skills za kitaa

Monday, July 22, 2013

Ni kweli watu wengi wanasubiri tukio hili limtokee Diamond?


Inaaminika kwamba muimbaji wa muziki wa Bongo flava, Diamond ndiye msanii anayeongoza kwa kulipwa mkwanja mrefu zaidi hapa East Africa. Umaarufu wake unazidi kukua pengine ndio sababu alipost picha hii (chini)
 
Kama unavyoona picha hiyo, inaonesha anaanguka (obvious kimuziki) ambapo aliipost kupitia akaunti zake za Instagram, facebook na Twitter ikiwa imesindikizwa na maneno haya: - See more at: http://www.keezywear.com/2013/07/picha-je-ni-kweli-watu-wengi-wanasubiri.html#more
Diamond Platnumz @diamondplatnumz
I know! das what you are waitin for.... so jus keep on Wait! Cc ..Designed by WASAFI CLASSIC() http://fb.me/1F0MXdso5 

No comments: