skills za kitaa

Thursday, October 4, 2012

Macmedia Kuwapa Shavu Wasanii Chipukizi


Emmanuel Shayo ambaye ni Mkurugenzi  toka kampuni Maarufu ya Macmedia ya Jijini Dar es Salaam 
amesema ameanza utaratibu wa kuchukua wasanii chipikizi kwenye muziki , filamu pamoja na urembo.

Ambapo hadi sasa tayari amepata wasanii ambao tayari wameingia studio kurekodi ngoma mpya zitakazoanza kusikika sikuza usoni , licha ya hao bado anakaribisha vipaji chipukizi na kutoa mkataba kati yake na vipaji hivyo.
 Rosemary Silungwe ambaye ni mwanafunzi wa kidatocha sita Mbezi Beach  High School ya Jijini
Dar es Salaam.
Silungweta   yari ameonesha mafanikio ya mwanzo ambayo si haba kwa mwanzo wake wa  kufikia majukwaa ya kimataifa.

Kwa sasa yeye ni miongoni mwa wenye vipaji  vya urembo  nchini heshima yake iliibuka baada ya
kushiriki kwenyetamasha lililoandaliwa na kipindi cha Flend of Flends kilipoandaa tamasha hilo Shuleni  Mbezi Beach kinachorushwa hewani kupitia Luninga ya
 East Africa Tv  na sasa ataanza kufaidi kipaji chake hicho akiwa chiniya Macmedia Production.





No comments: