skills za kitaa

Thursday, January 16, 2014

WADADA WA TZ WANAOONGOZA KWA KUTOKEZEA KWENYE CAMERA "PHOTOGENIC"


Vibe inakuletea list ya mastaa wakali ambao wanapogusa camera au mtu yoyote kutaka kuwapiga picha basi tegemea picha moja kali sana na hii ndio maana nzima ya mrembo kuwa photogenic.Mastaa waliofanikiwa kuingia katika list ni :-
Jokate Mwengelo
 Linah Sanga
Elizabeth Michael (Lulu)
 Rita Paulsen
 Jackline Wolper
Wema Sepetu


 Irene Uwoya 

No comments: