skills za kitaa

Thursday, August 8, 2013

Cheki Jimmy Master na heka heka za ujio mpya wa Doble J Final






YULE muongozaji na mwigizaji Jimmy Mponda 'Jimmy Master' aliyetikisa
 na mfululizo wa filamu za misuko iliyotoka sehemu ya kwanza hadi ya
tatu na baadaye kujiongezea jina lingine akiitwa J Plus.

Kwa sasa nyota huyo amefunguka  kuwa yukombioni kutoa muvi ya mwisho
inayoitwa Doble J Final  huku ujio huo ukiwa ni wa mwisho kutoka baada
ya kutangulia  na Doble J sehemu ya kwanza na yapili zilizotoka mwaka jana.


"Mwaka jana nilifanikiwa kukonga nyoyo za mashabiki wa filamu hususani
 wanaopagawa na filamu za mapigano na kujawa mambo ya  kipelelezi,"alisema J Plus.

Alisema Doble J Final pia ni ujio wake wa filamu nyingine ya mapigano na
 kuna heka heka za kipelelezi ndani. J Plus aliyezoeleka sasa katika kuonesha
ubabe wa kufa mtu , kwa sasa ujio wake huo unao tazamiwa kuingia sokoni mapema tu ,
 mwezi ujao .

Pia Jimmy Master amemshirikisha mbabe mwingine katika filamu za mapigano Ibrahim Mbwana  'Bad Boy'
na pia wamo nyota wengine katika dulu la filamu kama Charles Magari , Hashim Kambi .

Wednesday, August 7, 2013

Soma Hapo chini yanayojiri Big Brother ‘The Chase’

 


Hatimaye mshiriki wa Ghana katika reality show ya Big Brother ‘The Chase’ Selorm Galley maarufu kama Selly aliyetoka wiki moja iliyopita, amemuomba msamaha boy friend wake (wa Ghana) kwa yale aliyoyafanya mbele ya Camera za nyumba ya Big Brother.


Kupitia kipindi cha live ‘Celebrity Show’ cha ETV ya Ghana Selly ambaye pia ni muigizaji alianza kwa kumshukuru mpenzi wake Praye Tietia, na kutokana na kwamba kuna uwezekano yaliyomkwaza mpenzi wake ni mengi, Selly alimuomba msamaha kwa yale yote yaliyojiri mjengoni (ikiwemo kufanya mapenzi na Nando) alipokuwa anaiwakilisha nchi yake kuzifukuzia $300,000.


Selly mwenye miak 25 alisema “I am very thankful for the opportunity given me. I want to thank my boyfriend, Praye Tietia and also use this opportunity to say I am very sorry (for all that happened)”, na akasisitiza “I am very sorry”.


Selly amekuwa akiandamwa na maneno mengi toka camera za Big Brother zimnase akifanya mapenzi na aliyekuwa mwandani wake katika The chase Nando, kitendo kilichowaudhi zaidi mashabiki wa nchini kwake Ghana ambao wamekuwa wakimuandama kupitia mitandao ya kijamii.
i








ShareThis Copy and Paste
;

Monday, August 5, 2013

White Privilege Introduced Me To ‘The Butler’


THE BUTLER
Something happened as I sat down to watch The Butler last night. I arrived early to the private screening. The majority of the 200 attendees were white, older, some recognizable from television. I chatted with the woman next to me – her vibe, warm and friendly. She liked my J’s (I was wearing my favorite 1’s). I liked her scarf, colorful against her pale skin. We both remarked how there weren’t enough seats for everyone.
I’d been invited as media, asked to write about the film. She had received her invitation from the Academy of Arts & Sciences, of which she is a member. She’d brought her pre-teen daughter for some Saturday night bonding. We both settled into our respective agendas as the lights dimmed.
Within the first three minutes we were shown an unrecognizable Mariah Carey and David Banner in heart-breaking circumstance and two young Black men embracing at the end of a pair of nooses. I pulled my phone (with the screen dimmed) from the pocket of my hoodie at the exact moment Larry King reached for his. We both appeared to make note of the same quote when I heard two sharp finger snaps.
“HEY GIRL, YOU PUT THAT AWAY!”
I turned to the older white woman in the row behind me, leaning over two strangers to get closer to me as she yelled, “You put that away RIGHT NOW!” She snapped her fingers again and mumbled something under her breath about ‘these people.’
“I’m working,” was all I said and turned back to the screen just in time to see David Banner – kneeling between rows of cotton – warn his young son that the world they live in belonged to whites and their mere survival hinged on his ability to not make waves.
The Butler is an unapologetic look at the Black experience, through the eyes of a man whose survivalist subjection allowed him to be a fly on the governing walls of four US Presidents.
While I went into the theater expecting a film on race, I left having seen a film about Blackness. Something I’ve been thinking about a lot lately.
The Butler is filled with cultural inside jokes that the 25 or so African-American attendees (mostly press), got instantly. The characters, rounder than we’re used to seeing, darker skinned, many far from the silver screen standard of beauty could’ve easily been our grand parents, aunts and uncles. Terrence Howard was everyone’s shiftless neighbor and despite missing his front tooth, charmed Oprah into an affair. Even Lenny Kravitz – who in real life manages to look sexy walking down the street in last Tuesday’s clothes and a man purse – was down played to just another handsome Black man who married a big sassy Black woman in an obvious wig.
But as I sat there, a row in front of an offensive White woman, drunk from her own entitlement, watching painful truths about the history of my people in this country, I couldn’t help but wonder: What does ‘Black’ mean now? 2013 – long after we’ve twice elected a black president but failed to convict the killer of a black teenager – what is the ethos of this culture of mine?
I grew up Black – not just as a race but a verb. Weddings in church basements, in households where Martin Luther and Luther Vandross were equally revered. We attended home goings that lasted from day into night. My aunt, the crackhead, would do anything for you – just don’t leave your purse around her. Summers meant family reunions in matching shirts that always alternated between yellow, purple and red. And our grand parents raised me, along with a number of my cousins. And every time we’d hear of a particularly heinous (or stupid) crime we’d collectively wish aloud, “I hope he’s not Black.”
What does that matter now? Questlove can write a deeply vulnerable essay about his struggles through life as the big Black boogieman and a feminist will reply evoking the unspoken 28th amendment, ‘don’t scare the long-suffering white women’.  Harry Belefonte – historically one of our greatest cause leaders can publicly cannibalize two of our brightest stars, prompting one to respond with a near repulsive arrogance. And then there’s Don Lemon who was foolish enough to ride in on Bill O’Reilly’s bigoted coattails to deliver his remedy for Black salvation. But while his timing was regrettable and his O’Reilly association is reckless, were his five elementary rules completely wrong? Somewhere, a skinny Al Sharpton is still marching.
Meanwhile George Zimmerman is riding through America in a Honda with a gun, helping victims trapped in cars and racking up speeding tickets.
It’s a confusing time for Black messaging.
At one point during the film I pretended not to listen as the friendly White woman next to me quietly explained to her teenage old daughter who Jesse Jackson was. From the corner of my eye I could see her squirm at the on screen dramatized acts of hatred and ignorance then go silent, as the each scene was bookended with actual footage – as if to say “we’re not making this stuff up.”
Does being Black matter to anyone but me?  Is white privilege the now oppression? Should we act better to be treated better or should we act out until we’re equal? Black chicken meet White egg.
Oprah is a light in such a dark and heavy film. Beginning with Miss Sofia, into The Women of Brewster Placeon through Beloved, Winfrey seems to gravitate towards burdened characters and Gloria Gaines – an alcoholic housewife is no different. But it’s her free moments – her comedic asides, her lackluster dancing, her drunken rambling – that remind you that despite all of her reverence Oprah really is a Black woman from Mississippi.
Winfrey recently said she has absolutely zero tolerance for the word ‘nigger.’ Not surprisingly, the film touches on this as well. After describing himself as a ‘house nigger’ a young Cecil Gaines is told not to use the word invented by Whites to demean Blacks.  This comes when I find myself wrestling with my use of the word ‘nigga.’ It’s been so ingrained within me to be powerless, until it’s heard coming from the lips of someone who does not see me as their equal. My justification has been, ‘we’ve earned it.’ We survived a systematic conspiracy against us. Why shouldn’t we have the right to limp away with the word, free to repurpose it as we see fit?
That reasoning is making less sense to me as I get older and see young kids of all races take liberties with it. It’s the equivalent of being freed from prison only to keep the orange jumpsuit to accessorize and wear later, out to the club.
The Butler raises interesting points about the constant tight rope we still walk daily as Blacks in America. We are still persecuted. We are still statistically unequal. We were freed from cages, only to be leashed. And now, as we suffer from systemic division, we routinely noose ourselves. This film – and my viewing experience reminded me there is still nothing black and white about being Black.
As the film ended, I saw the obnoxious woman in the hallway. I politely introduced myself. She stared at my hand before enduringly shaking it and reluctantly telling me her name. She’s a longtime member of the press. Midst my explanation that I was merely taking notes, she cut me off.
“I don’t know who raised you but you don’t turn on your phone in a theater. It’s rude and of low-class.”
I reminded her that it was rude to snap your fingers and yell at another adult. She gave me a once over making no attempts to hide the judgment at my sneakers, oversized hoodie and backwards baseball cap. I made no attempt to apologize for it. Her contempt became annoyance as a couple of people stopped to ask for my picture.
“If you were offended by my actions girl, then I’m sorry, I don’t know what to tell you.”
I was her second use of ‘girl’ that stamped the incident with the all-too-familiar seal of white privilege. Nevermind that yelling at me was far more disruptive than my dim screen. Or that several people were taking notes. Ironically, she’d taken one look at me and determined that whatever she had accomplished in her life warranted her to treat me as if I were The Butler.
I didn’t go off on this woman because she expected me to. A shouting match would’ve undoubtedly ended in us me being asked to leave. The irony of the situation was lost on her.
The Butler began by quoting MLK, “You cannot drive out darkness with darkness. Only light can do that.”
I sighed and softly laid my hand on her shoulder. She flinched. I looked her in eyes and said, “Yes, you aresorry. You are very, very sorry.”
Appalled, she asked me to repeat myself. I did so happily and as she began with, “Now I don’t know who you think you…” I turned away and went to say hello to someone I knew and respected.
Jasfly is a blogger based in NYC. She also appeared on VH1′s The Gossip Game. This article was originally posted on jasfly.tumblr.com.Source www.allhiphop.com.

Saturday, August 3, 2013

Ommy Dimpoz ft J Martins katika singo 'Tupogo'


Baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu sasa, mshindi wa tuzo tatu za KTMA 2013, Ommy Dimpoz ameachia rasmi single yake mpya ambayo amemshirikisha J Martins kutoka Nigeria. Wimbo huo ambao una maadhi ya kiafrika na bongoflava unaitwa Tupogo, umetengenezwa na Producer Marco Chali.
Artwork ya wimbo wa Tupogo

Hii itakua ngoma ya nne kwa Ommy Dimpoz ukiacha zile ngoma zake zingine ambazo zilifanya vizuri, hapa nazizungumzia Nai nai, Baadae pamoja na ile ya Me & You. Tupogo nautabiria utakuwa wimbo utakaoshika chati za juu kutokana na uzuri wake.

Madee anayoyakusimulia msome hapa!



MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Madee wa kundi la Tip Top Connections amenusurika kukamatwa nchini Afrika Kusini kwa tuhuma za kuingiza dawa za kulevya nchini humo.

Madee alipatwa na mkasa huo mwanzoni mwa wiki hii baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa mjini Johannesburg.

Akihojiwa na mtandao wa mmoja wa kijamii inchini hapa, Madee alisema polisi wa Afrika Kusini walimpekua kwa saa kadhaa uwanjani hapo wakiwa na wasiwasi huenda alibeba dawa hizo.

Madee alifungukakuwa  alikutwa na mkasa huo, kufuatia uzito wa tukio lililowakuta wasanii wawili wa Tanzania, Agnes Jerard 'Masogange' na Melisa Edward walionaswa nchini humo mwezi huu wakituhumiwa kuingiza dawa za kulevya zenye thamani ya sh. bilioni 6.8.

"Kwa kawaida, huwa kuna utaratibu wa kukaguliwa hati ya kusafiria na ukaguzi mwingine, ambao hufanywa kwa kutumia mitambo maalumu kwa kila abiria anayeingia Afrika Kusini, lakini mimi nilikaguliwa kwa karibu dakika 60,"alisema.

Alisema askari waliokuwepo uwanjani hapo waliamua kutumia muda mrefu kumpekua baada ya kueleza kwamba anatoka Tanzania.

"Kuna wazungu wawili wenye sare tofauti za polisi walianza kunisachi mpaka kufikia hatua ya kuniambia nivue fulana na kubakiwa na nguo nyepesi ya ndani. Wakati huo, abiria wote niliosafiri nao walisharuhusiwa,"alisema.

Alisema yeye na abiria mwingine raia wa Zimbabwe ndio waliokaguliwa kwa muda mrefu. Hata hivyo, alisema raia huyo wa Zimbabwe aliruhusiwa baada ya kukaguliwa kwa dakika 10 na hakuambiwa avue nguo.

Kwa mujibu wa Madee, sehemu aliyoambiwa avue nguo haikuwa kwenye chumba maalumu, bali kwenye foleni waliposimama abiria wenzake na kwamba alizibwa kwa kioo chenye urefu wa usawa wa tumbo kushuka chini.

"Muda wote walipokuwa wakinikagua, jamaa walikuwa wakinong'onezana mara kwa mara. Sielewi walikuwa wakielezana kitu gani,"alisema Madee.

Msanii huyo alisema askari hao walilazimika kumwomba radhi baada ya kumaliza ukaguzi wao na kumweka uwanjani hapo kwa saa moja, ikiwa ni pamoja na kulivuruga begi lake la nguo.

MSOME PAULINE ZONGO



BAADA ya ukimya wa muda mrefu, mwimbaji nyota wa muziki wa kizazi kipya na  dansi, Pauline Zongo ameibuka upya na kibao kipya kinachokwenda kwa jina la Misukosuko ya mapenzi.

Pauline amerekodi kibao hicho na kundi jipya la muziki linalojulikana kwa jina la Ndege Watatu, linaloundwa na wanamuziki wengine wawili wa kike, Khadija Mnoga na Joan Matovolwa.
 
Pauline alisema tayari kibao hicho kimeshaanza kurushwa kwenye vituo mbalimbali vya redio nchini na kupokewa vizuri na mashabiki.

Mwanadada huyo, aliyekuwa mmoja wa wasanii wanaounda kundi la East Coast amesema, wameamua kuunda kundi hilo kwa lengo la kuleta changamoto mpya katika muziki.

Pauline alisema aliamua kuwa kimya kwa muda mrefu kwa sababu ya kulea mtoto wake wa pili mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu. Mtoto wake wa kwanza ana umri wa miaka sita.

Alisema ukimya wake huo pia ulilenga kusoma mwelekeo wa muziki na pia kujipanga upya kabla ya kurudi ulingoni akiwa na vitu tofauti.

Mwanamama huyo, ambaye ni mwajiriwa wa bendi ya TOT Plus alisema, wameamua kuliita kundi lao kwa jina la Ndege Watatu kwa sababu sauti zao zinafanana na wanakijua wanachokifanya.

Pauline alisema uamuzi wake wa kujiunga na TOT Plus ulilenga kukuza kipaji chake cha muziki na pia kuwaonyesha mashabiki kwamba ana uwezo mkubwa katika fani hiyo.

"Kusema kweli, huwezi kuwa mwanamuziki kama hujui kupiga ala yoyote ya muziki,"alisema mwanamama huyo, ambaye ana uwezo wa kupiga gita, drums na kinanda.

Licha ya kundi lake la TOT kumruhusu kuwa mwanamuziki huru, Pauline alisema hawezi kutoa albamu kila mwaka kwa vile akifanya hivyo, hawezi kupata manufaa makubwa.

Alisema mwanamuziki anatakiwa kusonga mbele akiwa na mabadiliko badala ya kufanya kitu kile kile kila mwaka.

Mwanamama huyo alisema hakujifunza muziki kutoka kwa mtu yoyote. Anasema kuna siku alilala akaota ndoto anapiga gita, drums, kinanda na kuimba na alipozinduka usingizini, akaamua kutimiza ndoto yake hiyo.

Pauline anakiri kuwa, asili yake ni Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Anasema mama ni Mcongo na baba yake ni Mtanzania.

"Mimi nilizaliwa Congo. Wakati huo baba alikuwa akija Congo kibiashara ndipo akakutana na mama na kwetu tupo watoto wengi tu. Baadaye ikatokea kutokuelewana kati ya baba na mama, hivyo mimi na mdogo zangu tukaja Tanzania na baba na ndugu zangu wengine walibaki na mama Congo,"alisema.

Pauline alifunguka  kuwa ni kweli kwamba anaye pacha wake wa kiume anayeitwa Paul Zongo, ambaye kwa sasa ni prodyuza wa muziki nchini Afrika Kusini. Alisema Paul ameshiriki kutengeneza nyimbo za kundi la Malaika la Afrika Kusini na wanamuziki wengine wa nchi hiyo.

Alipoulizwa iwapo ni kweli amezaa mtoto wake wa pili na mwigizaji filamu nyota wa Bongo, anayejulikana kwa jina la Mtunisi, alikiri kwamba ni kweli.

"Ndio ni kweli, lakini kwa sasa tumeshaachana, kila mtu ana maisha yake. Nina mchumba wangu, ambaye Mungu akitujalia, mwishoni mwa mwaka huu tutafunga pingu za maisha. Tumeshakaa kwenye uchumba kwa miaka miwili sasa.Mchumba wangu naye ni pacha kama mimi, tunapendana sana,"alisema.

Je, ni kitu kipi ambacho Pauline anakijutia katika maisha yake?

"Kiukweli sitaki kuficha, uhusiano nilioingia na baba mtoto wangu naujutia sana. Laiti ningesikiliza ushauri wa watu wengi, yasingenikuta yaliyonikuta,"alisema.

"Nilikuwa sisikilizi yote niliyokuwa naambiwa juu ya tabia za mwanaume huyo, lakini baada ya kuyaona, niliishia kujuta maana mapenzi yake yalinipotezea hata mwelekeo wa maisha yangu. Lakini kwa sasa nina nguvu mpya na nipo huru, nimejifunza siku nyingine sitafanya makosa,"alisisitiza.

Pauline alianzia muziki akiwa na kundi la East Coast lililokuwa na wasanii mahiri kama vile Crazy GK, Khamis Mwinjuma 'Mwana FA' na Ambwene Yesaya 'AY' kabla ya kuhamia TOT.

Akiwa East Coast, alijipatia umaarufu mkubwa aliposhiriki kuimba kibao cha Sister Sister akishirikiana na Crazy GK wakati akiwa TOT, aling'ara kupitia kibao cha Mnyonge Mnyongeni, alichokiimba kwa kushirikiana na Badi Bakule na Abdul Misambano.

Linex atokaka na ngoma mpya 'Kimugina'


  MSANII   LINEX SUNDAY MJEDA AMEACHIA  TRACK YAKE MPYA INAYOKWENDA KWA JINA LA” KIMUGINA”,NGOMA HIYO  MPYA AMBAYO IMETENGENEZWA KWENYE STUDIO ZA SEDUCTIVE RECORD AMBAYO KWA SASA , STUDIO HII NI GUMZO MTAANI  KWA JINSI INAVYOTENGENEZA NYIMBO  ZILIZOSIMAMA KIKWELIKWELI  CHINI YA PRODUCER  WA UKWELI MR. T  TOUCHES . LINEX KWA MARA NYINGINE TENA ANAONYESHA UFUNDI NA LADHA YA PEKEE YENYE VIONYO VYA HUBA NDANI YAKE….ANAMLALAMIKIA KIMUGINA…MTOTO TOKA KANDA YA ZIWA..! HAKIKA WIMBO HUU NI TASWIRA TOSHA YA LINEX JINSI ANAVYOUMIA KWA MTOTO KIMUGINA. EBU SIKILIZA WIMBO HUU..!!.