skills za kitaa

Monday, October 8, 2012

Wadau wa Bendi ya FM Academia

Hapa ni New Msasani Club Jijini Dar es Salaam wakwanza kutoka kushoto ni Said Mdoe
mmiliki wa Kampuni ya Screen Master na wapili ni Kiongozi wa bendi ya muziki wa dansi toka bendi ya
FM Academia Nyosh El Saadat  wakiwa na miliki wa blog hii , kiwanja cha msasani Club huwa ni ngome ya bendi hiyo na hapa ilikuwa ni Jjumapili flani hivi.

No comments: