skills za kitaa

Tuesday, November 3, 2015

Mwimbaji na rapa aliyetesa na bendi za Chuchu Sound na Pamo Sound - Mao Santiago (pichani juu), amedhihirisha kuwa bado wamo baada ya kuachia wimbo wake mpya kabisa. Wimbo huo unakwenda kwa jina la “Mwandani” ukiwa umerekodiwa kwenye studio za Chacho Fleva ya producer Babu Bomba. Ndani ya wimbo, bass na kinanda vimepigwa na Babu Bomba wakati solo limekungutwa na Yaniki. Pata uhondo wa wimbo “Mwandani”

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/11/new-audio-mao-santiago-bado-wamo.html#more
Copyright © saluti5
Mwimbaji na rapa aliyetesa na bendi za Chuchu Sound na Pamo Sound - Mao Santiago (pichani juu), amedhihirisha kuwa bado wamo baada ya kuachia wimbo wake mpya kabisa. Wimbo huo unakwenda kwa jina la “Mwandani” ukiwa umerekodiwa kwenye studio za Chacho Fleva ya producer Babu Bomba. Ndani ya wimbo, bass na kinanda vimepigwa na Babu Bomba wakati solo limekungutwa na Yaniki. Pata uhondo wa wimbo “Mwandani”

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/11/new-audio-mao-santiago-bado-wamo.html#more
Copyright © saluti5
Mwimbaji na rapa aliyetesa na bendi za Chuchu Sound na Pamo Sound - Mao Santiago (pichani juu), amedhihirisha kuwa bado wamo baada ya kuachia wimbo wake mpya kabisa. Wimbo huo unakwenda kwa jina la “Mwandani” ukiwa umerekodiwa kwenye studio za Chacho Fleva ya producer Babu Bomba. Ndani ya wimbo, bass na kinanda vimepigwa na Babu Bomba wakati solo limekungutwa na Yaniki. Pata uhondo wa wimbo “Mwandani”

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/11/new-audio-mao-santiago-bado-wamo.html#more
Copyright © saluti5

No comments: