skills za kitaa

Tuesday, July 23, 2013

Hafla ya kumkaribisha balozi Mula mula Washington DC


Tanzania
Balozi mpya wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa nchi za Marekani na Mexico Mhe. Liberata Mula mula  akiwa na rais Barack Obama mara baada ya kuwasilisha hati za utanmbulisho Siku ya Alhamis Julai 18, hapo White house.
Mama Balozi Liberata Mula mula akipokelewa na mama Munanka baada ya kukutana na rais Obama na kujitambulisha huko White house alhamisi .
Mchungaji Ferdinand Shideko wa Kanisa la The Way Of The Cross Gospel Ministries Maryland nchini Marekani. akifungua kwa sala kwaajili ya ufunguzi rasmi.
Balozi mpya wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Nchi za Marekani na Mexico Liberata Mula mula akitoa shukurani za dhati kwa mabalozi wenzake waliofika kumpongeza pamoja na Bw.EL na waTanzania wote waliokuwapo kwa kuhudhuria hafla hiyo iliofanyika Siku ya Alhamis Junali, 18 ndani ya ubalozi wa Tanzania Washington DC nchini Marekani.
Alieleza pia kushangazwa kwake na mapokezi yasiyo na makuu yalio ya kifamilia zaidi aliyopewa huko White house na Rais Barack Obama na familia yake alipowasilisha hati zake za utambulisho siku ya alhamisi Julai 18.

Mama Balozi Mula mula akisalimiana na mwenyekiti wa kamati ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa wa bunge la Tanzania na mbunge wa Monduli Edward Lowassa.


Baadhi ya mabalozi wakipata picha ya pamoja na Mhe Balozi Mula mula, kwenye hafla hiyo iliofanyika Siku ya Alhamis Junali, 18 ndani ya ubalozi wa Tanzania Washington DC nchini Marekani.

No comments: