skills za kitaa

Wednesday, March 12, 2014

HUYU NDIYE KOCHA MPYA CHAGUO LA TFF.




 
Tangu TFF kusema inatafuta kocha mpya atakayerithi mikoba ya Mdenmark, Kim Poulsen, mtandao huu umekuwa ikifuatilia kwa undani mwalimu mpya wa Stars atakuwa nani na sasa inaibuka na jibu ni Mart Nooij.
Tayari Nooij ambaye kwa sasa ni kocha wa St George ya Ethiopia amekwishasaini Mkataba wa miaka miwili na TFF na atakuja nchini mwishoni mwa mwezi huu.

Nooij amekua mwalimu wa maendelo katika taasisi ya Mpira ya Royal Dutch. Huku akiwa amefanya kazi EVC mwaka 1913 nchini Marekani na Kazakhstan. Pia alishawai kuwa kocha wa timu ya mpira ya Burkina Faso chini ya miaka 20 wakati timu hio ilipokua inashiriki Mashindano ya Vijana mwaka 2003. Huku mwaka 2004 alichaguliwa kuwa kocha msaidizi wa muda wa FC Volendam.

No comments: