skills za kitaa

Sunday, September 16, 2012

TAMASHA LA SERENGETI FIESTA LAFANA DODOMA


Msanii anayetamba katika miondoko ya R&B hapa bongo, Ben Paul akiwarusha wakazi wa mji wa Dodoma waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha la Serengeti Fiesta lililofanyika jana usiku kwenye uwanja wa Jamhuri.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Linah kutoka THT akitumbuiza jukwaani wakati wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012 mjini Dodoma.

Anaitwa Recho kwa jina la kisanii kutoka nyumba ya vipati THT,akiimba jukwaani kwa madaha kabisa.

Msanii Rich Mavoko akiwapagawisha mashabiki wakati wa tamasha hilo


Msanii wa bongofleva aitwaye Shetta akiwaimbisha washabiki wake.Inatoka kwa mdau.

No comments: