skills za kitaa

Thursday, January 9, 2014

KUTOKA FACEBOOK KUHUSU MAFANIKIO YAKE YA 2013 NDANI YA TP MAZEMBE MBWANA SAMATA


Mbwana Aly Samatta Nafurahi kwamba ndani ya mwaka 2013 nimekua mfungaji bora ndani ya kikosi cha TP Mazembe kwa kuwa na Magoli 20, Pia mchezaji aliecheza mechi nyingi katika timu io, Pia moja ya wachezaji wanaowaniwa na timu za Ulaya.. asante ‪#‎Tanzania‬ Asante ‪#‎TP‬ Mazembe Asante ‪#‎Africa‬.... TP Mazembe wananiita ‪#‎SAMAGOAL‬ ..... I love football..... Bendera inapepea....
 
 

No comments: