huwa ni ngome ya bendi hiyo na hapa ilikuwa ni Jjumapili flani hivi.

Maegesho ya Gari Blue Point Kinyerezi


Ukali wa Nora Wachanganya midume Leaders Club


Blog hii ilimbamba Viwanja vya Leaders Club Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
Kajiachia na pozi la tabasamu la kwelii, siku nyingi alikua ajaoneka na viwanja hivyo midume acha isumbukeeeee ukali wake ndio huooo kwenye pozi.

Angalia ni Sehemu ya Baa Kinyerezi Mwisho Kuna Kula Bata na uku ukiangalia Soka

 Bia moto nyama choma na bia baridi .

 Kaunta pamesheheni bia za kutosha.


 Wakazi wa Kinyerezi Mwisho hapa si pakukosa kila mechi za kusisimua
ulimwenguni ligi zinazoendelea umeme ni wakumwaga , hakuna dosari kuhusu umeme.

 Si haba kusogea kila mechi za Ligi za Ulaya na kwingineko
Projector inamuonekano bora kabisa pasipokusumbua kufinya finya mimachooo. Usikose
njoo pia tuongee soka na wadau ndiokijiwe pekee kabisa cha kujivunia Kinyerezi Mwishoo, ata mwendesha
boda boda mwambie akulete kwani The Blue Point si pakupotea ama uliza kwenye paa la Bluu utafikishwa.

YONDAN ANAENDELEA VIZURI



Mlinzi wa kati wa kutumainiwa wa klabu ya Young Africans na timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Kelvin Yondani anaendelea vizuri mara baada ya kuanza kupata matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha mifupa MOI jijini Dar es salaam.
Akiongea na mtandao wa klabu www.youngafricans.co.tz, Daktari wa timu ya Young Africans Dokta Suphian Juma, amesema Yondani alipata mshtuko katika mfupa wake mkubwa, baada ya kuchezewa vibaya na kiungo wa timu ya Simba Haruna Moshi 'Boban'.
Dr Suphian anatoa wasi wasi wapenzi na washabiki wa Young Africans, kwamba Yondani anaendelea vzuri na anatazamiwa kurudi dimbani baada ya wiki mbili. 'Unajua Yondani baada ya kukanygwa na Boban alipata mshituko katika mfupa wake mkubwa mguuni, hivyo anapata matibabu ya kumrejesha katika hali yake ya kawaida.
Katika hali ya kushangaza mwamuzi wa mchezo huo wa watani wa jadi, Mathew Akrama alishindwa kumonyesha kadi nyekundu Boban kwa mchezo mbaya uliopelekea Yondani kutolewa nje na kushidwa kuendelea na mchezo.
Mechi hiyo ya Ligi Kuu ya Vodacom iliyowakutanisha watani wa jadi wakongwe Afrika Mashariki iliishia kwa sare ya mabao 1-1, mabao yaliyofungwa na Amri Kiemba Simba dakika ya 4 na Said Bahanunzi aliyesawazisha kwa upande wa Young Africans dakika ya 67.
Young Africans leo imeendelea na mazoezi katik uwanja wa shule ya sekeondari ya Loyola kujiandaa na mchezo unaofuata dhidi ya timu ya Kagera Sugar, mchezo utakaofanyika siku ya jumapili katika uwanja wa kaitaba mjini Bukoba.Inatoka kwa mdau.

DIAMOND APATA WASIMAMIZI WA KAZI ZAKE


MSANII nyota kwenye muziki wa Bongoflava  Diamond akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya I-View Studios, Raqey Mohammed baada ya kutia saini mkataba wa kusimamia kazi zake. Wengine pichani ni Mwanasheria wa Diamond, Paul Mgaya, Mwanasheria wa I-View, Dr. Peter Aringo na
Mkurugenzi wa One Touch Solutions, Petter Mwendapole.

Nimekuwa nikipokea maoni mengi sana kutoka kwa watu mbali mbali,na moja ya jambo ambalo nilikuwa nikisistiziwa ni kuwa na Management yangu itakayokuwa ikiniongoza na kusimamia kazi zangu kwa ujumla. Namshukuru sana Mwenyezi Mungu swala hilo limefikia tamati na sasa ni muda muafaka naiweka wazi Management yangu ni kampuni ya I-VIEW inayoongozwa na Raqey. Hao ndio watakuwa wakisimamia kazi zangu na kuniongoza nipite njia gani amabayo itakuwa ni salama zaidi. Ukweli ni kwamba hakuna binadamu anayeweza kufanya mambo yote ni lazima kuwe na watu wenye upeo mkubwa,watakaoweza kunisaidia baadhi ya mambo ili kuweza kufanya kazi zenye kiwango cha hali ya juu na niweze kuufikisha muziki wetu wa Bongo Flavour mbali. ( Ahsanteni sana,nawapenda sana mashabiki wangu)

Friday, October 5, 2012

How Hip-Hop Can Heal: A Message from Freeway Rick Ross on the Rick Ross, Young Jeezy BET Altercation


Freeway Rick Ross
“I’ve become a man of peace. My redemption keeps me strong.” -Stanley “Tookie” Williams founder of Crips
This weekend the news that came out of the BET award show about the altercation between the rapper using my name “Rick Ross” and “Young Jeezy” can only be described as disappointing. These are not fighters, they are entertainers, as much as they build their image on criminality – it is still an image. When art comes to imitate life it can become dangerous, because while these young men act out filling the shoes of their infamous heroes, they do so with out having walked in these shoes to prison cells or worse. As such the only winner that comes out of such a failure of celebration is the media that is able to characterize these actions as violent, perpetuating imagery of Hip Hop that has lasted far to long. In a moment of what is suppose to be a BET commemoration of achievement, these wealthy young men have created yet another stain on the American image of Hip Hop, black entertainment and young black men. Young men by the millions tune in to see role models, and receive this message of what to model themselves after for success. While this is not a deathblow to either’s career and through divine intervention no one was hurt, this does call us to come together and evaluate to avoid future incidents.
In the early 80′s as I rose to power one thing I saw was real money caused gang fighting between the Crips and Bloods to simmer down, in exchange for economic opportunity. The courts wanted to relate the drugs to the violence but that wasn’t the case. When we started selling drugs it was the first time you could see a Crip on a Blood’s block and they’re getting along because they’re trying to get money. When you are trying to get money you don’t want any violence. You don’t want violence making the police come around because that interrupts your cash flow. What seems to be happening in Hip Hop is the opposite; in some cases these artist produce violence because it is awarded with exposure, which validates their image of my life, and others like mine. The messages these young men are starting to emit through song, fashion and interviews is one of “get your weight up”, rather than let me help you up.
Rick Ross God Forgives I Don’t – So Sophisticated: “To get a verse from me, you gotta be initiated – To get a purse from me, she gotta be sophisticated – Purchase a whip from me and never miss a single payment -I’m from the city where the Muslims even Christians hate it – Even the black folk hate to see another ni**a made it – Tell all them p*ssies to chill, champagne refrigerated – Just bought a chopper ’cause the last one, got it confiscated – Counting a hundred mill so many times, I contemplated – You wanna be the hottest but that sh*t get complicated -I pull your card, I know you’re p*ssies by your conversation – Show you the safe, you’ll have to kill me for that combination… I’m the hottest and these other n*ggas cooling, ain’t it – I got a b*tch I’m f**ing that you see on BET -My lil’ Haiti shooters will have yo ass on TMZ.”
William Roberts pka “Rick Ross” you accomplished the goal you’re on TMZ, and BET for all the wrong reasons. Inside of these song’s lyrics is the kindling of a brushfire for violence, because the starting point is incorrect. It is a foundation built on low self esteem and selfish statements of I have what you can’t afford -from something as simple as a Passport and its stamps, to some European item that’s hard to pronounce and can even include a man’s mate in some of these songs. Hip-hop has the power to be so much more than that simple. At my height I did not make hundreds of millions to belittle those around me, this is what elitism has driven rap into becoming. A tool to marginalize the have-nots as rappers say what they invented, how they will protect it and how your less than for not being in the same class. The goal cannot be to have large sums of money to marginalize your fans with diamonds they don’t have, clothes they can’t afford or cars they have not seen.
The goal must be to use money to fund our faith centers, educational institutions and shelters for those in need. Black America today in mass is impoverished, some 10 million blacks live below the poverty line making less than $11,000 a year, and another large mass of blacks are classified as “near poor” by new census calculations. Likely making it around 2 in 3 blacks in America that are either poor or the newly classified “near poor”. Our goal in wealth must be to enjoy it, share it in charity, be the vision of our excluded great-grandparents and not allow it to destroy our purpose in achieving the American Dream of success for our community.
BET must also look to itself not only by saying that their failure was how they organized attendees. “Due to some misjudgment of select attendees, it is unfortunate that certain incidents took place. BET Networks does not condone any type of violence.” BET Network Statement. But in addition the network must look harder at its programming and the role it plays in creating an environment where social justice may not be a large enough part of programming goals for the network and the networks input on the artist it supports. A good step in the right direction by BET is the new piece they have airing in October by Marc Levin “Second Coming Election of Barack Obama”.
My partner Antonio Moore is a former prosecutor from years ago, and we speak often coming from entirely different sides of this thing called justice on what needs to occur, and undoubtedly it ends with maturation, responsibility and a call to social justice.
Look at the power of Jay-Z’s lyrics about my life story:
“Can’t you tell that I came from the dope game, Blame Reagan for makin’ me into a monster,…Blame Oliver North and Iran-contra/ I ran contraband that they sponsored.” Jay Z – Blue Magic
The power that can be wielded by our entertainers reaches so much further than those of the 60′s due to the globalization of their image. It is time to call on Hip Hop to be more and grow up and mature. As I attend the Emmys in New York this week for VH1 Planet Rock History of Crack and Hip Hop, I realize that Hip Hop can be a vehicle to explain how we survived a economic downturn. Even in my current battle with the rapper Rick Ross my end goal is not to destroy his career, but rather part of my goal for any resolution is to have him become part of the Freeway Literacy Foundation and teach positive messages to our youth across the nation. For that to happen Hip Hop must change its focus and its artist must become more oriented on the success of more than themselves (Ex:Dr. Dre Donates to Freeway Rick Ross Benefit Event by BET). Rap must heal itself by becoming a vanguard for social justice and causes that give purpose to idle resource.

My call today is for their to be peace and healing of longstanding wounds, for that to happen we must begin to be honest about why those wounds exist. Then truly come to the table to discuss how to help them heal for all of our sake.
Freeway Rick Ross
Coauthored Antonio Moore, Esq.
Follow Freeway Rick Ross on Twitter: www.twitter.com/FreewayRicky

At least 18 injured in Nairobi gas cylinder explosion


Abaya Fashion Show Luncheon ndani ya jiji la Dar Kwa mara ya kwanza fashion show ya ABAYA na wanawake pekee itafanyika jijini Dar na hii imebatizwa jina la ABAYA FASHION SHOW LUNCHEON Shoo itafanyika Ijumaa ijayo, Otoba 12 pale Red Onion ndani ya Jengo la Haidery Plazer Posta mpya. 

Ni Luncheon Event so itafanyika kuanzia mida ya saa tisa na nusu jioni mpaka saa kumi na mbili. Mbunifu An Nisa Abaya, Asia Idarious na Mustafa Hassanali wataonyesha mavazi yao siku hiyo. Dress Code ni Hijjab. Fresh Fashion, Fresh Faces.......... More updates to come.

Thursday, October 4, 2012

WAREMBO WA MISS TANZANIA WAKIWA KAMBINI



CHIDI BENZ AFUNIKA DAR Live



YANGA BADO SAAANA KWA SIMBA



MABINGWA wa soka wa Tanzania Bara, Simba jana waliendelea kudhihirisha moto wao kwa watani wao wa jadi Yanga, baada ya kutoka nao sare ya bao 1-1 katika mechi ya mzunguko wa kwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Katika mechi hiyo, Simba ilionyesha kandanda safi na kushangiliwa kwa mayowe mengi na mashabiki wao huku chipukizi wake, Christopher Edward na Jonas Mkude wakionyesha kandanda maridadi.
Simba ilikuwa ya kwanza kuhesabu bao dakika ya nne lililofungwa kwa mkwaju mkali na kiungo Amri Kihemba baada ya gonga safi kati ya Mwinyi Kazimoto na Mrisho Ngasa.
Baada ya kufungwa bao hilo na kuzidiwa kwa muda mrefu, kocha Fred Felix Minziro alilazimika kufanya mabadiliko ya wachezaji, ambapo alimtoa Hamisi Kiiza na kumwingiza Frank Domayo.
Mabadiliko hayo yalileta uhai kidogo kwenye safu ya kiungo ya Yanga, ambayo pia ilikuwa ikiundwa na Athumani Chuji na Haruna Niyonzima.Timu hizo zilikwenda mapumziko Simba ikiwa mbele kwa bao 1-0.
Yanga ilijiimarisha zaidi kwa kumwingiza Didier Kavumbagu kuchukua nafasi ya Nizar Khalfan kabla ya kumwingiza Juma Abdul kuchukua nafasi ya
Kwa upande wa Simba, nayo ilimpumzisha Christopher, ambaye nafasi yake ilichukuliwa na Daniel Akuffour kabla ya kumtoa Kazimoto, aliyeumia na kuingia Haruna Moshi.
Yanga ilipata bao la kusawazisha katika kipindi hicho lililofungwa kwa njia ya penalti na Saidi Bahanuzi baada ya beki wa kushoto wa Simba, Paul Ngelema kuunawa mpira ndani ya eneo la hatari.
Baada ya Yanga kupata bao la kusawazisha, pambano hilo lilitawaliwa na ubabe, ambapo Simon Msuva wa Yanga alitolewa nje kwa kadi nyekundu na mwamuzi Mathew Akrama kwa kosa la kumchezea rafu mbaya Juma Nyoso wa Simba.
Mwamuzi huyo aliwashangaza mashabiki wengi baada ya kumwonyesha kadi ya njano badala ya nyekundu Haruna wa Simba kwa kosa la kumvunja mguu Kelvin Yondan wa Yanga.
Matokeo hayo yameiwezesha Simba kuendelea kujikita kileleni mwa ligi hiyo ikiwa na pointi 13 baada ya kucheza mechi tano, wakati Yanga inazo pointi nane baada ya kucheza idadi hiyo ya mechi.Inatoka kwa mdau.