skills za kitaa

Saturday, August 8, 2015

Dooo cheki hii

Dressed in their traditional green and yellow bikinis and high heels, the models were spotted stomping the curb in Brazil’s financial centre.

Friday, August 7, 2015

Ben Paul - Maneno Maneno { Official HD Video }


Rich Mavoko - Marry me (Official Video)


Pamoja Films Production kuingiza Ujio wa Filamu nne sokoni

 Pamoja Films ProduPamoja  Films Production ambayo ni kampuni ya Lufingo , tayari mwezi huu inaingiza ujio wa filam nne ambapo moja ya majina ya filamu hizo ni ujio uitwao'Tanga Raha',iliyochezwa na King Majuto na yeye
mwenyewe huku wasanii wengine pia wakihusika.
Msanii huyu pia amezitaja filamu zingine kuwa ni 'Wazawa' ambapo katika ujio huo
mhusika mkuu ni Happy Nyirenda inayozungumzia maisha ya vijana huku ujio mwingine uiki iitwa 'Kanya Boya' ambapo washiriki humo ni  Mzee Majanga,Kid Rasta Tinn White na inaelezea viajna ambao awana kazi na kujihusisha na mambo ya mapenzi.

Lufingo ameitaja fialmu nyingine kuwa ni 'Kijiwe' ambapo nyota walionesha ubunifu mkubwa
ni pamoja na Kid Rasta pamoja na Mzee Majanga.

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPHAn1kU7YGCdk7pwcBy3ng4OdRi3fdRhZ6n-ae5oGv8Hp497OKlUoUWmhy29pr9XBPMO2HkoLiF8tgFn4kHD_2VKnHHjuSnNz7II6pA2Ne9kdz3fX11HgLsxq8krS0cW5HeEfO7RxDr0a/s640/tangad-2.jpg

Shetani anatumia njia ofauti kuteka roho ya msanii huyu



sark-x-banky_011
Rapa Sarkodie amefunguka kuhusu jambo zima la imani na maisha yake kupitia mitandao yake ya kijamii.
Sarkodie aliandika  ” Sisomi bible ila najua mwisho wa dunia patakuwa na wengi wenye dhambi nyingi, shetani anajaribu kupotosha watoto wa Mungu, ila kama tutaweza mpinga shetani na kumtegemea Mungu kwa kila jambo basi atatuokoa
Sarkodie anaendelea kuandika ” Hatuongea na watu wa ukweli, hatujui tutakufa lini, shetani anatumia njia ofauti kuteka roho yangu ” .
I don’t normally read the Bible but I know that at the end time the world will be full of sin. The devil is trying to mislead the children of God. ‘But if we could also desist from evil and depend on God for everything, then He’ll save us. We do not wrestle against the flesh my lovely people, it’s very dangerous. We don’t know when we will die, if tomorrow or tonight. Satan is using different ways to take my souls from me (GOD)!!! Instagram Facebook Twitter music….everything!!!!”. ”

Davido alivyokutana na rapa staa wa Marekani Future.



Staa wa muziki kutoka Nigeria anazidi kujichanganya na mastaa wa Marekani baada ya weekend hii kukutana na Future. Future ni msanii wa rnb na rapa ambaye hivi karibuni alionglewa sana baada ya kupata mtoto wa Ciara na kutengana naye.
Davido alikutana na Meek Mill na baadae walifanya kazi, so tunategemea collabo na Future ?
Davido-and-Future-1 Davido-and-Future-2

Kama unatafuta nyumba ya kupanga.? 50 Cent yupo tayari kutatua tatizo lako


Nyumba anayoimiliki msaani, 50 Cent, aliyotangaza nia yake yakutaka kuipangisha
Nyumba anayoimiliki msaani, 50 Cent, aliyotangaza nia yake yakutaka kuipangisha
Msanii wa hip hop Marekani 50 Cent amekuwa akiingia kwenye headlines mbalimbali mara baada ya kutangaza kuwa amefilisika na safari hii headlines zinazomhusu 50 Cent ni za yeye kutafuta mpangaji wa nyumba yake iliyopo Connecticut Marekani.

Taarifa hizi zilianza kusambaa kwa fujo siku ya jumatano baada ya kukamilisha mkutano wake na Wanasheria.
Mwanasheria wa 50 Cent, Stephen Savva alisema japo hakuna mkataba wa upangishaji uliofikiwa kupangisha nyumba yake ya Farmington Mansion ambayo 50 aliinunua mwaka 2003
wamekuwa wakifanya mipango ya kupangisha nusu ya nyumba hio yenye vyumba 21, majiko 9 na casino lakini mpaka sasa rapper huyo hajabahatika kupata mpangaji.
Picha za ndani ya 'mjengo' 50 Cent anaotaka kuupangisha
Picha za ndani ya ‘mjengo’ 50 Cent anaotaka kuupangisha
Bado hatujasikia kiasi cha pesa ambacho msanii huyo atatoza kama kodi ya nyumba, ila documents zilizowasilishwa Mahakamani zinasema kuwa 50 Cent amekuwa akilipa dola 72,000 (Tzs.Milioni 144) kwa mwezi tu kama hela ya matunzo ya nyumba hiyo ambayo ni tofauti na kodi yake ya nyumba!
Duh! Unadhani hapa 50 Cent atapata mpangaji kweli kama matunzo yenyewe ndio hayo?