skills za kitaa

Tuesday, November 3, 2015

Tupia macho hapa chini

Mwimbaji na rapa aliyetesa na bendi za Chuchu Sound na Pamo Sound - Mao Santiago
 (pichani juu), amedhihirisha kuwa bado wamo baada ya kuachia wimbo wake mpya kabisa.
Wimbo huo unakwenda kwa jina la “Mwandani” ukiwa umerekodiwa kwenye studio za Chacho
Fleva ya producer Babu Bomba. Ndani ya wimbo, bass na kinanda vimepigwa na Babu Bomba
wakati solo limekungutwa na Yaniki. Pata uhondo wa wimbo “Mwandani”
Mwimbaji na rapa aliyetesa na bendi za Chuchu Sound na Pamo Sound - Mao Santiago (pichani juu), amedhihirisha kuwa bado wamo baada ya kuachia wimbo wake mpya kabisa. Wimbo huo unakwenda kwa jina la “Mwandani” ukiwa umerekodiwa kwenye studio za Chacho Fleva ya producer Babu Bomba. Ndani ya wimbo, bass na kinanda vimepigwa na Babu Bomba wakati solo limekungutwa na Yaniki. Pata uhondo wa wimbo “Mwandani”

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/11/new-audio-mao-santiago-bado-wamo.html#more
Copyright © saluti5Mwimbaji na rapa aliyetesa na bendi za Chuchu Sound na Pamo Sound - Mao Santiago
 (pichani juu), amedhihirisha kuwa bado wamo baada ya kuachia wimbo wake mpya kabisa.
Wimbo huo unakwenda kwa jina la “Mwandani” ukiwa umerekodiwa kwenye studio za Chacho
Fleva ya producer Babu Bomba. Ndani ya wimbo, bass na kinanda vimepigwa na Babu Bomba
wakati solo limekungutwa na Yaniki. Pata uhondo wa wimbo “Mwandani” kutoka kwake Mao
Santiago ambaye anapatikana kupitia simu namba 0714268624.

No comments: