skills za kitaa

Thursday, July 10, 2014

Oh My! Is This “Model” Rick Ross’ New Girlfriend?! Sure Looks Like It!


Paige Imani x Rick Ross
Looks like Rick Ross has a new flavor of the week. Whether she’s his “girlfriend” or just something fun for the moment remains to be seen, but one thing’s for sure – something is definitely up between Rozay and Miami “model” Paige Imani. (I use the term model quite loosely here, as she hasn’t really done much other than posed with her BFF Kaylin Garcia in a few random photo shoots. She’s cute though!) Taking to Instagram over the holiday weekend, Paige shared a few shots touching tongues with the Miami rapper, followed by a post the next day showing off the MMG chain he’d gifted her with (above.) “A little present,” Paige wrote with the photo, as Ross held up the necklace for the shot. “Now he says I’m official.” Hmm! Check out the pics and their corresponding captions in the gallery and let us know your thoughts!Paige ImaniPaige Imani

Tran’s Manager Says She & Chris Brown Are Still Together.


IFWT_Chris_Karrueche_Together
Lady hopefuls, sorry to be the barrier of bad news, but Karrueche Tran and Chris Brown did not break up. Yesterday, the world went slightly off balance after Chris and Karrueche deleted photos of each from social media sites and posted words of what could have been taken to mean – heartbreak. According to Tran’s manager Jacob York, those assumptions were just that.
Chris_Karrueche_Together_ifwt 2

FIFA imeipiga marufuku Nigeria




Nigeria imepigwa marufuku ya kushiriki mashindano yeyote ya kandanda yanayoandaliwa na shirikisho la soka duniani FIFA.
Hatua hii imeafikiwa baada ya maafisa wa serikali kuwaondoa wasimamizi wa shirikisho la soka nchini Nigeria NFF afisini.
Marufuku hii inamaanisha hakuna klabu yeyoye ya soka nchini Nigeria inaweza kushiriki mashindano yeyote ya Kimataifa.
FIFA ilikuwa imeionya Nigeria kuwa ingeichukulia hatua ifikiapo Jumanne kama Shirikisho la NFF halijarejeshewa madaraka yao lakini Serikali ikapuuza makataa hayo.
Mwishoni mwa juma Serikali ya Nigeria ilikuwa imemteua afisa mshikilizi kuongoza shirikisho hilo hadi uchaguzi wa huru na wa haki utakapofanyika kulingana na taarifa ya wizara ya michezo.
FIFA katika taarifa imeonya kuwa marufuku hiyo itaondolewa tu iwapo maafisa waliochaguliwa watarejeshwa mamlakani.
Marufuku hiyo itaathiri timu ya taifa ya Super Eaglets ya wasichana wasiozidi umri wa miaka 20 ambayo inapaswa kushiriki mchuano wa kombe la dunia iwapo marufuku hiyo haitaondolewa ifikapo juma lijalo.(Julai15)

Msemaji wa serikali hata hivyo alisema kuwa hatua iliyochukuliwa dhidi ya NFF ilifuata kanuni kwani hata kiongozi wa shirikisho la soka la Nigeria Aminu Maigari alikamatwa na polisi punde baada ya kurejea nyumbani kutoka Brazil.

Mahakama ya Nigeria ilikuwa imeamua kuwa Maigiri hakuwa anastahili kuendelea kuiongoza NFF haswa baada ya matokeo duni huko Brazil.

Wajumbe wa NFF waliafiki kauli ya mahakama ya kumn'goa mwenyekiti huo madarakani lakini lakini kwa sasa erikali ya Nigeria inasubiri mawasiliano kutoka FIFA baada ya kutuma ithibati ya mkutano maalum uliofanyika na wajumbe wa shirikisho la soka la NFF .

Mabingwa hao wa Afrika walishindwa katika mkondo wa pili wa kombe la dunia na Ufaransa .
Hiyo ilikuwa ni mara ya tatu kwa timu hiyo kufuzu kwa mkondo wa pili baada ya kufuzu mwaka wa 1994 na 1998.

Sunday, July 6, 2014

BAADA YA KUWA MAJERUI NEYMAR AWATAKIA KILA LA HERI WENZAKE AKISAFIRISHWA KWENDA MAPUMZIKONI



Neymar amesafirishwa kwa helikopta kupelekwa Sao Paulo kuanza mapumziko
NYOTA wa Brazil, Neymar anaamini timu yake itashinda Kombe la Dunia bila ya kuwa na yeye.
Mchezaji huyo wa Barcelona aliaga mashineano hayo juzi usiku baada ya kuchezewa rafu na mchezaji wa Colombia, Juan Zuniga.
Mchezaji huyo ameelezea maumivu yake baada ya pigo hilo linalomuondoa Kombe la Dunia mapema akiiacha timu yake imetinga Nusu Fainali na zaidi amewatakia heri wachezaji wenzake wabakize kombe hilo nyumbani.
Neymar amesafirishwa kwa helikopta baada ya tiba ya awali na kupelekwa Sao Paulo kuanza mapumziko. Tayari FIFA imesema inalifanyia uchunguzi tukio hilo kabla ya kumchukulia hatua Zuniga.
Safe journey: Neymar with the president of the Brazilian Football Condederation Jose Maria Marin
Neymar akipewa pole na Rais wa Shirikisho la Soka Brazil, Jose Maria Marin.

Saturday, July 5, 2014

Neymar kukosa kombe la dunia



Nyota wa Brazil Neymar hatoshiriki tena kombe la dunia kutokana na jeraha la mgongo

REGINA MWALEKWA KUTUA KITUO KIPYA CHA KAZI BBC

Wakiwa wenye Nyuso za Furaha.Watangazaji mahiri wa Radio na Televisheni,Bi.Regina Mwalekwa aliyekuwa mtangazaji wa Radio One na baadae akahamia Clouds FM/TV na sasa amejiunga na Shirika la Utangazaji la BBC akiwa na mtangazaji mwenzake kutoka kituo cha televisheni cha ITV/Radio One Bi.Fatma Almas Nyangasa,kama walivyonaswa na Camera ya mtandao mmoja wa k jamii ndani ya viwanja vya maonyesho ya Saba saba yanayoendelea hivi sasa jijini Dar.Bi Regina Mwalekwa kwa sasa sauti yake itakuwa ikisikika rasmi ndani ya BBC.Tayari baadhi ya Jamiii imemtakia  kheri katika kituo chake kipya cha kazi.

Tuesday, July 1, 2014

Mambo ya Beat 2014 Red Carpet


 
Diamond Platnumz akihojiwa na Karrueche Tran ambaye ni mpenzi wa Chris Brown kwenye Red Carpet ndani ya Ukumbi wa Nokia, Los Angeles, California.



Diamond katika pozi na Nelly.

  Ashanti.

  Floyd Mayweather akiwa na mpenzi wake.

  Amber Rose.

  T.I.




  Gabrielle Union.

  Ne-Yo akipozi kwenye Red Carpet.


Nelly.

  Stephen Bishop.

  Tiwa Savage.

  Tatyana Ali.

  Snootie Wild.

  Tameka "Tiny" Harris.

  John Legend.

  Paris Hilton.

  DJ Khalil.

  Charli Baltimore.

  Donnivin Jordan.

  Angela Simmons.

 
Sage The Gemini.

 
Adrienne Bailon.
 Ashanti
Ashanti.
 Keke Palmer
Keke Palmer. 

 Pharrell Williams