skills za kitaa

Tuesday, June 4, 2013

Mwli wa Albert Mangweha 'Ngwair' watua Dar Leo Mchana

MWILI wa nguli wa muziki wa hip hop nchini Albert Mangweha 'Ngwair' uliwasili jana kwenye uwanja 
 wa 

ndege wa Mwalimu Julius .K. Nyerere ukitokea Afrika ya Kusini alipopatwa na mauti.






Maelfu ya watu na wadau wa muziki nchini walionyesha simanzi kubwa na wengi wao kububujikwa na machozi baada tu ya kuwasili kwa mwili huo kiwanjani hapo.
Na mara baada ya kutua kwa mwili huo safari ya kuelekea katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dr es Salaam ilianza.
Wadau washangaa !
Kuona hakuna bongo movie hata mmoja aliyekuwa mstari wa mbele kama kawaida  kwenye misiba mingine
 katika uwanja huo hakuonekana ata msanii mmoja wakati marehemu alikuwa ni mtu wa watu na ukizingatia yeye ni msanii mwenzao .





 Wadau


ni T.I.D


Wadau wa habari wakiwajibika

Moja ya heka heka barabarani mwili ukiwa unaelekea Hospitali ya Taifa .

No comments: