skills za kitaa

Saturday, August 15, 2015

Soma nyota hawa


Msanii Q Chillah pamoja na msanii T.I.D hatimae wamemaliza tofauti zao jana katika kipindi cha XXL ya clouds fm na kusema kwamba wameungana na kusameheana.
chi
Wawili hawa walithibitisha hayo wakati wa album review ya kazi za nje ya wawili hawa.Chillah na TID walisema wamemaliza tofauti zao na hawana ugomvi tena na wameamua kuungana.

No comments: