
Dr. Dre ambaye ameuza haki za bidha ya Beats headphones kwa Apple
anafanya bidii zote kuzuia bidha feki za China kuharibu bidha zake za
Beats By Dre. Tmz imeripoti kuwa kesi ya Dr Dre kwa mtandao huo ambao
haujatajwa ni kuzuia na kudai fidia walizo ingiza kupitia kuuza bidha
zenye logo ya Beats By Dre ambazo hazina kiwango cha bidha halisi na
hivyo kupotosha wateja na kuharibu jina la bidha yake.
Dr Dre akishinda kesi hii ya madai basi fidia atakayolipwa itamfanya awe billionaire.
No comments:
Post a Comment