Looks like Rick Ross has a new flavor of the week. Whether she’s his “girlfriend” or just something fun for the moment remains to be seen, but one thing’s for sure – something is definitely up between Rozay and Miami “model” Paige Imani. (I use the term model quite loosely here, as she hasn’t really done much other than posed with her BFF Kaylin Garcia in a few random photo shoots. She’s cute though!) Taking to Instagram over the holiday weekend, Paige shared a few shots touching tongues with the Miami rapper, followed by a post the next day showing off the MMG chain he’d gifted her with (above.) “A little present,” Paige wrote with the photo, as Ross held up the necklace for the shot. “Now he says I’m official.” Hmm! Check out the pics and their corresponding captions in the gallery and let us know your thoughts!
Nigeria imepigwa marufuku ya kushiriki mashindano yeyote ya kandanda yanayoandaliwa na shirikisho la soka duniani FIFA.
Hatua hii imeafikiwa baada ya maafisa wa serikali kuwaondoa wasimamizi wa shirikisho la soka nchini Nigeria NFF afisini.
Marufuku hii inamaanisha hakuna klabu yeyoye ya soka nchini Nigeria inaweza kushiriki mashindano yeyote ya Kimataifa.
FIFA ilikuwa imeionya Nigeria kuwa ingeichukulia
hatua ifikiapo Jumanne kama Shirikisho la NFF halijarejeshewa madaraka
yao lakini Serikali ikapuuza makataa hayo.
Mwishoni mwa juma Serikali ya Nigeria ilikuwa
imemteua afisa mshikilizi kuongoza shirikisho hilo hadi uchaguzi wa huru
na wa haki utakapofanyika kulingana na taarifa ya wizara ya michezo.
FIFA katika taarifa imeonya kuwa marufuku hiyo itaondolewa tu iwapo maafisa waliochaguliwa watarejeshwa mamlakani.
Marufuku hiyo itaathiri timu ya taifa ya Super
Eaglets ya wasichana wasiozidi umri wa miaka 20 ambayo inapaswa
kushiriki mchuano wa kombe la dunia iwapo marufuku hiyo haitaondolewa
ifikapo juma lijalo.(Julai15)
Msemaji wa serikali hata hivyo alisema kuwa
hatua iliyochukuliwa dhidi ya NFF ilifuata kanuni kwani hata kiongozi wa
shirikisho la soka la Nigeria Aminu Maigari alikamatwa na polisi punde
baada ya kurejea nyumbani kutoka Brazil.
Mahakama ya Nigeria ilikuwa imeamua kuwa Maigiri
hakuwa anastahili kuendelea kuiongoza NFF haswa baada ya matokeo duni
huko Brazil.
Wajumbe wa NFF waliafiki kauli ya mahakama ya
kumn'goa mwenyekiti huo madarakani lakini lakini kwa sasa erikali ya
Nigeria inasubiri mawasiliano kutoka FIFA baada ya kutuma ithibati ya
mkutano maalum uliofanyika na wajumbe wa shirikisho la soka la NFF .
Mabingwa hao wa Afrika walishindwa katika mkondo wa pili wa kombe la dunia na Ufaransa .
Hiyo ilikuwa ni mara ya tatu kwa timu hiyo kufuzu kwa mkondo wa pili baada ya kufuzu mwaka wa 1994 na 1998.