skills za kitaa

Monday, January 13, 2014

Leo ni Holiday



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ally Mohammed Shein kwa makubaliano na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete wametangaza jana kuwa Leo (jumatatu 13jan2014) kuwa siku ya mapumziko ya kitaifa kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

No comments: