skills za kitaa

Sunday, December 15, 2013

Jana Man City ilitupia 6 Arsenal



article-2523310-1A19974C00000578-636_634x376_286d7.jpg
Ni baada ya kuifungia timu yake goli Sergio Aguero akishangilia 

Sergio Aguero akishangilia
article-2523310-1A19A33600000578-428_634x393_d0e8a.jpg
Walcott akishangilia goli lake dhidi ya man city
KLABU ya Manchester City imeonyesha ni hatari kweli, baada ya jioni ya jana kuifumua Arsenal mabao 6-3 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliofanyika Uwanja wa Etihad.
Mabao ya City yamefungwa na Sergio Aguero dakika ya 14, Alvaro Negredo dakika ya 39 Fernandinho mawili dakika za 50 na 88 David Silva dakika ya 66 na Yaya Toure dakika ya 90.
Theo Walcott alirejea uwanjani kwa mara ya kwanza leo tangu Septemba na akafunga mabao mawili ya Arsenal dakika za 31 na 63, wakati lingine lilifungwa na beki Per Mertesacker dakika ya 90

No comments: