Holyfield amejitosa sakata la mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uruguay Alberto Suarez anayekabiliwa na shitaka la kumng'ata beki wa timu ya taifa ya Itali Giorigio mbele ya Kamati ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).










Huko
Nigeria watu wanaowekeza kwenye muziki wameanza kuyaona matunda yao
hivi sasa ambapo kaka yake Davido ambaye pia ni mmiliki wa label HKN
record akiwa na Davido ameweka wazi kuwa Davido huingiza $50,000 (zaidi
ya Milioni 84) kwa show moja anayofanya.








Kundi
la G-unit baada ya kuungana katika tamasha la Summer Jam na kisha
kuachia nyimbo mbili ,kiongozi wa kundi hilo 50 cent amejibu swali ambao
mashabiki wengi wa HipHop walikuwa wanajiuliza kama kuna uwezekano
wakafanya albam ya pamoja.







![]() |


