skills za kitaa

Friday, December 27, 2013

Skylight Band yaporomosha burudani ya kukata na shoka X-MASS ndani ya kiota cha Escape One

DSC_1461
Mdau nambari moja wa Skylight Band Alois Ngonyani akishow love na Sam Mapenzi wakisherekea sikukuu ya X-MASS Escape One jijini Dar.
DSC_1514
Wadau Batani na Skylight Band ndani ya kiota cha Escape One kilichopo Mikocheni jijini Dar.
DSC_1613
Aneth Kushaba AK47 akishow love na shabiki wake.
DSC_1443
DSC_1452
Watu wa ukweli kwenye muziki wa wastaarabu.....!!
DSC_1454
Wenye mbeleko haya wenye vibwaya mulele twende kazi.....!!!
DSC_1478
Mduara ulihusika pia....!!
DSC_1505
Shazi la kumwaga usiipimie Skylight Band....!!! tukutane leo jioni Thai Village Masaki tufurahi pamoja.
DSC_1489
DSC_1586
DSC_1625
Winnie wa Skylight Band akipata Ukodak na wifi yake Mrs. Kisso.Inatoka kwa mdau.

No comments: